Kwa sababu ya kuwa wakwelindiyo maana unajua hiyo nusu milioni. Kwwtu hapa, tumeathirika zaidi kupita nchi zote za Africa Mashariki, lakini hakuna mwenye idadi rasmi! Kwa sababu yumeamua kuishi kimbumbumbu.Marekani wamekufa watu nusu milioni. Vipi kule nako ukweli ukoje?
Unaona usivyotaka kutulia na kujirudi? Hapo povu nililotoa liko wapi?Sasa hili povu lote mkuu ili nini?
Kwa maana hiyo nchi zote basi zinapaswa kulaumu viongozi wao maana kila nchi wamekufa kwa maelfu,!
Hivi sisi na Kenya na Uganda tuna tofauti gani?
Pole sana ndugu yenu kwa kuondokewa na Padre wetu.Kati ya hao Mapdre 25, mmoja Ni kaka yangu baba mmoja mama mmoja. Rest in Peace Our first Born.
Msg zako za Whasap nazisoma Sana naona kama upo hai brother![emoji24][emoji24]
Neno la Mungu lipo dhahiri kwa wanaolijua. Mungu siyo mganga wa kienyeji anayesema vaa hii hirizi, hutakufa, halafu unakufa.Ka
Aiseee sasa Kama Mungu si hirizi kwa nini mapadre na maaskofu katoliki husisitiza watu kumuomba Mungu wakati yeye si hirizi? au kinga au msaada unaoonekana tele wakati wa Mateso yawe ya Corona au vinginevyo?
kanisa katoliki matapeli waumini wanaenda jumapili kufanya nini kanisani kila dominika wakati Mungu sio kinga yao na si hirizi? mkatoliki shituka .ina maana lengo watoe sadaka tu na kuondoka wakati huyo Mungu mnayesema mpe sadaka hana msaada kwao wala sio kinga yao?
Wakatoliki mnapeliwa .Hili tamko alilotoa ni la kipagani Mungu wetu ni kama hirizi ni kinga yetu mateso yasitupate yawe corona au majanga yeyote .Zaburi inatamka wazi kuwa Mungu wetu ni kimbilio na nguvu na msaafa wetu unaoonekana tele wakati wa mateso.Ni kimbilio letu iwe kwenye corona nk ndiye hirizi yetu.
Kwangu mimi Mungu ndiye hirizi yangu
Tanzania kwa uhakika tumepoteza watu maelfu kwa corona. Na hakuna ambaye hajawahi kusikia kifo cha mgonjwa wa corona, mtu anayemfahami.Kumbuka pia population ya Marekani ni zaidi ya watu 332,000,000 (milioni mia tatu thelethini na mbili). Jaribu kuweka uwiano wa waliokufa na population yake, kwa Marekani na kwa Tanzania
Anatuambia ''mtangulizeni Mungu mbele'' wakati yeye anatanguliza ma-pikipiki ya polisi mbele!Ni upumbavu wa hali ya juu kumtaka Mungu akulinde huku wewe hufanyi chochote.
Hutaki kufunga mlango, halafu unaamini hakuna jambazi atakayeingia, huo ni ukichaa.
Tuondoe ujinga, tuondoe woga, yaani unaona unapotezwa, halafu inabaki unasema tupotee tu kwa vile kiongozi anataka tupotee. Kuwa Rais haaanishi kuwa sahihi wakati wote, kuwa Rais haimaanishi kuwa na akili na ufahamu kuwazidi raia wote. Tusikubali kuwa mizoga inayoweza kusogezwa na kiumbe chochote kilicho hai.
Ha ha ha ha nakweli kabisaNikisoma unayoandika Naona moja Kati ya haya mawili
1. Umetoroka Mirembe Hospital
2. Umetoka kunywa gongo Bila kula, kisha ukavuta bangi
Ukapitiliza na kuja JF kutoa pumba zako
Acha kudanganya watu na upotoshaji. Mbona mnafanya propaganda za kishamba namna hiyo?H
Hata kwa kufuata uwiano, kwa kila watu 100,000/= walioathirika ni wengi sana na waliokufa ni wengi sana!!
Inasikitisha sana kwa kanisa kutoa kauli kama hii...Hii dini hapa imesimama kama taasisi na wala siyo kuongozi wa kiroho...Kanisa katoliki haliamini katika abortion na wala family planning je hiyo siyo science? Au science inakuwa valid pale ambapo interests zako zimelalia?Kanisa limepoteza Imani hivyo wanavuna walichopanda.
Tunasahau hata wimbi la Kwanza hatukulishinda kwa nguvu zetu.
Petro alianza kuzama majini baada ya kupoteza imani.
Poleni sana.Kati ya hao Mapdre 25, mmoja Ni kaka yangu baba mmoja mama mmoja. Rest in Peace Our first Born.
Msg zako za Whasap nazisoma Sana naona kama upo hai brother![emoji24][emoji24]
Nendeni roma kuna vatican city ni nchi pia...Mtuachie nchi yetu sisiAcha kudanganya watu na upotoshaji. Mbona mnafanya propaganda za kishamba namna hiyo?
Mnataka kuachive nini? Wewe hujatoa takwimu halafu unajilinganisha na aliyetoa! Hakunaga kitu ya namna hiyo. Mnamdanganya nani? THE OBVIOUS CAN NOT BE PROVED!
Acha kutisha watu wanaotimiza wajibu wao kwa nchi na kwa Mungu.Huyu aliyetoa hii takwimu atawajibika kwa taharuki na hofu inayoonekana kuibuka pasipo sababu yoyote!
Hivi ni kweli kwa miezi miwili kwa Tanzania nzima kwa sababu mbalimbali (unazoweza kufikiria kama ajali, magonjwa nk) ikiwemo changamoto ya upumuaji (na si kila changamoto ya upumuaji ni corona), kufariki kiasi hicho kwa jamii hiyo ni ajabu?
Je kabla ya corona walikuwa hawafi au walikuwa wanakufa wangapi?
Hivi ukiuliza kwa nchi zingine kama Marekani watu wa jamii hiyo (mapadri na masista) kwa miezi miwili wamekufa wangapi?? Kama ukipata hiyo takwimu utamshukuru Sana Mungu kuwa kuihifadhi Tanzania dhidi ya Corona!!
Sijui mnasomaga Biblia ya wapi; Wakati Yesu anazaliwa, mtawala wa wakati huo alipanga kuua watoto wote wenye umri wa miaka chini ya 2, Mungu akamwambia Yusufu akimbie Nazareth to Misri ili kumponya mtoto Yesu na mauaji hayo yaliokua yapo mbioni kutokea, na kweli Yesu alikimbizwa Misri kwa usalama wake huku nyuma watoto wa kiume waliuawa kwa amri ya Herode;Kanisa limepoteza Imani hivyo wanavuna walichopanda.
Tunasahau hata wimbi la Kwanza hatukulishinda kwa nguvu zetu.
Petro alianza kuzama majini baada ya kupoteza imani.
SisiiHatari na nusuView attachment 1716243
Kabisa...anastahili kuwajibishwa, this guys are big headed...Untouchable kwakua ni taasisi ya kikoloni....Nchi yetu imepita huko...We arw sovereign country wanapashwa waishi kwakuzingatia sheria na mamlaka ya nchi hii ambayo yote yanaongozwa na amiri jeshi mkuu wetu...Huyu aliyetoa hii takwimu atawajibika kwa taharuki na hofu inayoonekana kuibuka pasipo sababu yoyote!
Hivi ni kweli kwa miezi miwili kwa Tanzania nzima kwa sababu mbalimbali (unazoweza kufikiria kama ajali, magonjwa nk) ikiwemo changamoto ya upumuaji (na si kila changamoto ya upumuaji ni corona), kufariki kiasi hicho kwa jamii hiyo ni ajabu?
Je kabla ya corona walikuwa hawafi au walikuwa wanakufa wangapi?
Hivi ukiuliza kwa nchi zingine kama Marekani watu wa jamii hiyo (mapadri na masista) kwa miezi miwili wamekufa wangapi?? Kama ukipata hiyo takwimu utamshukuru Sana Mungu kuwa kuihifadhi Tanzania dhidi ya Corona!!