Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Inawezekana , labda ni wakristo wamesilimu baada ya kupata elimu ya kuwaonyesha ukweli ,walikasirishwa kwa kutapeliwa muda mrefu wakaona njia ya kulipiza ni kulifanyia uhuni kanisa

Jaribu kuwa na akili basi,
 
Asie sikia la mkuu huvunjika guu. Hizo ni Rasha Rasha ila mvua itakuwa ya mawe. Ombea Taifa maana huwitaji kurunzi kujuwa kwanini hayo yametokea. Ila wanasiri walionya na wale wenye high intelligence survey walionya pia ila walifunga macho. Waliosoma hiyo paper [emoji411] wanahesabu tu maonyo walio kutana nayo na sasa wamejifungia vyumbani wanasali Bwana huturehem Bwana huturehem hawatoki wala hawafungui mdomo.
Huu ni mtikisiko mkubwa ktk Taifa na hatupaswi chukua poa majibu yake yatakuwa mazito kwa Taifa hasa ukizingatia tayari tuna maumivu. God have a Mercy on Us

Tulionya kuwaachia huru wale jamaa,tusubiri mengi zaidi ya haya.
 
Mbona hawa wapo wengi tu pande zote? Anyway sinaga muda wa kuhangaika na madhaifu ya binadamu mwingine wakati na mimi nina yangu.

Kumbe unajuwa halafu unataka ushahidi wa kazi gani? Lakini katika Uislamu Hakuna ma Padri na wachungaji wala hatuongozwi na Roho Mtakatifu

Wengine hawa

 
Kizazi hiki hakina hofu ya Mungu tena,miaka yetu hata kupita Kanisani karibu tu unaogopa Kwa sababu ya ile heshima tu iliyokuwepo,hata kama Kanisa litakuwa wazi huwezi kuingia........ila kizazi hiki cha sasa hakina uoga wowote
 
Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia leo ambapo watu waliovamia wamevunja mlango na kuingia ndani kisha kuharibu vitu vitakatifu vikiwemo mavazi ya misa na kuvunja misalaba.

View attachment 2530631

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita ACP Berthaneema Mlayi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba watu wawili wanashikiliwa na upepelezi wa tukio hilo unaendelea.

Chanzo: EATV
Yesu kamvunja MGUU pia duuuh huyu mtu huyu
 
Wametupa kazi kweli imebidi tuanze kumchonga bikra Maria mwingine siku ya ibada isije kufika mama wa mungu hayupo
 
Usiwe mjinga wewe. Wapi nimeandika kwamba nalichukia kanisa katoliki?
Kwahiyo tunapoona maovu yanatendeka lazima tuyakemee na unafikiri tutayasemea wapi?
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kuna poroko wetu aliumwa ngoma mpaka akafa, kanisa lilimficha parokiani nyakati zake za mwishomwisho virus wanamtafuna na hii yote ni sababu ya kudandia waumini akaukwaa ugonjwa.
Alikuwa anajarbu kutafta mtoto , too risk jombaa
 
Narudia tena kuandika hakuna mkristo wa dhehebu lolote anayeweza kuingia kwenye kanisa la wengine na kufanya uharibifu.

Kama kuna tofauti imetokea miongoni mwa viongozi kwa viongozi, viongozi kwa waumini au waumini kwa waumini hakuna mshirika atakayefikia uamuzi wa kwenda kuingia kanisani kufanya uharibifu huo. Hata kama ni vibaka, ni kibaka gani huyo asiye na hofu na Mungu?

Huyo kibaka au mwizi na jambazi amekulia wapi kiasi cha kukosa hata mafundisho ya watoto ya shule ya jumapili? Kwanza kanisa ni mahali patakatifu na ni nyumba ya kumuabudu Mungu.

Hata wavuta bangi na walevi wanaheshimu nyumba za kuabudia
Sema hiyo picha sanamu limeangushwa chini na kuvunjwa imenifikirisha sana.
 
Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia leo ambapo watu waliovamia wamevunja mlango na kuingia ndani kisha kuharibu vitu vitakatifu vikiwemo mavazi ya misa na kuvunja misalaba.

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita ACP Berthaneema Mlayi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba watu wawili wanashikiliwa na upepelezi wa tukio hilo unaendelea.


=====
Askofu Flavian Kassala
Wapendwa, nawatangazia kuwa jimbo katoliki Geita tumepatwa mkasa mkubwa ambapo mtu mmoja amevamia kanisa kuu na kuvunja mlango mkuu na kisha kuanza kuharibu vitu vitakatifu, vikiwemo Tabernakulo na Ekaristi. Ni kufuru ya matakatifu.

Kavunja misalaba na mavazi ya misa. Nawaombeni mtumie vyombo vyenu vya habari ktk redio na television muupashe habari umma kuwa kitendo cha kudhalilisha imani yetu kimefanyika na tunakikemea na kukilaumu kwani kukaa kimya ni kama kuonesha hatuthamini imani yetu. Kwa wenye redio au tv, atakayehitaji "Audio" ya baba askofu, nitamtumia ili airushe na tuunganishe nguvu ya vyombo vya habari vya kanisa kukemea udhalimu dhidi ya imani katoliki.

Matukio ya uharibifu wa kanisa kuu la kiaskofu jimbo la Geita usiku wa kuamkia Jumapili trh 26 February 2023. Tukio limeripotiwa saa nane usiku. Uharibifu na kufuru zilizotokea ni kubwa sana. Mhusika amekamatwa. Mungu azidi kutulinda.
View attachment 2530803
Kwa ili na pendekeza Samia ajengewe sanamu
 
Inawezekana , labda ni wakristo wamesilimu baada ya kupata elimu ya kuwaonyesha ukweli ,walikasirishwa kwa kutapeliwa muda mrefu wakaona njia ya kulipiza ni kulifanyia uhuni kanisa
Nilipo-bold!

Hiyo line umeiandika ukiwa timamu au?kwamba baada ya kuujua ukweli huo ukweli ukawaambia rudini mkalipize kisasi/mkafanye uhuni kwa wale waliowaibia!

KwaninI huo ukweli haukuwaambia wasamehe ili wazidi kuneemeka?
 
Amevamia kanisa kwa lengo gani nyuma ya pazia ,na katumwa na Nani?
 
Nilipo-bold!

Hiyo line umeiandika ukiwa timamu au?kwamba baada ya kuujua ukweli huo ukweli ukawaambia rudini mkalipize kisasi/mkafanye uhuni kwa wale waliowaibia!

KwaninI huo ukweli haukuwaambia wasamehe ili wazidi kuneemeka?
Mbona umeniongezea maneno ? Visasi wala waliowaibia ,sikusema usinipakazie
 
Nilipo-bold!

Hiyo line umeiandika ukiwa timamu au?kwamba baada ya kuujua ukweli huo ukweli ukawaambia rudini mkalipize kisasi/mkafanye uhuni kwa wale waliowaibia!

KwaninI huo ukweli haukuwaambia wasamehe ili wazidi kuneemeka?

Watu wanaficha unga kwenye sanamu la yesu na Maria

 
Back
Top Bottom