Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Asie sikia la mkuu huvunjika guu. Hizo ni Rasha Rasha ila mvua itakuwa ya mawe. Ombea Taifa maana huwitaji kurunzi kujuwa kwanini hayo yametokea. Ila wanasiri walionya na wale wenye high intelligence survey walionya pia ila walifunga macho. Waliosoma hiyo paper [emoji411] wanahesabu tu maonyo walio kutana nayo na sasa wamejifungia vyumbani wanasali Bwana huturehem Bwana huturehem hawatoki wala hawafungui mdomo.
Huu ni mtikisiko mkubwa ktk Taifa na hatupaswi chukua poa majibu yake yatakuwa mazito kwa Taifa hasa ukizingatia tayari tuna maumivu. God have a Mercy on Us
Haya sasa ni makubwa lakini kama Taifa tutasimama na amani itatamalaki.Tuzidi kusali zaidi [emoji120]
 
Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia leo ambapo watu waliovamia wamevunja mlango na kuingia ndani kisha kuharibu vitu vitakatifu vikiwemo mavazi ya misa na kuvunja misalaba.

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita ACP Berthaneema Mlayi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba watu wawili wanashikiliwa na upepelezi wa tukio hilo unaendelea.


=====
Askofu Flavian Kassala
Wapendwa, nawatangazia kuwa jimbo katoliki Geita tumepatwa mkasa mkubwa ambapo mtu mmoja amevamia kanisa kuu na kuvunja mlango mkuu na kisha kuanza kuharibu vitu vitakatifu, vikiwemo Tabernakulo na Ekaristi. Ni kufuru ya matakatifu.

Kavunja misalaba na mavazi ya misa. Nawaombeni mtumie vyombo vyenu vya habari ktk redio na television muupashe habari umma kuwa kitendo cha kudhalilisha imani yetu kimefanyika na tunakikemea na kukilaumu kwani kukaa kimya ni kama kuonesha hatuthamini imani yetu. Kwa wenye redio au tv, atakayehitaji "Audio" ya baba askofu, nitamtumia ili airushe na tuunganishe nguvu ya vyombo vya habari vya kanisa kukemea udhalimu dhidi ya imani katoliki.

Matukio ya uharibifu wa kanisa kuu la kiaskofu jimbo la Geita usiku wa kuamkia Jumapili trh 26 February 2023. Tukio limeripotiwa saa nane usiku. Uharibifu na kufuru zilizotokea ni kubwa sana. Mhusika amekamatwa. Mungu azidi kutulinda.
View attachment 2530803
ama huyu ni shetani

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Watoto wa mama mdogo wameanza Tena. Kuna dini zingepigwa marufuku tu Tanzania, hasa Ile ya kutoka kwa Wala halua halua
 
Enndelea kutoa makasiriko yako yote,lakini hutolitikisa Kanisa Katoliki.Kwani kuugua Ukimwi ni dhambi? Au hujui hata HIV inaambukizwaje,akili yako imejifungia kwenye mawazo ya ukimwi unaambukizwa kwa njia ya ngono tu.Hawa vijana wenye 25-30 waliozaliwa nao ukiwakuta wanaumwa bado utawasimanga.Akili mgando kabisa hizi.

Halafu unaweza kuta wewe mwenyewe hapo ni muathirika na hujijui tu sababu hujawahi hata kupima.
Paroko alikufa kwa ngoma na aliye mwambukiza ni muumini kupitia ngono zembe. Kumbuka hapa naongelea uovu na maovu wayatendayo watawa. Sipo hapa kulichafua kanisa wala kuonesha unyanyapaa kwa waathirika.
Kwenye yale majengo ya parokiani kuna maovu mengi tu yanafanyika. Sasa jiulize kwanini nimeyajua yote haya?!
Mkuu Nyamizi kama una personal benefit na huu uovu wa watawa, basi na wewe unashiriki mojakwamoja kulibomoa kanisa.
 
Hao wenzako huwezi kuwaona na unawaona bora , au ndio mafundisho yanavyokwenda?
Narudia tena ,wao wameamua kuwa wazi kabisa.Wewe post moja unajifanya kutoa maneno ya busara,post tano zinafuatana unakashifu.Amua moja,chukua mkondo wa kukashifu mjibizane vizuri nyote muwe na akili sawa au kuwa against nao ili ujitofautishe na wao.
 
Narudia tena ,wao wameamua kuwa wazi kabisa.Wewe post moja unajifanya kutoa maneno ya busara,post tano zinafuatana unakashifu.Amua moja,chukua mkondo wa kukashifu mjibizane vizuri nyote muwe na akili sawa au kuwa against nao ili ujitofautishe na wao.

Kwani Mimi nilijificha au kwa kuandika roho Mtakatifu ndio umekasirika? Si mnatuambia mnaongozwa na yeye ? Au Kanisa lako haliongozwi na Roho Mtakatifu?
 
Paroko alikufa kwa ngoma na aliye mwambukiza ni muumini kupitia ngono zembe. Kumbuka hapa naongelea uovu na maovu wayatendayo watawa. Sipo hapa kulichafua kanisa wala kuonesha unyanyapaa kwa waathirika.
Kwenye yale majengo ya parokiani kuna maovu mengi tu yanafanyika. Sasa jiulize kwanini nimeyajua yote haya?!
Mkuu Nyamizi kama una personal benefit na huu uovu wa watawa, basi na wewe unashiriki mojakwamoja kulibomoa kanisa.
Nikishaona mtu mzima anajifanya anayajua maisha ya mtu mwingine tena ya chumbani kwake utadhani huwa anakuwepo chumbani wakati hayo yanafanyika huwa nadharau moja kwa moja.Haya tuletee tena nani Padre/Askofu mwingine unayajua maisha yake ya ndani kabisa?
 
Hope mmesikia kamanda wa huko akisema, jamaa alipombeka tena ni muamini wa hapo hapo, tena aliwahi kutumika huko huko ndani ya kanisa.

Hakuiba yeye aliharibu tu.
 
Iwekwe wazi bila kufichwafichwa kwa hofu ya uchochezi.

Hao wahalifu si wakristo, mkristo hawawezi kuingia kanisa lolote na kuharibu vilivyomo humo.

Pia hao si wapani, hao wahalifu itakuwa ni wale masheitwaan maana wao huwa hawana hofu kuingia nyumba za ibada za wengine na kufanya uharibifu
Kama hauna uthibitisho zitabaki kuwa kelele tu
 
Ni vyema server iwe mahari secured na siyo sebuleni namba hiyo
 
Kuna watu humu ni wepesi Sana WA kujaji mambo,Yani kitu cha Kwanza ni lawama Kwa waislamu, je Una uhakika gani kwamba sio tukio la kiuhalifu?

Pili kama waislamu ndio wamefanya hivyo basi waadhibiwe Kwa mujibu wa sheria kwasababu Uislamu unachukia Sana mambo kama hayo.

Enzi za Mtume wasio waislamu waliachwa kuabudu katika nyumba za ibada Bila matatizo yoyote, kwani Uislamu uko wazi hakuna kulazimisha mtu kuingia katika Dini.

Na hata enzi za Mtume vile vile pale waislamu waliookuwa wanateswa na washirikina WA makka, Mtume aliwaambia nendeni Ethiopia kuna Mfalme ambaye ni mkristo lakini anapenda haki na wala hawadhulumu watu,kwahiyo hii inaonyesha ni kiasi
gani Uislamu upo Kati Kwa Kati na hauna fikra potofu na siku zote unasimamia katika haki.

Ngoja tuone.
 
Back
Top Bottom