Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Kwahio wakifunga ndio inakuwaje ?
Nilidhani uwepo wao hao waumini ndio utakatifu wenyewe na usafi !!!! Haya mambo haya kwani hata kama hakuna ukuta au Bati wanashindwa kusali chini ya miti au kwenye uwazi au hata kibarazani ?
Nadhani hizi ni complications; kwahio likitokea wimbi la so called unajisi makanisa yote yatagungwa ?
Weka CCTV Cameras (They seem to work more kuliko Maombi)
Nilidhani uwepo wao hao waumini ndio utakatifu wenyewe na usafi !!!! Haya mambo haya kwani hata kama hakuna ukuta au Bati wanashindwa kusali chini ya miti au kwenye uwazi au hata kibarazani ?
Nadhani hizi ni complications; kwahio likitokea wimbi la so called unajisi makanisa yote yatagungwa ?
Weka CCTV Cameras (They seem to work more kuliko Maombi)