Kanisa la Tanzania linapitia kipindi kigumu sana. Mungu alinusuru

Kumbe ukiachana na habari za yanga unakuwa na akili. Naunga mkono hoja yako
 
Shida ni kuwa vita vilivyopo sasa si kati ya watu na shetani,hapana vita vilivyopo sasa ni kati ya dini na dini,hawa wanajiona wao ni wa mbinguni wengine ni wa jehanamu,ili uende mbingini lazima uwe wa dini hii hakuna kitu kama hicho na hii imewafanya maaskofu,wachungaji,wainjilist waalimu na hata mashehe kuwa watumishi wa Dini sio watumishi wa MWENYEENZI MUNGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…