uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Serikali unaleta utani hadi kwenye nyumba za ibada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makanisa yafungwe CCTV cameras aisee. Shetani ni pumbavu kabisa na hana akili.Habari wana jamvi.
Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.
Kwani wamebainika au ni hisia za kale kama Hayati Bob Male?ccm ni wapumbavu sana wanafikir kutuma vibaka ndio itazuia kusoma waraka wa TEC.
Wewe unaamini waliofanya tukio hilo ni vibaka au majambazi? Jambazi gani ataingia mahali afanye uharibifu na asiibe chochote?CCM inahusiana nini na hao wavamizi?
Jamani mnakosea msipotoshe.Kuna wakati kuna kanisa la RC huko huko kanda ya ziwa ilivamiwa hivi na mambo ya DPW yalikuwa bado. Vyombo viachwe vichunguze huenda kuna uhusiano wa tukio hili na lile la awali au vinginevyo.Msilete taharuki.Ccm ina madhaifu yake lakini ndio chama tawala sidhani kama wamekosa weledi kiasi hicho.HapanaWashukiwa wakwanza wa hilo tukio wawe serikali, CCM na DP World
Serikali ya mama abdul bwana hovyo sanaCCM inahusiana nini na hao wavamizi?
Ni kweli umewahi kutokea uharibifu ndani ya makanisa ya Kanisa Katoliki, lakini mara zote uharibifu huo uliambatana na wizi. Lakini kwenye hili, hatuambiwi kama kuna wizi umetokea.Kanisa Katoliki hakika linadhihirisha unyenyekevu wa moyo.
Ukisoma katika andiko hilo kuna sehemu wanahimiza. Naomba kunukuu;
"Kwa kipindi hicho jamii nzima ya waumini katika Jimbo la Rulenge - Ngara inahimizwa kusali,kufunga, kufanya toba na malipizi kwa Mwenyenzi Mungu ili abadilishe mioyo ya watu wenye nia ovu kwa mambo matakatifu"
Pamoja na najisi iliyofanyika na watu hao, kanisa haliwaombei laana. Kanisa haliwaombei kifo, wala haiitishi Albadiri kwa ajili ya kuwaombea mateso.
Bali kanisa linaomba ili Mwenyenzi Mungu aweze kubadili mioyo yao. Nia zao mbaya zikapate kutoweka na wapate kumrudia Mungu kwa moyo wa toba.
Hapa kanisa linaiishi neno la Mungu la kutotaka kulaani ili tusijelaaniwa.
Ee Mwenyenzi Mungu wasamehe watu hao na mioyo yao ikajihisi wenye kukosa na wapate kurudi kwako tena.
Amen.
Sasa Mkuu ulitaka makanisa yote ya RC yavamiwe kwa siku moja!?...so hiyo ingeleta mtikisiko mkubwa?...sasa kama wavamizi wame target Eneo lile kutokana na aina ya waumini, au ulinz hafifu wa kanisa husika, unawezaje ku rule out kinachoendelea sasa na hilo tendo ovu?!Huna akili hivi makanisa yapo mangapi nchi nzima waende kuvamia huko
Una uhakika waliofanya huo uvamizi ni wana CCM?Sasa Mkuu ulitaka makanisa yote ya RC yavamiwe kwa siku moja!?...so hiyo ingeleta mtikisiko mkubwa?...sasa kama wavamizi wame target Eneo lile kutokana na aina ya waumini, au ulinz hafifu wa kanisa husika, unawezaje ku rule out kinachoendelea sasa na hilo tendo ovu?!