Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge Ngara lafungwa kwa uvamizi

Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge Ngara lafungwa kwa uvamizi

Ni kweli umewahi kutokea uharibifu ndani ya makanisa ya Kanisa Katoliki, lakini mara zote uharibifu huo uliambatana na wizi. Lakini kwenye hili, hatuambiwi kama kuna wizi umetokea.

Kule Sumbawanga, kanisa liliwahi kuvunjwa, na kikombe cha dhahabu cha hostia kiliibiwa. Ilitolewa siku moja kwa wahusika kukirudisha, hakikurudishwa. Wanaoaminika kufanya uovu ule, nyumba yao ilikuwa umbali usio mrefu kutoka Kanisani. Padre alitamka kuwa hawataenda polisi kwaajili ya tukio lile bali kama hakitarudishwa kikombe kile, kesho yake ambayo ilikuwa siku ya Jumatatu, mchana saa 6 atafanya ibada maalum kuomba mkono mrefu wa Mungu uwafikie waovu walioiba kikombe cha hostia ambacho walikipata kama zawadi kwa kila jimbo toka kwa Papa alipotembelea Tanzania.

Siku ya Jumatatu, wakati ibada ikiendelea, kimbunga kikali kikaipiga nyumba ile iliyohisiwa ni ya wahusika wa wizi, na watu watatu 3 walikufa. Je, walikuwa ndio wahusika halisi kama hisia za watu au ilikuwa ni coincidence tu, Mungu ndiye anajua.
Hao mafedhuli walifuata waraka wakidhani wahifadhiwa kwenye sehemu inowekwa sacrament na mvivyo.

Walipokosa huo waraka ndo wakaanza kufanya huo uchawi wao wa kunajisi hivyo vitu.

Bila shaka yoyote yaonekana ulikuwa ni mpango wa kuzuia waraka usisomwe leo.

Basi kwa kuwa kanisa limefungwa kwa mwezi mmoja na kwa kuwa taratibu zote zimefuatwa ikiwemo kuujulisha umma na kwa kuwa hakuna mwanaparokia yoyote alekumbwa na madhila ikiwemo hata kuuawa, basi litakuwa ni jambo muhimu sana kuhakikisha mali na majengo yote yafanyiwa tathmini (Risk Assessment) kutambua hatari zaidi zilizopo ili kutengeneza vizuizi (mitigations) kukabiliana na tatizo hili.

Kanisa katoliki lina uwezo na halishindwi kuweka mifumo ya kamera za ulinzi, alarm system na pia hata wababa paroko na mapadre wote kuwa na personal alarms na tracking devices pale ikitokea wametekwa.

Hivi sasa nchi iko kwenye mashaka makubwa.
 
Hao wanatafuta uchizi kwa lazima ,haipiti wiki Kama hawajakamatwa ,watakua vichaa au marehemu,wakaombe msamaha ndio pona yao,chezea kote lakini sio turbenako
Hakuna atakae kuwa chizi Acha mawazo mgando
 
Ni kweli umewahi kutokea uharibifu ndani ya makanisa ya Kanisa Katoliki, lakini mara zote uharibifu huo uliambatana na wizi. Lakini kwenye hili, hatuambiwi kama kuna wizi umetokea.

Kule Sumbawanga, kanisa liliwahi kuvunjwa, na kikombe cha dhahabu cha hostia kiliibiwa. Ilitolewa siku moja kwa wahusika kukirudisha, hakikurudishwa. Wanaoaminika kufanya uovu ule, nyumba yao ilikuwa umbali usio mrefu kutoka Kanisani. Padre alitamka kuwa hawataenda polisi kwaajili ya tukio lile bali kama hakitarudishwa kikombe kile, kesho yake ambayo ilikuwa siku ya Jumatatu, mchana saa 6 atafanya ibada maalum kuomba mkono mrefu wa Mungu uwafikie waovu walioiba kikombe cha hostia ambacho walikipata kama zawadi kwa kila jimbo toka kwa Papa alipotembelea Tanzania.

Siku ya Jumatatu, wakati ibada ikiendelea, kimbunga kikali kikaipiga nyumba ile iliyohisiwa ni ya wahusika wa wizi, na watu watatu 3 walikufa. Je, walikuwa ndio wahusika halisi kama hisia za watu au ilikuwa ni coincidence tu, Mungu ndiye anajua.
Yesu huwa anajipigania hapiganiwi.
 
Back
Top Bottom