Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kwani msipotoa wanawanyima pumzi ?Mnashindwa wapi kusoma saikolojia za watu.Yani kunapokuwa na matukio ya komunyo ya kwanza au kupaimara mnawakamuwa waumini michango hadi wanachukia dini.Halafu siku ya tukio la komunyo bado tena wanakamuliwa wazazi kupitia harambee tena siyo tu kuwahusisha wanaume katoliki na wanawake katoliki bali wanaitwa watoto wanapangwa mbele na kuitwa kila mzazi aje kumgombowa mtoto,halitoshi mama aliyesuka vizuri anapelekewa kikapu.Acheni kuwadhalilisha wazazi kama alibakiwa na buku2 hatimaye anashindwa hata kukodi boda.Michango ya ujenzi inautaratibu wake haya mengine ni unyanyasaji.
Jamaa mi naona wanazingua tu af kwenye jumuiya ya juzi wakawa kama wamenichunia hivi😁Kuna mchango eti wa mashindano kati ya UWAKA (chama cha wanaume); WAWATA (chama cha wanawake); VIWAWA (chama cha vijana) na UTOTO MTAKATIFU (chama cha watoto) nani atamzidi mwenzake wakati hawa wote wanatoka familia moja au nyumba moja. Ni kama KIKOKOTOO cha aina fulani hivi.
Unaujua ufukara lakn kiongozi 😃 huyo anaigiza ufukaraNdio mmiliki wa shule ya sekondari ya Alfa.
Ukweli anaishi kifukara na pengine ni moja wapo wa mapadre wachache wanao ishi viapo na nadhiri zao kikamilifu.
Padre wa kanisa katoliki anaweka nadhiri na kiapo cha Ufukara, useja na utii.
Wengi wa mapadre ufukara hawajaweza kuwa waaminifu kwa hilo.
Mimi ni kiongozi wa Jumuiya, mchango natoa nikiamua. sifuati pressure za kipuuzi.Jamaa mi naona wanazingua tu af kwenye jumuiya ya juzi wakawa kama wamenichunia hivi😁
Kweli.lakini si kwa ujinga kama nilivyoeleza.Changia Kanisa lako Comrade. Kanisa litajengwa na sisi wenyewe.
Padre anahudumiwa chakula na mavazi.kifupi mahitaji muhimu .lakini staili inayotumika kukufanya inakera.Hapo ndo wanapozinguaga michango lukuki kuanzia jumuiyani mpk kwenye matuki yaani mapadre wananenepa kupindukia.
Fikiria siku za Kazi ni Siku 6, siku moja Ukalime kwenye Jumuia, siku ya pili ukalime kanisani, Siku nyingine ni siku ya Mafungo au Ibada ya Mtakatifu Petro.Sie wengine tumeishia kwenda kusali tu , mengine mbele kwa mbele,,,ukisema ujifanye muumini mzuri unaanza kukaangwa tokea kwenye jumuiya
Kujenga parokia ni jukumu letu.lakini soma utagunduwa hoja yangu na kero.Tunaomba usi-generalize tafadhali! Kanisa Katoliki linajielewa! Kwa akina Mwamposa mkiagizwa kuku mweupe mnapeleka bila kuhoji! Wacha hizo mkuu! Sasa unataka nani aje akujengee Parokia yako?
Kwani mnalazimishwa kwenda huko makanisani?Mnashindwa wapi kusoma saikolojia za watu.Yani kunapokuwa na matukio ya komunyo ya kwanza au kupaimara mnawakamuwa waumini michango hadi wanachukia dini.Halafu siku ya tukio la komunyo bado tena wanakamuliwa wazazi kupitia harambee tena siyo tu kuwahusisha wanaume katoliki na wanawake katoliki bali wanaitwa watoto wanapangwa mbele na kuitwa kila mzazi aje kumgombowa mtoto,halitoshi mama aliyesuka vizuri anapelekewa kikapu.Acheni kuwadhalilisha wazazi kama alibakiwa na buku2 hatimaye anashindwa hata kukodi boda.Michango ya ujenzi inautaratibu wake haya mengine ni unyanyasaji.
Sijaenda muda sanaMimi naendaga kanisani kuwapeleka wanangu
Nilichoona wengi wanafuata mkumbo,.kujionyesha Kwa watuKwani mnalazimishwa kwenda huko makanisani?
Mtu ukisema sitaki kwenda, watakulazimisha uende?
Kaazi sanaFikiria siku za Kazi ni Siku 6, siku moja Ukalime kwenye Jumuia, siku ya pili ukalime kanisani, Siku nyingine ni siku ya Mafungo au Ibada ya Mtakatifu Petro.
Una baki na siku tatu, nyingine ukajitolee kwenye hizi shule za Kata za ccm.
Umaskini hauwezi kuisha.
Huu ni wizi wa kutumia akiliKuna mchango eti wa mashindano kati ya UWAKA (chama cha wanaume); WAWATA (chama cha wanawake); VIWAWA (chama cha vijana) na UTOTO MTAKATIFU (chama cha watoto) nani atamzidi mwenzake wakati hawa wote wanatoka familia moja au nyumba moja. Ni kama KIKOKOTOO cha aina fulani hivi.
Hapa umegeuka kuwa mpotoshaji wa wazi kwa kusema eti huu ni wizi wa kutumia akili. Hiyo ni njia tu ya kuwahamasisha waumini kuchangia.Huu ni wizi wa kutumia akili
Hili suala miaka ya karibuni limewachosha waumini wengi, ndo maana imefika hatua hata waumini wengine kutopenda kwenda kanisani wala jumuiya,.Hapa umegeuka kuwa mpotoshaji wa wazi kwa kusema eti huu ni wizi wa kutumia akili. Hiyo ni njia tu ya kuwahamasisha waumini kuchangia.
Na uzuri hiyo michango huwa tunachanga kwa ajili ya maendeleo ya Kanisa! Na mchanganuo wa matumizi yake siku zote ni wa wazi.
Huwezi kubaki umekaa......Hiyo ni sadaka au Kodi?Hili suala miaka ya karibuni limewachosha waumini wengi, ndo maana imefika hatua hata waumini wengine kutopenda kwenda kanisani wala jumuiya,.
Siku hizi kama mtu huna sadaka huwezi kwenda kanisani, maana wananyanyua bench moja baada ya nyingine.
As i said before! Kanisa ni mali yetu waumini. Kwa hiyo ni sisi wenyewe ndiyo tutakao lijenga.Hili suala miaka ya karibuni limewachosha waumini wengi, ndo maana imefika hatua hata waumini wengine kutopenda kwenda kanisani wala jumuiya,.
Siku hizi kama mtu huna sadaka huwezi kwenda kanisani, maana wananyanyua bench moja baada ya nyingine.
Watu wengi wanaishi kwa kuangalia macho ya watu, kuangalia jamii inawaonaje, si kwa kuangalia wao wenyewe wanataka kuishi vipi?Nilichoona wengi wanafuata mkumbo,.kujionyesha Kwa watu
Pigaaaa hao maamae , na juzi nikaona video moja padili mmoja ananyandua kademu uganda huku kajirekodi duh yaani mnachangia hela zenu watu wanaend kunyandulia, hatari sanaMnashindwa wapi kusoma saikolojia za watu.Yani kunapokuwa na matukio ya komunyo ya kwanza au kupaimara mnawakamua waumini michango hadi wanachukia dini.
Halafu siku ya tukio la komunyo bado tena wanakamuliwa wazazi kupitia harambee tena siyo tu kuwahusisha wanaume katoliki na wanawake katoliki bali wanaitwa watoto wanapangwa mbele na kuitwa kila mzazi aje kumgombowa mtoto, halitoshi mama aliyesuka vizuri anapelekewa kikapu.
Acheni kuwadhalilisha wazazi kama alibakiwa na buku 2 hatimaye anashindwa hata kukodi boda. Michango ya ujenzi ina utaratibu wake haya mengine ni unyanyasaji.