Kanisa Katoliki haliwezi kujibiwa kihuni

Kanisa Katoliki haliwezi kujibiwa kihuni

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,130
Reaction score
2,102
Serikali ya awamu ya 4 ilijaribu kulitikisa KANISA na kulitaka liwe linapeleka nyaraka zake serikalini ili zipitiwe kabla ya kuzisoma kwa waumini wake. Nakumbuka kupitia kwa Cardinal Pengo KANISA liliwajibu kwamba ni vema waache kuandika nyaraka kuliko kuandika kitu ambacho kimeandaliwa na serikali kwa manufaa ya watawala.

Sasa naona Kuna Kila dalili za kuanzisha chokochoko dhidi ya KANISA KATOLIKI. Hao ambao wanaotumia vyeo vyao kulijibu KANISA KATOLIKI ni vema wakafahamu kwamba Lile baraza la TEC limejaa wasome, wenye uelewa mpana kwenye Mambo ya kidini na kidunia. Huyo ambaye amejitoa kufahamu na kuanzia kulishambulia KANISA ni vema aakafaham kwamba siku zake kwenye nafasi aliyonayo zinahesabiwa.
 
Kasema nini? Hilo naona limenipita.
Lakini kwa namna yoyote ile Bashite hafai kuwa kiongozi wa ngazi yoyote ile. Muuaji ni shetani, na wanadamu hawastahili kuongozwa na shetani. Wananchi waliopangiwa kuongozwa na Bashite, wajione kama ni watu waliopatwa na ajali.
Eti huyu bashite ndo wanasemaga anafaa kuja kuwa rais wa badae aisee hovyo kabisa paskal mayala
 
Uongozi wa Tanzania unataka moyo wa uvumilivu sana.

Uongozi wa Tanzania unataka shabaha .

Vinglnevyo zama hizi za social media kila mitu anaweza jiandikia upuuzi wake kwa mantiki ya kuchochea udini.

TEC gani hiyo iliyowahi pongiwa na serikali.

If anything TEC hawamu ya nne kwa uelewa wao Dr.Slaa anataka kuwatumia wao na imani ya wakristo Tanzania kwa maslahi ya siasa za vyama wakajitenga na maamuzi ya vyama vya siasa.

Baada ya hapo askofu uchwara (Gwajima) akamtukana sana muhasham Kardinal Pengo na kumvunjia heshima hadharani kwa maneno ya hovyo.

Maslkini ya mungu Kardinali Pengo, akasema yeye kasamehe hayo matusi woachane na huyo muhuni.

Sisi wengine tuliokuwa tunamshabikia Magufuli aina maana alikuwa perfect. Shida kubwa ya Tanzania ni fikra za wananchi wake.

Someone has to sort this nonsense, yaani mtu anaweza amka na kuandika ujiinga tu wa kutunga kutoka kichwani. He has no, sense of guilty na kuna mamia ya watu wanaweza amini upuuzi wake.

Someone has to sort this nonsense in Tanzania.

Mimi nashindwa kuelewa mtu ambae kasoma na kuelimika, na hustle zake za maisha ni halali halaf akuelewa vita vya Nagufuli.

Magufuli apendwi bure na nchi zingine kwenye bara la Africa ni kwa sababu wanaelewa matatizo ya nchi zetu na Magufuli alikuwa mstari wa mbele kujaribu kuyapunguza nchini kwake.

Yaani unakuta jitu linadhani lina haki ya kuamka na kutunga uongo au kujiandikia vitu kutoka kichwani kwake; halafu liachwe.

The sort of majority of people JF inayowapa tuzo kama wanachama bora ukitoa mmoja the rest hawana technical skills zozote zaidi ya kuchangia ujinga na kupewa likes luluki na wajinga wenzao.

That’s just setting your standards too low and then thinking the entire earth is full of stupid people as you.
 
Damu za watu wasio na hatia zinatiririka serikalini kuanzia utosini hadi unyayoni.
Anayoyafanya Paul Makonda a.k.a DAUDI ALBERT BASHITE kupitia kwa Mafwele na genge lake yana Baraka zote za jumba jeupe.
IMG_20240922_035041.jpg
 
Kasema nini? Hilo naona limenipita.
Lakini kwa namna yoyote ile Bashite hafai kuwa kiongozi wa ngazi yoyote ile. Muuaji ni shetani, na wanadamu hawastahili kuongozwa na shetani. Wananchi waliopangiwa kuongozwa na Bashite, wajione kama ni watu waliopatwa na ajali.
Kuna mada humu, imewekwa leo hii. Itafute.
Ukweli ni kwamba tumefikia ukingoni kama taifa, maana viongozi tulio nao sasa vichwani mwao haziwatoshi kabisa.
 
Kabisa katoliki lilikuwa zamani, hivi sasa kumejaa wahuni tu.

Japo naunga mkono hoja ya baadhi ya wateule kuchukua jukumu kuishambulia TEC, wakati wao wenyewe wamezipata nafasi zao kimizengwe.
Wahuni😳 Wahuni labda kwenye ukoo wenu na huko unaposali wewe! Kanisa Katoliki toka Lianzishwe 33 AD mpaka Leo alijawai kubadilika na pia alijawai gawanyika ,Kanisa Katoliki aliogopi serikali ya aina yeyote ile- ata Baba ako awamwogopi kama unavyomwogopa wewe. Na pia akuna kilaza. kama Ulivyo ukoo wenu. Kuna Mtawala wa nchi fulani kutokana na ukali wa askofu wa jimbo lake alimtengenezea Zengwe kuwa sio raia wa nchi ile..... Ibada ya Mazishi ya kiongozi huyo Askofu alieambiwa sio Raia ndo aliongoza. Katoliki lina Mapadre Wasomi na Wabobezi kwenye sekta zote including Political science. Pandre yeyote wa kikatoliki lazima awe na Degree 2 kabla ya kupewa Daraja la updare. Na Awana shobo kwama wachungaji wako wanaolamba miguu ya wana siasa.Pia Kanisa limeshadeal na Wanasiasa zaidi ya miaka 1500. Na Historia imejaa adithi nyingi tu za Watawala waliojaribu kupambana na Kanisa Katoliki na akuna ata mmoja alieweza lishinda. Yana Mwisho
 

Attachments

  • IMG_6940.png
    IMG_6940.png
    110.9 KB · Views: 2
  • IMG_6941.png
    IMG_6941.png
    90.9 KB · Views: 2
  • IMG_6942.png
    IMG_6942.png
    87.6 KB · Views: 2
  • IMG_6944.png
    IMG_6944.png
    74 KB · Views: 2
  • IMG_6947.jpeg
    IMG_6947.jpeg
    40.3 KB · Views: 3
  • IMG_6946.png
    IMG_6946.png
    104.6 KB · Views: 2
  • IMG_6945.png
    IMG_6945.png
    88 KB · Views: 3
  • IMG_6948.jpeg
    IMG_6948.jpeg
    189.3 KB · Views: 2
  • IMG_6949.png
    IMG_6949.png
    113.4 KB · Views: 2
  • IMG_6950.png
    IMG_6950.png
    85.1 KB · Views: 2
Hawa wabudu sanamu watapotea kama walivyo potea kule Brazil

USSR
Atupo peke yetu- kuna wengine wanatumia zaidi ya 10 millions za kitanzania kwenda Kuabudu Vibuyu Arabuni
 

Attachments

  • IMG_6963.jpeg
    IMG_6963.jpeg
    30.4 KB · Views: 3
  • IMG_6964.jpeg
    IMG_6964.jpeg
    31.5 KB · Views: 2
  • IMG_6962.png
    IMG_6962.png
    119.5 KB · Views: 2
  • IMG_6961.png
    IMG_6961.png
    103.6 KB · Views: 3

Attachments

  • IMG_6968.png
    IMG_6968.png
    93.7 KB · Views: 2
  • IMG_6959.jpeg
    IMG_6959.jpeg
    248.6 KB · Views: 2
  • IMG_6960.jpeg
    IMG_6960.jpeg
    342.4 KB · Views: 2
  • IMG_6952.jpeg
    IMG_6952.jpeg
    318.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom