Kanisa Katoliki mje hapa, maana nimesema kwenye vikao hamfanyi

Kanisa Katoliki mje hapa, maana nimesema kwenye vikao hamfanyi

Masalia huwa mnajilikana tu,kitu hukijui kwanini unakishadadia?mbona sisi huwa hatuna time na mambo yenu?

Wewe umewahi kutoa hela ngapi kwenye misiba ya Wakatoliki hata ukaze shingo kusema tunafanyiana uhuni,kitu hujui kaa kimya siyo dhambi!!
Mimi ni mkatoliki na sikosi kila jumapili kanisani posta
 
Siku hizi hakuna misaada kutoka Vatican..yani kuna ujenzi hapa parokiania kwetu bado nadaiwa parefu na deadline tayari..ila uzuri wa kanisani wala sina hofu nitatoa pindi nikipata..
Ntakutolea my usiwaze
 
Mimi ni muumini wa kanisa tajwa hapo juu, nimekuwa kiongozi wa jumuia kwa kipindi fulani, niliwahi kumfata paroko kishauriana naye mambo kadhaa, na pia kwenye vikao vya kamati tendaji ya kigango nilishauri kukiwa na msiba sadaka ikusanywe mara moja tu.

Kukusanya sadaka mara 2 ule utaratibu unawakwaza watu hata kama hawasemi kwakuwa si eneo la kuhoji bali mazishi pili hata ile sadaka inayokusanywa nilishauri wapewe wafiwa Mana kwa siku2-3 hawatazalisha iwasaidiye.

Kwanini mnachukuwa kuondoka nayo na kusema kuwa itasomewa misa ya marehemu kwani lazima muwasomee? Kusoma kwenyewe mnasema tu ktk misa hii tuungane na familia ya mr Kago anamuombea mr Blue Kago imeisha hiyo.

Nasisitiza suala la kuombea marehemu waachiwe wanafamilia wapange na watafanya misa kubwa maalum.
 
Hakuna Mkatoliki kama wewe anayeshindwa kutetea imani yake hebu sema huo Uhuni wa kanisa achana na maneno ya vijiwe majungu
Hapa nilikuwa nachangamsha tu ila sio hivyo mnavyofikilia
 
Wewe ndiye yule baa kutoa laki huoni shida ila kutoa fungu la kumi mpaka ushikiwe kiboko na uzuri kanisa halikulazimishi sidhani kama kuna mchango hujatoa ukazuiwa kuingia kanisani imani ni wewe na Mungu wako.
Tumsifu yesu kristo
 
Mimi ni muumini wa kanisa tajwa hapo juu, nimekuwa kiongozi wa jumuia kwa kipindi fulani, niliwahi kumfata paroko kishauriana naye mambo kadhaa, na pia kwenye vikao vya kamati tendaji ya kigango nilishauri kukiwa na msiba sadaka ikusanywe mara moja tu.

Kukusanya sadaka mara 2 ule utaratibu unawakwaza watu hata kama hawasemi kwakuwa si eneo la kuhoji bali mazishi pili hata ile sadaka inayokusanywa nilishauri wapewe wafiwa Mana kwa siku2-3 hawatazalisha iwasaidiye.

Kwanini mnachukuwa kuondoka nayo na kusema kuwa itasomewa misa ya marehemu kwani lazima muwasomee? Kusoma kwenyewe mnasema tu ktk misa hii tuungane na familia ya mr Kago anamuombea mr Blue Kago imeisha hiyo.

Nasisitiza suala la kuombea marehemu waachiwe wanafamilia wapange na watafanya misa kubwa maalum.
Hili la kuchukua sadaka msiban hata Mimi nakuunga mkono. Miaka ya nyuma lilinikwaza sana baada ya kumuona Mama mmoja mjane wamechukua kila kitu hawakumuachia kitu.
 
Hili la kuchukua sadaka msiban hata Mimi nakuunga mkono. Miaka ya nyuma lilinikwaza sana baada ya kumuona Mama mmoja mjane wamechukua kila kitu hawakumuachia kitu.
Naunga mkono hoja 👍
 
Mimi ni muumini wa kanisa tajwa hapo juu, nimekuwa kiongozi wa jumuia kwa kipindi fulani, niliwahi kumfata paroko kishauriana naye mambo kadhaa, na pia kwenye vikao vya kamati tendaji ya kigango nilishauri kukiwa na msiba sadaka ikusanywe mara moja tu.

Kukusanya sadaka mara 2 ule utaratibu unawakwaza watu hata kama hawasemi kwakuwa si eneo la kuhoji bali mazishi pili hata ile sadaka inayokusanywa nilishauri wapewe wafiwa Mana kwa siku2-3 hawatazalisha iwasaidiye.

Kwanini mnachukuwa kuondoka nayo na kusema kuwa itasomewa misa ya marehemu kwani lazima muwasomee? Kusoma kwenyewe mnasema tu ktk misa hii tuungane na familia ya mr Kago anamuombea mr Blue Kago imeisha hiyo.

Nasisitiza suala la kuombea marehemu waachiwe wanafamilia wapange na watafanya misa kubwa maalum.
Kuna tofauti kubwa kati ya muumini anayesali ibada au misa na muumini anayehudhuria ibada/misa takatifu. Wewe ni mtafuta kampani kanisani.

Hujui maana ya sadaka leo hii unataka sadaka igeuzwe rambirambi.
Ile sadaka ya misa ya mazishi ni kwa ajili ya marehemu ambaye aliishi ukristo na alijua wakati wa uhai wake huo utaratibu. Leo hii unataka upewe mgao wako wa sadaka uende nao kilabuni hiyo haikubaliki.

Hatuanzishi sadaka rambirambi, msikwepe majukumu ya kijamii. Unataka utoe sadaka kibuku chako ujifanye umemalizana na rambirambi, katoe kwenye daftari la ukoo wakujue usilete janjajanja.
 
Mimi ni muumini wa kanisa tajwa hapo juu, nimekuwa kiongozi wa jumuia kwa kipindi fulani, niliwahi kumfata paroko kishauriana naye mambo kadhaa, na pia kwenye vikao vya kamati tendaji ya kigango nilishauri kukiwa na msiba sadaka ikusanywe mara moja tu.

Kukusanya sadaka mara 2 ule utaratibu unawakwaza watu hata kama hawasemi kwakuwa si eneo la kuhoji bali mazishi pili hata ile sadaka inayokusanywa nilishauri wapewe wafiwa Mana kwa siku2-3 hawatazalisha iwasaidiye.

Kwanini mnachukuwa kuondoka nayo na kusema kuwa itasomewa misa ya marehemu kwani lazima muwasomee? Kusoma kwenyewe mnasema tu ktk misa hii tuungane na familia ya mr Kago anamuombea mr Blue Kago imeisha hiyo.

Nasisitiza suala la kuombea marehemu waachiwe wanafamilia wapange na watafanya misa kubwa maalum.
sasa si uanzishe kanisa lako na utaratibu wako.

Kwan unalazimishwa kutoa mara 2, huna kaa utulie, kama una umia, umia hivyo ivohivyo na uende ukatoe ushuhuda kwa mwamopsa.

hakuna ataskiza na kutekeleza mapendekezo yako
 
ibada haikamiliki bila sadaka, ufafanuzi zaidi soma biblia sadaka ni ibada kwa Mungu unayemuabudu.

Ikishaitwa sadaka anayehusika nayo ni msimamizi wa madhabahu husika. Kama ni ibada za msibani ni halali kabisa padri kuondoka nazo, familia ya mfiwa inachangiwa rambirambi na siyo sadaka.

Padri ndiyo mlawi wako, anakula madhabahuni na ni lazima umlishe....ukikaidi ni laana kwako haijalishi yeye ataenda kuzitumia kwa namna inayokupendeza ama la
 
Nje ya mada:kanisa sikuhizi uungwana hamna...tena sisi jobless ndo tumetengwa
mana hatutoi zaka1,mavuno sijui michango mfuko wa jumuiya,mara ada ya WAWATA jimbo.oh sijui majitoleo ya nini
usipotoa unaambiwa hufai
 
Tumsifu yesu kristo chief
Milele Amina.

Lakini ukweli tuambiane,sisi waumini Wakatoliki tunaolia lia sana habari za sadaka ni wakati wetu kujitafakari ni either tuwe tunabaki tu majumbani mwetu hicho tunachokiona kingi sana tunachoenda kutoa huko makanisani tule na watoto zetu au kama ni bar tukalewe na jamaa zetu kuliko kujisumbua kuamka mapema kuwahi Kanisani kuongeza idadi ya watu.

Ibada itanifaa nini kama toka mwanzo wa ibada mpaka mwisho wa ibada nakaa nimekunja sura nikiwaza ibada ya leo itakuwa na sadaka ngapi (wakati inajulikana wazi sadaka zipo mbili tu ile kuu na sadaka ya maendeleo ya parokia),hapa nitakuwa na tofauti gani na aliyeenda ku-spend time na malaya au kulewa pombe bar?Kanisa linatutaka kila cent ya toleo muumini analolitoa ktk meza ya Bwana alinenee (kama anajiona hana cha kuomba awaombee hata wenye shida na mahangaiko ya maradhi etc).

Sasa tukishaanza kuwaza habari za matoleo katikati ya ibada mwisho tunaenda kutoa sadaka tukiwa mabubu bila kufanya ombi lolote kwa Mungu yaani kama vile tunalipa bill bar kisa tuna hela mifukoni jambo ambalo Kiliturujia halitakiwi,na hakuna anayelazimishwa kutoa nor kuinuka alipokaa sasa iweje tutende yasiyofaa ktk ibada?kama cha kutoa huna kaa tulia ulipokaa muhimu ujue ni nini kimekupeleka Kanisani (kumuabudu Mungu wako uwe nacho au usiwe nacho yeye ndiye anaijua mifuko yako)

Mkuu jumapili hii usiende Kanisani Mungu akikuamsha salama kabla hujawaza kwenda ibada jitafakari mood yako itakuwa normal (kusikiliza neno lake) au utakuwa unawaza masuala ya sadaka?

Good luck
 
Mimi ni muumini wa kanisa tajwa hapo juu, nimekuwa kiongozi wa jumuia kwa kipindi fulani, niliwahi kumfata paroko kishauriana naye mambo kadhaa, na pia kwenye vikao vya kamati tendaji ya kigango nilishauri kukiwa na msiba sadaka ikusanywe mara moja tu.

Kukusanya sadaka mara 2 ule utaratibu unawakwaza watu hata kama hawasemi kwakuwa si eneo la kuhoji bali mazishi pili hata ile sadaka inayokusanywa nilishauri wapewe wafiwa Mana kwa siku2-3 hawatazalisha iwasaidiye.

Kwanini mnachukuwa kuondoka nayo na kusema kuwa itasomewa misa ya marehemu kwani lazima muwasomee? Kusoma kwenyewe mnasema tu ktk misa hii tuungane na familia ya mr Kago anamuombea mr Blue Kago imeisha hiyo.

Nasisitiza suala la kuombea marehemu waachiwe wanafamilia wapange na watafanya misa kubwa maalum.
Aisee katubu ndugu. Kumbe ni kwaajili ya Misa mmh. Kuna kitu juu ya hizo misa za marehemu hukijui kabisa. Na umeleta huku ili watu watukane na kukufuru.

Kwanza hiyo sadaka ya pili huwa wanapata sh ngapi??
Na yote ni kutokana na ubinafsi wa wafiwa kujifikiria wao tuu, uchungu wao tuu kama ambavyo nawe umewa sapoti.. Badala ya kufikiria zaidi hali ya yule aliyeondoka, alikufaje? Alijiandaa, yupo wapi muda huo wakati watu watu wapo bize kulia lia na baadaye kugombea mirathi??

Misa hizo huwa zinasomwa misa 30 kwa siku 30 na lazima ishara kubwa itokee after that.. Kama ungeijua kwa imani maana yake aisee sijui ungeomba nawe maelfu ya misa Zisomwe kwaajili ya maelfu, kwa malaki, kama sio mamilioni ya Roho zinazoteseka mno baada ya kutelekezwa na jamaa zao waliojifanya kuwapenda sana walipokuwa hai lakini hawakuwakumbuka kuwaombea huruma ya Mungu baada ya kifo chao.
Fikiria juu ya mamilioni ya watu wasioamini juu ya huruma na rehema ya Mungu kwa marehemu, kutokana na mafundisho ya imani zao. Wote hao ni Wajibu wa Kanisa Katoliki kuwaombea hasa sisi waumini.

Kumbuka nia za kuwaombea Marehemu wanaoteseka toharani wasio na waombezi.

Ni watu wachache sana sana katika Dunia hii ngumu ambao wakifa wanaenda directly Mbinguni ni wachache mno.. Na ni watakatifu hasa na wanaokufa kishahidi kama kina Stephano..

Lakini wengi tunakufa tukiwa na mapungufu mengi mengi hata kama wengine walituona kama tuliishi kitakatifu lakini mioyo yetu kila mtu anaujua wake ulivyo, uvivu, uchoyo, tamaa, kiburi, majivuni, chuki, hasira, ulafi, uzembe, kutotimiza Wajibu, kutokuwa na huruma, ulevi, kutosaidia wenye uhitaji, kutofariji wafiwa na wenye huzuni na upweke, kutozika wafu, kijicho, ushabiki wa siasa tena chafu, kujiinua, kujiona mkamilifu, kudharau wengine, kubagua, undugunization, kutosalimia na kutowajulia hali watu, ndugu, rafiki, jirani. Umbea, usengenyaji, majungu, ubahili, kufurahia kushindwa au kuanguka kwa wengine, ujuaji, kupenda sifa badala ya kusifiwa Mungu, kusikiliza sauti mbaya iwe miziki, movie, tamthilia, vipindi, michezo, kunyima watu lifti, kutaka vizuri upate wewe tuu...
Utoaji mimba, ukosefu wa usafi wa moyo, kutovumilia mateso, manung'uniko, ulalamishi, kutosali kwa ibada na uchaji, kujifanya unaamini wakati imani yako ni haba, ku pretend ni mwema wakati sio
Na maelfu kwa maelfu ya dhambi... Kutumia vidhibiti mimba, kupandikiza watoto, malezi mabovu, kutochukua hatua

Je unadhani usipojitafiti na kujipekua ndani ya dhamiri yako utaiona mbingu??? Utaishia kuhukumu wengine tuu.

Hivyo ni lazima kuwaimbea msamaha na Huruma ya Mungu wote wanaokufa siku zote za maisha yetu maana na wao wamekufa wakiwa na mapungufu mengi kama ambavyo sisi tunayo.

Mwenyezi Mungu awahurumie, awasamehe, awatakase na kuwapokea katika utukufu wake huku wakisubiri hukumu ya mwisho ya wazima na wafu.
 
Nje ya mada:kanisa sikuhizi uungwana hamna...tena sisi jobless ndo tumetengwa
mana hatutoi zaka1,mavuno sijui michango mfuko wa jumuiya,mara ada ya WAWATA jimbo.oh sijui majitoleo ya nini
usipotoa unaambiwa hufai
Hakuna anayekutenga mimi kama muumini mwenzako sina mamlaka ya kukutenga sababu kwanza sikijui kipato chako (anayejua ni Mungu anayekuamsha kila siku kwenda kutafuta chochote kitu).

Kama unajua kabisa kwamba kutoka kwako kote kila siku hukufanikiwa kupata chochote,hata hela ya kula hukupata,ya kununua bundle,kununua nguo mpya wewe mwanamke kwenda kusuka hukupata kwanini mimi nikutenge wakati siye niliyesimamia mipango yako yote ya week nzima?

Usijistukie wewe hutengwi kinakutesa dhamira ya nafsi yako kukuonya kuhusu kujitenga na mambo ya Kimungu.
 
Shida haya mambo ya imani hayanaga kuhoji na hata ukisema unahoji haujibiwi kwa hoja.

Utapewa kashfa na kejeli zote kwa mwamvuli wa kukosa imani na ndo inakuwa imeishia hapo.
 
Back
Top Bottom