Kanisa Katoliki, Muungeni Mkono Rais Samia kwa kuwa Uraisi amepewa na Mungu

Kanisa Katoliki, Muungeni Mkono Rais Samia kwa kuwa Uraisi amepewa na Mungu

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa, nitoe Rai kwa Kanisa Katoliki ambalo ni kanisa Mama na lenye mchango wa kipekee kwa hili Taifa tangu uhuru mpaka sasa.

Sisi waumini na wananchi kwa ujumla tunaona ufinyu wa nafasi yenu katika kuunga mkono serikali ya Rais Samia tofauti na serikali iliyopita. Je, ni kwa sababu Rais Magufuli alikuwa Mkristu? Je, ni sababu Rais Samia ni Muislamu.

Metendo yenu yawe sawa kwa watu wote na tusibague kwa kuwa huyu sio wa kwetu la hasha tutakua tunatenda dhambi.

Mama huyu mnyenyekevu sana na mwenye hofu ya Mungu na heshima kwa Viongozi wa dini na wazee, wakati wote amejiepusha na ubaguzi wa kidini na kutoa upendeleo sawa kwa madhehebu yote ya dini bila kubagua.

Katika Jambo lolote ameshirikisha madhehebu yote na kuwapa uzito sawa. Ni kweli suala la bandari linahitaji maboresho lakini sio kupinga moja kwa moja. Mathalani ishu ya ukomo wa mkatabaa ni muhimu na maeneo ya uwekezaji yanabaki mambo muhimu.

Tusisahau Rais Samia angeamua kusaini mkataba bila kuweka mkataba public je mngefanya nini. mikataba mingapi imesainiwa kimya kimya. Je kwanini huyu mama asipewe pongezi?

Huyu Mama ambaye Mungu amempa kibali mwacheni atawale kwa muda wake. Maumivu ya kanisa kwa Hayati Magufuli lazima tukubali ni mapenzi ya Mungu. Mungu ndio huamua awe hai hatakama wanadamu watahusika.

Ni nafasi yenu kurekebisha, hili Taifa linaaongozwa na Mkono wa Mungu.

AMEN
 
Mbwa koko wewe.
Hakuna mwislamu wala mkristo anayeunga mkono uuzwaji wa bandari yetu.
Si wana CCM wala upinzani. Wote tuko kuilinda nchi yetu.
Ona ilivyo kimya kwa
1. Chongolo
2. Polepole
3. Bashiru
4. Mpango
Na wengine wengi.

Acha kutugawa kidini.

Akauze vya Zanzibar
 
Mbwa koko wewe.
Hakuna mwislamu wa mkristo anayeunga mkono uuzwaji wa bandari yetu.
Si wana CCM wala upinzani. Wote tuko kuilinda nchi yetu.
Ona ilivyo kimya kwa
1. Chongolo
2. Polepole
3. Bashiru
4. Mpango
Na wengine wengi.

Acha kutugawa kidini.

Akauze vya Zanzibar
Nini kinachouzwa
 
Kwamba wakae kimya kama BAKWATA walivyokaa kimya wakidhani anayekuja anakuja kueneza dini zaidi ya wao wanavyoeneza?

Hapa ndipo utaona wale wanafiq wanaoikataa BAKWATA wakiiona ya maana kwa sababu haijamkataa huyo anayekuja,kelele ni nyingi miluzi ni mingi wapo watu hili jambo wanalichukulia kama la kidini lakini muda unakuja wote tutaelewana.
 
Tafadhali usiligombanishe Kanisa na Rais wa nchi.

Sijaona popote pale ambapo Kanisa Katoliki lilijaribu kumkwamisha Rais Samia. Hata hili swala la Bandari, bado waraka wa TEC ambao ndio haswa msimamo wa kanisa haujatoka.

Lakini pia, hakuna anayekataa Uendelezaji wa Bandari. Badala yake ni aina ya mkataba unaoashiria kutokuwa na nia njema na nchi yetu.
 
Tafadhali usiligombanishe Kanisa na Rais wa nchi.

Sijaona popote pale ambapo Kanisa Katoliki lilijaribu kumkwamisha Rais Samia. Hata hili swala la Bandari, bado waraka wa TEC ambao ndio haswa msimamo wa kanisa haujatoka...
Mpaka inapanda hii ni kwa sababu dhima yao imejulikana
Hakuna haja ya kuficha
Penyewe kanisa linakosea wacha tuliseme
 
Mbwa koko wewe.
Hakuna mwislamu wala mkristo anayeunga mkono uuzwaji wa bandari yetu.
Si wana CCM wala upinzani. Wote tuko kuilinda nchi yetu...
Tushajua mnachuki za kidini. sasa na sisi tumeanza kuwaambia waislamu wenzetu kuwa hili suala sio bandari kupewa mrwabu tatizo ni udini kama mbwai mbwaii.

Tumewachoka na chokochoko zenu pindipo rais akiwa muislamu
 
Unajuaje kwamba kapewa na Mungu?

Kipindi cha Farao, Musa pamoja na Mungu kutumia muujiza wa Nyoka kupitia fimbo ya Musa, hata Farao alitumia wachawi kutoa muujiza wa Nyoka!
 
tushajua mnachuki za kidini. sasa na sisi tumeanza kuwaambia waislamu wenzetu kuwa hili suala sio bandari kupewa mrwabu tatizo ni udini kama mbwai mbwaii. tumewachoka na chokochoko zenu pindipo rais akiwa muislamu
Mimi ni mkatoliki ila nawaambia ukweli.

Sikuwaona Ikulu dodoma na wakati wote wamekuwa wakimkwepa rais sasa Rais afanye nini wacha tumsemee
 
Unajuaje kwamba kapewa na Mungu?

Kipindi cha Farao, Musa pamoja na Mungu kutumia miujiza wa Nyoka kupitia fimbo ya Musa, hata Farao alitumia wachawi kutoa muujiza wa Nyoka!
Imeandikwa tawala na Falmer zote zinatoka kwa Mungu
 
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa, nitoe Rai kwa Kanisa Katoliki ambalo ni kanisa Mama na lenye mchango wa kipekee kwa hili Taifa tangu uhuru mpaka sasa.
Sisi waumini na wananchi kwa ujumla tunaona ufinyu wa nafasi yenu katika kuunga mkono serikali ya Rais Samia tofauti na serikali iliyopitq. Je ni kwa sababu Rais Magufuli alikuwa Mktisto..? Je ni sababu Rais Samia ni Muislamu.
Metendo yenu yawe sawa kwa watu wote na tusibague kwa kuwa huyu sio wa kwetu la hasha tutakua tunatenda dhambi.
Mama huyu mnyenyekevu sana na mwenye hofu ya Mungu na heshima kwa Viongozi wa dini na wazee, wakati wote amejiepusha na ubaguzi wa kidini na kutoa upendeleo sawa kwa madhehebu yote ya dini bila kubagua.
Katika Jambo lolote ameshirikisha madhehebu yote na kuwapa uzito sawa.
Ni kweli suala la bandari linahitaji maboresho lakini sio kupinga moja kwa moja. Mathalani ishu ya ukomo wa mkatabaa ni muhimu na maeneo ya uwekezaji yanabaki mambo muhimu.
Tusisahau Rais Samia angeamua kusaini mkataba bila kuweka mkataba public je mngefanya nini. mikataba mingapi imesainiwa kimya kimya. Je kwanini huyu mama asipewe pongezi..?
Huyu Mama ambaye Mungu amempa kibali mwacheni atawale kwa muda wake.
Maumivu ya kanisa kwa Hayati Magufuli lazima tukubali ni mapenzi ya Mungu. Mungu ndio huamua awe hai hatakama wanadamu watahusika.

Ni nafasi yenu kurekebisha, hili Taifa linaaongozwa na Mkono wa Mungu.

AMEN
Umetumwaah!!
 
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa, nitoe Rai kwa Kanisa Katoliki ambalo ni kanisa Mama na lenye mchango wa kipekee kwa hili Taifa tangu uhuru mpaka sasa.
Sisi waumini na wananchi kwa ujumla tunaona ufinyu wa nafasi yenu katika kuunga mkono serikali ya Rais Samia tofauti na serikali iliyopitq. Je ni kwa sababu Rais Magufuli alikuwa Mktisto..? Je ni sababu Rais Samia ni Muislamu.
Metendo yenu yawe sawa kwa watu wote na tusibague kwa kuwa huyu sio wa kwetu la hasha tutakua tunatenda dhambi.
Mama huyu mnyenyekevu sana na mwenye hofu ya Mungu na heshima kwa Viongozi wa dini na wazee, wakati wote amejiepusha na ubaguzi wa kidini na kutoa upendeleo sawa kwa madhehebu yote ya dini bila kubagua.
Katika Jambo lolote ameshirikisha madhehebu yote na kuwapa uzito sawa.
Ni kweli suala la bandari linahitaji maboresho lakini sio kupinga moja kwa moja. Mathalani ishu ya ukomo wa mkatabaa ni muhimu na maeneo ya uwekezaji yanabaki mambo muhimu.
Tusisahau Rais Samia angeamua kusaini mkataba bila kuweka mkataba public je mngefanya nini. mikataba mingapi imesainiwa kimya kimya. Je kwanini huyu mama asipewe pongezi..?
Huyu Mama ambaye Mungu amempa kibali mwacheni atawale kwa muda wake.
Maumivu ya kanisa kwa Hayati Magufuli lazima tukubali ni mapenzi ya Mungu. Mungu ndio huamua awe hai hatakama wanadamu watahusika.

Ni nafasi yenu kurekebisha, hili Taifa linaaongozwa na Mkono wa Mungu.

AMEN
 

Attachments

  • IMG_0779.MP4
    1.4 MB
Back
Top Bottom