Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero

Kwani msipotoa wanawanyima pumzi ?
Acheni kujiendekeza.
 
Jamaa mi naona wanazingua tu af kwenye jumuiya ya juzi wakawa kama wamenichunia hivi😁
 
Unaujua ufukara lakn kiongozi 😃 huyo anaigiza ufukara
 
Sie wengine tumeishia kwenda kusali tu , mengine mbele kwa mbele,,,ukisema ujifanye muumini mzuri unaanza kukaangwa tokea kwenye jumuiya
Fikiria siku za Kazi ni Siku 6, siku moja Ukalime kwenye Jumuia, siku ya pili ukalime kanisani, Siku nyingine ni siku ya Mafungo au Ibada ya Mtakatifu Petro.

Una baki na siku tatu, nyingine ukajitolee kwenye hizi shule za Kata za ccm.

Umaskini hauwezi kuisha.
 
Kwani mnalazimishwa kwenda huko makanisani?

Mtu ukisema sitaki kwenda, watakulazimisha uende?
 
Kaazi sana
 
Huu ni wizi wa kutumia akili
 
Hili suala miaka ya karibuni limewachosha waumini wengi, ndo maana imefika hatua hata waumini wengine kutopenda kwenda kanisani wala jumuiya,.
Siku hizi kama mtu huna sadaka huwezi kwenda kanisani, maana wananyanyua bench moja baada ya nyingine.
 
Hili suala miaka ya karibuni limewachosha waumini wengi, ndo maana imefika hatua hata waumini wengine kutopenda kwenda kanisani wala jumuiya,.
Siku hizi kama mtu huna sadaka huwezi kwenda kanisani, maana wananyanyua bench moja baada ya nyingine.
As i said before! Kanisa ni mali yetu waumini. Kwa hiyo ni sisi wenyewe ndiyo tutakao lijenga.

Kuhusu kutoa sadaka kwa kunyanyuka benchi moja baada ya jingine; kwa upande wangu sioni kama kuna shida! Tena Parokiani kwangu huwa wanasema kama huna hiyo sadaka, unaenda pia kule mbele na waumini wenzako kumshukuru Mungu ili wiki ijayo akupatie kipato cha kutoa kama wengine.
 
Nilichoona wengi wanafuata mkumbo,.kujionyesha Kwa watu
Watu wengi wanaishi kwa kuangalia macho ya watu, kuangalia jamii inawaonaje, si kwa kuangalia wao wenyewe wanataka kuishi vipi?

Matokeo yake unafiki mwingi.

Unatoa kwa kulazimishwa huku roho inakuuma, bora hata tuliojiamulia tusiende kanisani kabisa, hatutaki unafiki.
 
Pigaaaa hao maamae , na juzi nikaona video moja padili mmoja ananyandua kademu uganda huku kajirekodi duh yaani mnachangia hela zenu watu wanaend kunyandulia, hatari sana
 
Sadaka sikuizi imekua ni kama lazima maan unatajwa jina au unanyanyuliw kwa aibu n unatoa au kuahid ila walioweng awazitimiz ahadi zao kwa kuwa aiufungaman na moyo wake
KKKT jumapili ya kawaida kuna sadaka ya shukrn ya wiki ,ahadi na jengo (kadi),shukrani ya neno (baada ya maubili) na kazi za jimbo na mission . Izi nne ni lazima ziwepo hapo bado zaka mala vijana wanatak kwend kushoot video wanaitaji mchango ukifanya masiala 10 linakatika pale pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…