Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Akili kiduchu[emoji108]
 

Mbona unazidi kubabaika? Kwani kuna mtu alikuingiza ukatoliki na Sasa anataka utoke?
 
Usikute ni mapadre walipageuza kuwa uwanja wa masumbwi.

Mi siwaamini kabisa mapadre wa kikatoliki. Wamekuwa walevi, wazinzi na wanyang'anyi.

Kuna paroko mmoja anafanya biashara ya pombe ni mlevi mbwa na anatembea na wake za watu.
Hahahaha si yule jamaa wa Southern Highland huko au? Fungueni code hiyo maana hata kutaja mkoa naona noma, jamaa nilimkuta anakula bia mixer makali yuko na washkaji zake kwenye duka lake la mvinyo story zinazopigwa hapo hutoweza kutamani kwenda kanisani maana wahuni wana mambo lundo, moja ya story ilinivutia sana ni pale mmoja wao alipokuwa akimsifia boss wake mmoja kuwa ni mtu poa sana kipindi chake yeye ndio alikuwa mhasibu wake walikula maisha hamna mfano yaani jamaa ni mtu wa watu sana [emoji2][emoji2]
 
Motive ya wahalifu hawa haikua wizi
 

Siku yakikukuta usije kujuta

 
Wahusika watakufa wote ni muda tu.
hakuna lolote litakalowapata. Tena walitakiwa wanyee na kukojolea humo kabisa. Kuna wenzenu walisema hivyo hivyo mbagala huko eti ukichana quran utakuwa chizi, mtoto mdogo tu akachana na akaikojolea when nothing happened wakaanzisha fujo kuwa kitabu chao kimedharauliwa😂😂😂enyi watu sijui upumbavu utawaisha lini
 
Watakapowabandua watoto wako ndo akili zitakukaa sawa
 
Mkuu hawa watawa ukiwakuta kwenye angle zao wala usiwa judge sana! majoho na utumikiaji huwekwa pembeni, anakula kilaji na kichwa cha chini kikhwaka tamaa anakihudumia vizuri either kwa mke wa mtu ama moja ya wanakondoo binti mtekemteke.
Wapambe wao wanayajua mengi ya sirini yawahusuyo mapadre...!

Huyo nnaye mjua mimi aliwahi kutumikia huko jimbo la geita akahamishwa ila miradi yake bado ipo kule.
 
Yaani hiyo wamevunja mguu, hawa jeuri kweli kweli!!!
 
Wakatoliki wakiona hilo sanamu hapo limevunjika sijui wanajisikiaje, kesho watatengeneza jingine wakalipigie magoti
 
Umeamua kurudisha mpira kwa Kipa baada ya kukosa hoja?
😀😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…