Kanisa Katoliki mje hapa, maana nimesema kwenye vikao hamfanyi

Kanisa Katoliki mje hapa, maana nimesema kwenye vikao hamfanyi

Dunia ya utandawazi Kila kitu limeandikwa MAARIFA kibao. Biblia umeandika wazi kabisa kuhusu KANISA kahaba

Nimecheka kweli yani!!!??

Endeleeni kuabudu Miungu ya BIKLA Malia.
Sanamu za BIKLA maria.
Rozali na uSHENZI MWINGINE.


PUMBAFU KABISA.
 

Asomaye na Afahamu
 
Hili la kuchukua sadaka msiban hata Mimi nakuunga mkono. Miaka ya nyuma lilinikwaza sana baada ya kumuona Mama mmoja mjane wamechukua kila kitu hawakumuachia kitu.

Inasikitisha sana,ifike mahali iwepo percentage fulani kanisa liwaachie wafiwa sio kufarijiana kiroho tu hata kimwili pia misiba inatumia pesa nyingi sana sio mbaya kanisa kurudisha kidogo kwa wafiwa.
 
Nje ya mada:kanisa sikuhizi uungwana hamna...tena sisi jobless ndo tumetengwa
mana hatutoi zaka1,mavuno sijui michango mfuko wa jumuiya,mara ada ya WAWATA jimbo.oh sijui majitoleo ya nini
usipotoa unaambiwa hufai

Pole sana,
 
Dunia ya utandawazi Kila kitu limeandikwa MAARIFA kibao. Biblia umeandika wazi kabisa kuhusu KANISA kahaba

Nimecheka kweli yani!!!??

Endeleeni kuabudu Miungu ya BIKLA Malia.
Sanamu za BIKLA maria.
Rozali na uSHENZI MWINGINE.


PUMBAFU KABISA.
Bikla Malia ndiye nani huyo?
 
Back
Top Bottom