Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge Ngara lafungwa kwa uvamizi

Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge Ngara lafungwa kwa uvamizi

Unabii unasema, wakubwa wa watu wataingia Kanisani na kuleta SHERIA madhabahuni, na kunajisi madhabahu.

Baada ya hapo watarudi tena na kukabidhi Kwa Kanisa fimbo ya ukuu wao.

Na ikaonekana madhabahu imejengwa jumba kuu.

Inafikirisha,

Kila kitu kina sababu yake Kutokea.

Tusubiri.
 
Washukiwa wakwanza wa hilo tukio wawe serikali, CCM na DP World
Hata lilipovunjwa kanisa katoliki jimbo la Geita na kufanyika uharibifu,mlikuja na tuhuma za aina hii ila ulipokuja kujulikana ukweli wa muhusika ni nani mkawa kimya!
 

Attachments

  • - KumbukiziMTAFUTANO.jpg
    - KumbukiziMTAFUTANO.jpg
    68.9 KB · Views: 1
Serikali inajua mambo mengi tusiyoyajua.
Ukiondoa uchaw naamin utajib kwa usahihi san! Tuliona mapadre kukosoa awamu iliyopita lazima akamatwe ahojiwe uraia wake hii yote ni utawala wa kifalme ni marufuku kukosoa kiongoz!!
 
Poleni sana kanisa katoliki ngara
Nb; katoliki mnailea sana CCM ebu ikataeni sasa
Sasa hapa CCM inaingiaje mkuu? Kila kitu kuilaumu CCM haitakusaidia maana hakuna mahali taarifa imehusisha uharibifu huo na chama chochote cha siasa.
 
Kanisa Katoliki hakika linadhihirisha unyenyekevu wa moyo.

Ukisoma katika andiko hilo kuna sehemu wanahimiza. Naomba kunukuu;
"Kwa kipindi hicho jamii nzima ya waumini katika Jimbo la Rulenge - Ngara inahimizwa kusali,kufunga, kufanya toba na malipizi kwa Mwenyenzi Mungu ili abadilishe mioyo ya watu wenye nia ovu kwa mambo matakatifu"

Pamoja na najisi iliyofanyika na watu hao, kanisa haliwaombei laana. Kanisa haliwaombei kifo, wala haiitishi Albadiri kwa ajili ya kuwaombea mateso.

Bali kanisa linaomba ili Mwenyenzi Mungu aweze kubadili mioyo yao. Nia zao mbaya zikapate kutoweka na wapate kumrudia Mungu kwa moyo wa toba.

Hapa kanisa linaiishi neno la Mungu la kutotaka kulaani ili tusijelaaniwa.

Ee Mwenyenzi Mungu wasamehe watu hao na mioyo yao ikajihisi wenye kukosa na wapate kurudi kwako tena.

Amen.
Waabudu masanamu na albadil wap na wapi cjaelewa
 
Back
Top Bottom