Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Kama padre anakamatwa eti athibitishe uraia wake while ni raia wa Tanzania tangu azaliwe, so hupasw shangaaWatu bila aibu wanalinajisi kanisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama padre anakamatwa eti athibitishe uraia wake while ni raia wa Tanzania tangu azaliwe, so hupasw shangaaWatu bila aibu wanalinajisi kanisa.
Kule madrassa hujaona walimu wanavyowafanya watoto wenu?Kuna lipi la uongo au la kkuzusha hapo, nikupe ushahidi wake.
Ukweli ni mchungu, utaupata kwa wanaokutakia mema tu. anaekuchukia hakwambii ukweli hata siku moja, kumbuka hilo.
Serikali inajua mambo mengi tusiyoyajua.Kama padre anakamatwa eti athibitishe uraia wake while ni raia wa Tanzania tangu azaliwe, so hupasw shangaa
Kwani wewe ukiibiwa mali zako ni nani ana jukumu la kuwatafuta wezi?Watafutwe na nan labda?
InasikitishaHabari wana jamvi.
Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.
View attachment 2737212
Hata lilipovunjwa kanisa katoliki jimbo la Geita na kufanyika uharibifu,mlikuja na tuhuma za aina hii ila ulipokuja kujulikana ukweli wa muhusika ni nani mkawa kimya!Washukiwa wakwanza wa hilo tukio wawe serikali, CCM na DP World
Natafuta mwenyew kwa utaalam wangu!! Nt 👇Kwani wewe ukiibiwa mali zako ni nani ana jukumu la kuwatafuta wezi?
Ukiondoa uchaw naamin utajib kwa usahihi san! Tuliona mapadre kukosoa awamu iliyopita lazima akamatwe ahojiwe uraia wake hii yote ni utawala wa kifalme ni marufuku kukosoa kiongoz!!Serikali inajua mambo mengi tusiyoyajua.
Sasa hapa CCM inaingiaje mkuu? Kila kitu kuilaumu CCM haitakusaidia maana hakuna mahali taarifa imehusisha uharibifu huo na chama chochote cha siasa.Poleni sana kanisa katoliki ngara
Nb; katoliki mnailea sana CCM ebu ikataeni sasa
Fafanua mkuu.Washukiwa wakwanza wa hilo tukio wawe serikali, CCM na DP World
That's is gggggoodHabari wana jamvi.
Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.
View attachment 2737212
Kanisa katoliki pekee ndilo linalopinga uwekezaji bandarini?Dili lao na DP World linakwamishwa na Kanisa 'Katoliki'
Waabudu masanamu na albadil wap na wapi cjaelewaKanisa Katoliki hakika linadhihirisha unyenyekevu wa moyo.
Ukisoma katika andiko hilo kuna sehemu wanahimiza. Naomba kunukuu;
"Kwa kipindi hicho jamii nzima ya waumini katika Jimbo la Rulenge - Ngara inahimizwa kusali,kufunga, kufanya toba na malipizi kwa Mwenyenzi Mungu ili abadilishe mioyo ya watu wenye nia ovu kwa mambo matakatifu"
Pamoja na najisi iliyofanyika na watu hao, kanisa haliwaombei laana. Kanisa haliwaombei kifo, wala haiitishi Albadiri kwa ajili ya kuwaombea mateso.
Bali kanisa linaomba ili Mwenyenzi Mungu aweze kubadili mioyo yao. Nia zao mbaya zikapate kutoweka na wapate kumrudia Mungu kwa moyo wa toba.
Hapa kanisa linaiishi neno la Mungu la kutotaka kulaani ili tusijelaaniwa.
Ee Mwenyenzi Mungu wasamehe watu hao na mioyo yao ikajihisi wenye kukosa na wapate kurudi kwako tena.
Amen.
Chadema ndio walimpiga bulletHivi ripoti ya kupigwa risasi Lissu ilishatoka?
Madhehebu yaliyosoma waraka ni mangapi kati ya hayo mengi??Huna akili hivi makanisa yapo mangapi nchi nzima waende kuvamia huko
Wameamua kujibu hoja za waraka wa TECNi matokeo ya waraka wa TEC