Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao mafedhuli walifuata waraka wakidhani wahifadhiwa kwenye sehemu inowekwa sacrament na mvivyo.Ni kweli umewahi kutokea uharibifu ndani ya makanisa ya Kanisa Katoliki, lakini mara zote uharibifu huo uliambatana na wizi. Lakini kwenye hili, hatuambiwi kama kuna wizi umetokea.
Kule Sumbawanga, kanisa liliwahi kuvunjwa, na kikombe cha dhahabu cha hostia kiliibiwa. Ilitolewa siku moja kwa wahusika kukirudisha, hakikurudishwa. Wanaoaminika kufanya uovu ule, nyumba yao ilikuwa umbali usio mrefu kutoka Kanisani. Padre alitamka kuwa hawataenda polisi kwaajili ya tukio lile bali kama hakitarudishwa kikombe kile, kesho yake ambayo ilikuwa siku ya Jumatatu, mchana saa 6 atafanya ibada maalum kuomba mkono mrefu wa Mungu uwafikie waovu walioiba kikombe cha hostia ambacho walikipata kama zawadi kwa kila jimbo toka kwa Papa alipotembelea Tanzania.
Siku ya Jumatatu, wakati ibada ikiendelea, kimbunga kikali kikaipiga nyumba ile iliyohisiwa ni ya wahusika wa wizi, na watu watatu 3 walikufa. Je, walikuwa ndio wahusika halisi kama hisia za watu au ilikuwa ni coincidence tu, Mungu ndiye anajua.
Mbona hawatakasi vinyago vilivyomo humo. Vya masanamuHabari wana jamvi.
Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.
View attachment 2737212
Hakuna atakae kuwa chizi Acha mawazo mgandoHao wanatafuta uchizi kwa lazima ,haipiti wiki Kama hawajakamatwa ,watakua vichaa au marehemu,wakaombe msamaha ndio pona yao,chezea kote lakini sio turbenako
Yesu huwa anajipigania hapiganiwi.Ni kweli umewahi kutokea uharibifu ndani ya makanisa ya Kanisa Katoliki, lakini mara zote uharibifu huo uliambatana na wizi. Lakini kwenye hili, hatuambiwi kama kuna wizi umetokea.
Kule Sumbawanga, kanisa liliwahi kuvunjwa, na kikombe cha dhahabu cha hostia kiliibiwa. Ilitolewa siku moja kwa wahusika kukirudisha, hakikurudishwa. Wanaoaminika kufanya uovu ule, nyumba yao ilikuwa umbali usio mrefu kutoka Kanisani. Padre alitamka kuwa hawataenda polisi kwaajili ya tukio lile bali kama hakitarudishwa kikombe kile, kesho yake ambayo ilikuwa siku ya Jumatatu, mchana saa 6 atafanya ibada maalum kuomba mkono mrefu wa Mungu uwafikie waovu walioiba kikombe cha hostia ambacho walikipata kama zawadi kwa kila jimbo toka kwa Papa alipotembelea Tanzania.
Siku ya Jumatatu, wakati ibada ikiendelea, kimbunga kikali kikaipiga nyumba ile iliyohisiwa ni ya wahusika wa wizi, na watu watatu 3 walikufa. Je, walikuwa ndio wahusika halisi kama hisia za watu au ilikuwa ni coincidence tu, Mungu ndiye anajua.
Mama anaupiga mwingi. Wananchi hawana hela na njaa itawauaDuh,,, saiv watu wananjaa yaan uvunje church ili ule ekarist😅
Ccm ndio chombo cha kanisa kutawala mkuu!!Poleni sana kanisa katoliki ngara
Nb; katoliki mnailea sana CCM ebu ikataeni sasa
lazima wanahusika, kataa kubaliCCM inahusiana nini na hao wavamizi?
Nenda kituo cha polisi unaonekana una taarifa zitakazosaidia wahalifu kukamatwa.lazima wanahusika, kataa kubali
.lazima wanahusika, kataa kubali
Ndio waliopanda chuki za udiniCCM inahusiana nini na hao wavamizi?
Kama hii ndio agenda yenu basi mpaka hapa hesabuni mmefeli. Watanzania hawatachonganishwa kwa udini kama mlivyopanga.Ndio waliopanda chuki za udini