Kipaumbele cha jeshi la polisi nchini ni kupambana na CDM HUO MDA WAKUTAFUTA WALIPUA MABOMU MAKANISANI HAWANA. Wangekua bize kupambana na wahalifu naamini hata askari feki wasingekuwepo.
Hapo watu wamekwisha jenga hisia......dini fulani hiyo.
Hapo watu wamekwisha jenga hisia......dini fulani hiyo.
Hivi hawa watu wanamuabudu Mungu yupi anaependa shari kiasi hiki?
Hapana,.... ni wafuasi wa issa ponda sio dini fulani. Wao ndio wanakazana kupandikiza chuki baina ya dini na dini. Ponda yuko jela tupambane pamoja kuhusu harakati zake na wengine kama yeye.Hapo watu wamekwisha jenga hisia......dini fulani hiyo.
Kutukana haisaidii huu ni wakati wa kujibu mashambulizi!Extemist christians huu ndiyo wakati mwafaka!naomba picha kabla sijatukana
Mkuu kwani Ponda hana dini?Hapana,.... ni wafuasi wa issa ponda sio dini fulani. Wao ndio wanakazana kupandikiza chuki baina ya dini na dini. Ponda yuko jela tupambane pamoja kuhusu harakati zake na wengine kama yeye.
Mkuu hapa duniani kuna dini nyingi,baadhi ya dini ni vituko vitupu!Hivi hawa watu wanamuabudu Mungu yupi anaependa shari kiasi hiki?
Just to correct u,sadaka ina utaratibu wake unaojulikana na kila muumini!kwenye makanisa haya matatu, Roman Catholic,Lutheran na Anglican ni vigumu sana kusikia watu wanagombea sadaka..au wewe unafahamu sehemu walipogombea sadaka?toa uthibitisho!
Hakika huu ni ufedhuli na ushetani uliokidhiri!Mungu wao ni Mungu wa laana, visasi, mashetani, uchawi, uzinzi, ulipizaji wa visasi, mauaji,uganga nk ni Mungu wao ni wamapepo!
LAANA YA MUNGU ITAWASHUKIA HUKO WALIKOJIFICHA...
ni kukosa akili huwezi kuangamiza ukristo kwa mtindo huo.wanahangakia ya mwili hao badala mambo ya rohoni nifaida kufa katka krsto.hao ni wafuasi wa ponda na uamsho tu..
ndiyo mikakati wanayopanga kila siku.
ushahidi naomba vyombo usalama vitembeleee fb page za uamsho asili na marafiki wa radio imaan.
pia group la mujahidina hukohuko fb.