Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
Ahahah babu unge kuwepo si unge pelekaShilingi 1,000 ya Kenya ni zaidi ya shilingi 25,000 hivi za Tanzania roughly
Kweli Wajinga ndiyo waliwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah babu unge kuwepo si unge pelekaShilingi 1,000 ya Kenya ni zaidi ya shilingi 25,000 hivi za Tanzania roughly
Kweli Wajinga ndiyo waliwao
Shilingi 1,000 ya Kenya ni zaidi ya shilingi 25,000 hivi za Tanzania roughlyExtrovert OKW BOBAN SUNZU hamis77 Grahams Zulu man mshamba_hachekwi Saint Anno II The Icebreaker mtumishi wenu mume muona jioni hii
Kama wamegoma kukupa chenji ndio watakurudishia hela 😂🤣😄😄Mm ningechukua ya Hela yangu aisee
SahihiHana tofauti na wale wanaouza udongo, maji, vitambaa n.k. kote ni biashara tu. Tofauti ni jinsi wanavyoifanya biashara yenyewe
Wa nani tena kijana?Extrovert OKW BOBAN SUNZU hamis77 Grahams Zulu man mshamba_hachekwi Saint Anno II The Icebreaker mtumishi wenu mume muona jioni hii
Wewe hapoWa nani tena kijana?
Siku ukikuta mkeo kauziwa chupi ya upako utulie😂Ila udongo hata mimi niliwahi kununua eti nikaweke shamba. Sijui niliingiliwa na nini pumbavu mie
Huyu jamaa ni tapeli ,Huwa nacheka sana anavyowaibiaExtrovert OKW BOBAN SUNZU hamis77 Grahams Zulu man mshamba_hachekwi Saint Anno II The Icebreaker mtumishi wenu mume muona jioni hii
Ahhaha acha kabisaHuyu jamaa ni tapeli ,Huwa nacheka sana anavyowaibia
Ni lazima upumbazwe,ndio maana siwezi kumruhusu Mchungaji ,nabii au mtume nisiyemuamini aniwekee mikono ,Huwa wanaamisha nguvu zao ambazo ndio hizo zinakufanya unakuwa msukule waoAhhaha acha kabisa
Sure kabisaNi lazima upumbazwe,ndio maana siwezi kumruhusu Mchungaji ,nabii au mtume nisiyemuamini aniwekee mikono ,Huwa wanaamisha nguvu zao ambazo ndio hizo zinakufanya unakuwa msukule wao
😂😂😂😂😂😂😀😀😀View attachment 3189499
Ndo huyu hapa anayemfinya kuku😂
😂😂😂😂😂Mchungaji kenya kaazisha biashara ndani ya kanisa na waumini wana nunua bidhaa hii ni ajabu af jirani ana jisufi yupo na akili mingi kwq hili hapana
Ulinunua udongo kwa nani na bei gani?Ila udongo hata mimi niliwahi kununua eti nikaweke shamba. Sijui niliingiliwa na nini pumbavu mie
Wakristo mnafeli wapi mbona mko hivi JAMANI nili mtakomboka kutoka katika dhulma hiziMchungaji kenya kaazisha biashara ndani ya kanisa na waumini wana nunua bidhaa hii ni ajabu af jirani ana jisufi yupo na akili mingi kwq hili hapana
Hahaha.....................nisingepeleka aisee, nimetokea kutowakubali hao Manabii wa UwongoAhahah babu unge kuwepo si unge peleka