Kanisa la Kilokole Lavunja ndoa baada ya Bibi harusi kukutwa hana Uke!

Kanisa la Kilokole Lavunja ndoa baada ya Bibi harusi kukutwa hana Uke!

Yaani siku hizi watu
Waatafuta. Cheap popularity kwa nguvu na fedhea sana! Hizi si vdeo tu za kutafuta Attention.
Hizi dini zishakuwa kama fasheni. Hapo anaanza kutafuta ujumbe wakuwaingiza watu chaka😂😂
Sure
 
Ni jambo la aibu na ajabu kwa mtu anayejiita mchungani, kukosoa uimbaji wa Mungu na kumdhalilisha huyo binti kiasi hicho. Hivi akiiisikia hii video si anaweza kujiua?
 
konda naomba nishuke aseee hii safari ngum😂😂😂
 
Ukinunua shati jipya dukani inabidi ujaribu kwanza, kama halikukai achana nalo. Sasa unachukuwa bila kujaribu, na matokeo yake nyumbani halikukai, ni makosa yako.
 
Wnaharakati wafuatilie hili na kumsaidia huyo dada kudai fidia ya maumivu aliyoyapitia kwa kusakamwa jinsi ya maumbile yake ya ndani hadharani
 
Dah mwamba kaumia sana.
Dah mdada kamkazia had kaingia kwenye ndoa sijui alitaka ionekane na yeye aliwahi olewaa?
 
Back
Top Bottom