Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge Ngara lafungwa kwa uvamizi

Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge Ngara lafungwa kwa uvamizi

johnmashilatu

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2010
Posts
841
Reaction score
909
Habari wana jamvi.

Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.

IMG-20230902-WA0001.jpg
 
Kuna baadhi ya watu hawakustahili kabisa kuzaliwa kama binadamu. Badala yake walitakiwa kuzaliwa kama wanyama waharibifu! Mfano nyani, kunguru, nk. Maana wanakosa kabisa sifa ya ule ustaarabu wa mwanadamu.
 
Huna akili hivi makanisa yapo mangapi nchi nzima waende kuvamia huko
Askofu wa huko si unamjua when it comes to madudu ya serikali? Hapo wanamtoa kwenye line ili kwa yanayoendelea, awe bize na uvamizi wa kanisa. Hivyo ndivyo ninavyoweza kuunganisha dots ili kupata LINE
 
Back
Top Bottom