Kanisa la Tanzania linapitia kipindi kigumu sana. Mungu alinusuru

Kanisa la Tanzania linapitia kipindi kigumu sana. Mungu alinusuru

Hiyo namba 3, waumini tuko imara sana. Maana michango yote tunayochanga ni kwa ajili ya kulitegemeza Kanisa la Mungu.

Halafu ifikie wakati tuwe wakweli! Hakuna binadamu asiyeishi katika Jumuiya! Sasa kama wewe jumuiya yako ni ya wavuta bangi, inakuwaje tena unataka uzikwe na jumuiya nyingine?
Kumbe ukiachana na habari za yanga unakuwa na akili. Naunga mkono hoja yako
 
Shida ni kuwa vita vilivyopo sasa si kati ya watu na shetani,hapana vita vilivyopo sasa ni kati ya dini na dini,hawa wanajiona wao ni wa mbinguni wengine ni wa jehanamu,ili uende mbingini lazima uwe wa dini hii hakuna kitu kama hicho na hii imewafanya maaskofu,wachungaji,wainjilist waalimu na hata mashehe kuwa watumishi wa Dini sio watumishi wa MWENYEENZI MUNGU
 
Back
Top Bottom