Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa zuri sana, wahuni wanataka kulilipua
Wameshindwa kujenga maeneo yao ya maana ya kusali sasa wanachuki na maeneo ya wenzao!Kanisa zuri sana, wahuni wanataka kulilipua
Mkuu huwa najiuliza hasa hivi wahuni ni watu wa aina gani hadi wafikie kufanya haya?
Wahuni walimpiga risasi padri Zanzibar
Wahuni walianzisha vurrugu kule buselesele
Wahuni walirusha bomu Arusha kanisani
Wahuni walirusha bomu kwenye mkutano wa Chadema Arusha
Hawa wahuni wana nguvu kiasi gani?
Wanayatoa wapi yote hayo?
Wanapata wapi mabomu?
Mkuu huwa najiuliza hasa hivi wahuni ni watu wa aina gani hadi wafikie kufanya haya?
Wahuni walimpiga risasi padri Zanzibar
Wahuni walianzisha vurrugu kule buselesele
Wahuni walirusha bomu Arusha kanisani
Wahuni walirusha bomu kwenye mkutano wa Chadema Arusha
Hawa wahuni wana nguvu kiasi gani?
Wanayatoa wapi yote hayo?
Wanapata wapi mabomu?
Kanisa zuri sana, wahuni wanataka kulilipua
wahuni = wanachama wa chama twawala!!
KUHUSU BOMU LILILOTENGWA JIONI HII KANISANI KIJITONYAMA,POLISI WAMECHUKUA HATUA HII
Hofu kubwa imewapata waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT usharika wa Kijitonyama, baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu kurushwa kanisa hapo. Polisi wafika kanisa hapo na kuondoka na kitu hicho.
HABARI HII NI TOFAUTI NA ILE YA JAMA
ITV
![]()
We subiri siku yarushwe kwenye msafara wa mkuu, watakamatwa siku hiyo hiyo yaani ndani ya dakika sifuri, si unakumbuka yale ya ZE UTAMU?Mkuu huwa najiuliza hasa hivi wahuni ni watu wa aina gani hadi wafikie kufanya haya?
Wahuni walimpiga risasi padri Zanzibar
Wahuni walianzisha vurrugu kule buselesele
Wahuni walirusha bomu Arusha kanisani
Wahuni walirusha bomu kwenye mkutano wa Chadema Arusha
Hawa wahuni wana nguvu kiasi gani?
Wanayatoa wapi yote hayo?
Wanapata wapi mabomu?
SYSTEM YA USALAMA imekufa kabisa
Kwa hiyo na wewe utawatangazia watu kuwa unamawazo ya kusema kumbe ni uji tu.Lkn wako bize kupambana na Chadema na wafuasi wao.
intelijensia imelala fofofoooooo,,,,,hawa jamaa sijui kwa wakati huu wanafanya kazi gani,,,jamniSYSTEM YA USALAMA imekufa kabisa
....... Kwa binadamu mwenye akili zake timamu anaona wazi kabisa kwamba Jeshi la Polisi linazidi kupungua nguvu za kijitelejensia.... Jeshi la Polisi lizingatie sana utaalamu wa mambo jinsi yanavyokwenda katika kukabiliana na wimbi na uhalifu... liachane na maswala ya kuzuia maandamano tu... Jeshi la Polisi lina kazi nyingine nyingi za kulinda Raia na mali zao ..... ujambazi, ujangili, ufisadi na mambo mahafu ya waqtu wanaojaribu kuleta vurugu kama hizi za mabumu ya kutengenezwa Jeshi la polisi likabiliane na kupambana na mambo haya..... Tanzania ni ya amani tena amani kweli kweli...
Huyu mleta mada ni wale vijana wa bavicha waliozoe kudanganya watu sote tumesikiliza tarifa ya habari hakuna tv hata moja iliyothibitisha kuwa lile ni bomu sasa mwandishi habari ya bomu kaitoa wapi au ni kutafuta sifa kwa jamii.
KUHUSU BOMU LILILOTENGWA JIONI HII KANISANI KIJITONYAMA,POLISI WAMECHUKUA HATUA HII
Hofu kubwa imewapata waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT usharika wa Kijitonyama, baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu kurushwa kanisa hapo. Polisi wafika kanisa hapo na kuondoka na kitu hicho.
HABARI HII NI TOFAUTI NA ILE YA JAMA
ITV
![]()