financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ni kweli siyo vizuri alivyofanyaAnahamasish tu test mitambo.sio kijana tu vp huyo mwanamke kamuumza kisakilojia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli siyo vizuri alivyofanyaAnahamasish tu test mitambo.sio kijana tu vp huyo mwanamke kamuumza kisakilojia.
Sisi Africa tunatatizo mahali hasa hasa kwenye kufikiria, yani mchungaji ameamua kumchukua Aliye mzima ili akatoe ushuhuda, Baadala ya kupambana na kipofu ili apate kuona.Worst mindset ever of the so called bishop, huyu alitakiwa kutumia uchungaji au uaskofu wake kumsaidia huyo binti anayepitia kipindi kigumu kwasababu na yeye hakupenda awe hivyo
Mbaya sanaSisi Africa tunatatizo mahali hasa hasa kwenye kufikiria, yani mchungaji ameamua kumchukua Aliye mzima ili akatoe ushuhuda, Baadala ya kupambana na kipofu ili apate kuona.
KwaniniMchungaji hana akili kabisa!!! 🤒🤒🤒,
😂😂😂Madaktari na Wanasaikolojia wa JF sasaKabla ya kuoa au kuolewa yafuatayo ni muhimu!
1.Fanya utafiti kule unakooa au kuolewa! Tabia,magonjwa,nk
2.Pili vipimo vya afya ni muhimu
3.Viungo vizima,vipo havipo!
Angalia post #13, nimejibu hilo swali 🤝🤝Kwanini
😐😐😐, njoo inbox Kwanza..Mimi na uke wangu mkubwa tu ila sipati mume jamani
Sikuna waliopewa mamlaka za kusamehe makosa ya watu? Sasa hata yasiyo wahusu wanaambiwa wayatatueSisi Africa tunatatizo mahali hasa hasa kwenye kufikiria, yani mchungaji ameamua kumchukua Aliye mzima ili akatoe ushuhuda, Baadala ya kupambana na kipofu ili apate kuona.
. Hayo mamlaka wamepewa na nani??Sikuna waliopewa mamlaka za kusamehe makosa ya watu? Sasa hata yasiyo wahusu wanaambiwa wayatatue
Duuh mbona mpya hii!?Habari wadau,
Mchungaji wa kanisa la kilokole akitoa ushuhuda wa kilichotokea kwenye ndoa ya waumini wake. Bwana harusi na yeye anaeleza kwa urefu alichokutana nacho kwenye usiku wa kwanza wa ndoa yake.
Ndoa hiyo ilifungwa katika kanisa la Pentecostal Assemblies of God (PAG) na kuvunjwa kanisani baada ya ushahidi kuonesha tendo la ndoa haliwezi kufanyika sababu bibi harusi hana Uke wake.
Tazama video mwenyewe ujionee balaa la ndoa za "No sex before marriage".