johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 841
- 909
CCM ni wapumbavu sana wanafikir kutuma vibaka ndio itazuia kusoma waraka wa TEC.Habari wana jamvi.
Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.
CCM inahusiana nini na hao wavamizi?Poleni sana kanisa katoliki ngara
Nb; katoliki mnailea sana CCM ebu ikataeni sasa
😂😂😂ccm ni wapumbavu sana wanafikir kutuma vibaka ndio itazuia kusoma waraka wa TEC.
Huna akili hivi makanisa yapo mangapi nchi nzima waende kuvamia hukoccm ni wapumbavu sana wanafikir kutuma vibaka ndio itazuia kusoma waraka wa TEC.
Washukiwa wakwanza wa hilo tukio wawe serikali, CCM na DP WorldHabari wana jamvi.
Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.
Hakika Kanisa liache kuwachekea CCMPoleni sana kanisa katoliki ngara
Nb; katoliki mnailea sana CCM ebu ikataeni sasa
Askofu wa huko si unamjua when it comes to madudu ya serikali? Hapo wanamtoa kwenye line ili kwa yanayoendelea, awe bize na uvamizi wa kanisa. Hivyo ndivyo ninavyoweza kuunganisha dots ili kupata LINEHuna akili hivi makanisa yapo mangapi nchi nzima waende kuvamia huko
Dili lao na DP World linakwamishwa na Kanisa 'Katoliki'CCM inahusiana nini na hao wavamizi?
Hawataki waraka usomwe.Wahusika watafutwe ni jambo baya kuharibu nyumba za ibada.