Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Mimi ni muumini wa kanisa tajwa hapo juu, nimekuwa kiongozi wa jumuia kwa kipindi fulani, niliwahi kumfata paroko kishauriana naye mambo kadhaa, na pia kwenye vikao vya kamati tendaji ya kigango nilishauri kukiwa na msiba sadaka ikusanywe mara moja tu.
Kukusanya sadaka mara 2 ule utaratibu unawakwaza watu hata kama hawasemi kwakuwa si eneo la kuhoji bali mazishi pili hata ile sadaka inayokusanywa nilishauri wapewe wafiwa Mana kwa siku2-3 hawatazalisha iwasaidiye.
Kwanini mnachukuwa kuondoka nayo na kusema kuwa itasomewa misa ya marehemu kwani lazima muwasomee? Kusoma kwenyewe mnasema tu ktk misa hii tuungane na familia ya mr Kago anamuombea mr Blue Kago imeisha hiyo.
Nasisitiza suala la kuombea marehemu waachiwe wanafamilia wapange na watafanya misa kubwa maalum.
Kukusanya sadaka mara 2 ule utaratibu unawakwaza watu hata kama hawasemi kwakuwa si eneo la kuhoji bali mazishi pili hata ile sadaka inayokusanywa nilishauri wapewe wafiwa Mana kwa siku2-3 hawatazalisha iwasaidiye.
Kwanini mnachukuwa kuondoka nayo na kusema kuwa itasomewa misa ya marehemu kwani lazima muwasomee? Kusoma kwenyewe mnasema tu ktk misa hii tuungane na familia ya mr Kago anamuombea mr Blue Kago imeisha hiyo.
Nasisitiza suala la kuombea marehemu waachiwe wanafamilia wapange na watafanya misa kubwa maalum.