Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Mpaka aweje ndio utaamini ni Muislam?Una muona muislam hata mmoja hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka aweje ndio utaamini ni Muislam?Una muona muislam hata mmoja hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida iacheni tuu.
Magaidi wote ni Waislam lakini si Waislam wote ni MagaidiNi vigumu sana kuutofautisha uislam na ugaidi.
soma na huko chin yaan kipind wakristu wa hilo kanisa wanasherehekea sikukuu yao, waisrael wakiwa wanashambulia huko Gaza wapalestina wameona wakajihifadhi humo ndanMkenya umesahau kufuta hiyo.
Wadanganye wasioijuwa bibilia:Wakristo tunafundishwa UPENDO kwa watu wote, sio kuwaua wasio Wakristo
Inapendeza sana
Ndugu yangu Mlolongo Mjingamimi Kikwajuni One na FaizaFoxy karibuni katika Ibada ya Kanisa la Adventist Wasabato jumamosi ijayo ndugu zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23] hamas oyeee , wamekiwasha hlf wamewaachia msala wapalestina1Angalia hyo picha.kuna mavazi ya waislam?angalia wanawake wame vaa hijab?. Mleta madam ni MUONGO MUONGO.waislam tunajuana
Soma kwanza habari.au kiingereza haujui?Mpaka aweje ndio utaamini ni Muislam?
Let's chat in english then.... right?Soma kwanza habari.au kiingereza haujui?
U should not put a "full stop" between Habari and au.Soma kwanza habari.au kiingereza haujui?
haya soma sasa maelezo ya picha.hao akina nani wapo kanisani?Let's chat in english then.... right?
Basi watakuwa wameiga maneno ya Quran yanayoruhusu mauajiWadanganye wasito ijuwa bibilia:
LUKA 19:
26 Nawaambia, Kila aliye na kitu atapewa, bali yule asiye na kitu atanyang'anywa hata alicho nacho.
27 Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.
Kwanini unaweka full stop katikati ya sentensi?haya soma sasa maelezo ya picha.hao akina nani wapo kanisani?
Ungekuwa unajua hilo.ungesoma kwanza habari kabla ya kuja kunijibu.umejiona vile hauna akili?Kwanini unaweka full stop katikati ya sentensi?
Andika hata kiarabu kutoka kulia kwenda kushoto nitaelewa
Haupo sahihiBasi watakuwa wameiga maneno ya Quran yanayoruhusu mauaji
View attachment 2783932
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Asiye na Akili ni wewe usiyejua kuandikaUngekuwa unajua hilo.ungesoma kwanza habari kabla ya kuja kunijibu.umejiona vile hauna akili?
Haya mwambie mleta mada wewe ni kiazi
Ila wewe unayekurupuka ndo mwenye akili.?😆😆😆mwamba kakujaza ujinga.hao wakristo wa orthodox wakiwa kanisani wakiendelea na ibada ya Christmas.
Cha ajabu baba wa ugaidi ni nchi ya kikristo Marekani.Ni vigumu sana kuutofautisha uislam na ugaidi.
Huwa mnadhani wapelestina wote waislam,na kuegemea kwa Israel kwenye Vita hivi, Israel anaua wapelestina waislam na wakiristoWataanza kuchagua maji mengi(marefu wazame) au machache wamwagiwe kichwani tu.
Umeishia wapi? Naona full stop katikati ya maandishiIla wewe unayekurupuka ndo mwenye akili.?[emoji38][emoji38][emoji38]mwamba kakujaza ujinga.hao wakristo wa orthodox wakiwa kanisani wakiendelea na ibada ya Christmas.
Unaona hizo suti?ebu tulia angalia hizo picha.alafu nioneshe muislam yupo wapi ?picha zinaonesha kabisa watu wapo kanisani wanaendelea na ibada yeye anasema wapo kwenye hifadhi.kwenye hifadhi ungewaona wamesimama?hata watoto hawapo.aache uongo