Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Means ukitoa hela kubwa harudishi chenji imeenda iyoMia bili kwa mkate, mandazi ni mia. Na hakuna chenji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Means ukitoa hela kubwa harudishi chenji imeenda iyoMia bili kwa mkate, mandazi ni mia. Na hakuna chenji
udongo wa pemba au?Tapeli kivipi Mkuu wakati watu wananunua Mikate?
Si bora huyu anauza mikate kuliko wale wengine wanaowauzia wenzao Udongo.
Ila kweli yaani watu wako timamu kabisa wananunua udongo...ajabu sana.Tapeli kivipi Mkuu wakati watu wananunua Mikate?
Si bora huyu anauza mikate kuliko wale wengine wanaowauzia wenzao Udongo.
Iwe Tanzania au Kenya, Wakristo wake ni kama wana CCM tuMchungaji kenya kaazisha biashara ndani ya kanisa na waumini wana nunua bidhaa hii ni ajabu af jirani ana jisufi yupo na akili mingi kwq hili hapana
Sio wote wachache wenye imani habaIwe Tanzania au Kenya, Wakristo wake ni kama wana CCM tu
kivipi? Mbona CCM iko freshi tu na kazi inaendeleaIwe Tanzania au Kenya, Wakristo wake ni kama wana CCM tu
Kumbe na wewe umeona? Ahahah***** walai, na anawaambia hakuna chenji 🤣
Halafu kuna cheko moja la dharau kalitoa 😂🤣
Au sioWako sahihi kwa 100% sababu dini ni Biashara, Wengi hawajalijua hili.
Kawachukulia ni maboya kupitiliza😂🤣Kumbe na wewe umeona? Ahahah
Hii mbaya sana ukionaga clip zake unaweza sema hawa waumini wamelogwa?Kawachukulia ni maboya kupitiliza😂🤣
Watu wengi wana matatizo ya akili bila kujijua. Hawa wote ni kwamba **** nati kichwani zimelegeaHii mbaya sana ukionaga clip zake unaweza sema hawa waumini wamelogwa?
Ila kenya wametuzidi ni stupid kupitilizaWatu wengi wana matatizo ya akili bila kujijua. Hawa wote ni kwamba **** nati kichwani zimelegea
Hapo ndio ulitaka ufanyie nauli ya back homeChenchi hakuna..... 🤣
Khaaa 😆😆😆🙌..kumbe machizi wa Mwampy wamo humu humuIla udongo hata mimi niliwahi kununua eti nikaweke shamba. Sijui niliingiliwa na nini pumbavu mie
Manabii na mitume wa Tanganyika hujaona biashara wanayofanya mkuu mpaka ukachukue mifano Kenya?Mchungaji kenya kaazisha biashara ndani ya kanisa na waumini wana nunua bidhaa hii ni ajabu af jirani ana jisufi yupo na akili mingi kwq hili hapana
Huyu siye yule somebody Nganga?Kuna siku ana watukana kabisa na wanacheka