Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume

Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Habari Wanajamvi, familia yangu.

Tukirudi nyuma kidogo. Yesu alipofariki, Petro alichukua nafasi ya kuliongoza kanisa, yaani Baba wa kanisa.

Yesu aliliacha kanisa Katoliki kwenye utaratibu, hakuliacha hewani tu hovyo hovyo, na nafasi ya Petro inachukuliwa na Papa, Papa ni cheo/nafasi.

Ukiangalia makanisa yote mbali na katoliki, yalisaliti kutoka kwenye kanisa katoliki, kwa sababu zao kadha wa kadha, tamaa binafsi ikiwa sababu kuu.

Lutheran: lilianzishwa na Luther, ambaye alisaliti kutoka Roman Catholic na kuanzisha movement yake. Alirudi kuomba msamaha kwa Papa, mwishoni sana.

Anglican: lilianzishwa na mfalme wa Uingereza, baada ya kusaliti kutoka Roman Catholic. Sababu ni kukataliwa kumuacha mkewe tasa na kutaka kuoa mke mwingine.

TAG, EAGT, EFATHA, KKKT, KKT, FPCT, na makanisa mengine yote ukiacha Roman Catholic, ni makanisa yaliyoasi kutoka kwenye kanisa mama la RC.

Kanisa la kwanza ni Katoliki. Kanisa takatifu katoliki la mitume.
Kanisa ni Catholic, mengine ni 'betrayers'. Live long RC!
 
Habari Wanajamvi, familia yangu.

Tukirudi nyuma kidogo. Yesu alipofariki, Petro alichukua nafasi ya kuliongoza kanisa, yaani Baba wa kanisa.

Yesu aliliacha kanisa katoliki kwenye utaratibu, hakuliacha hewani tu hovyo hovyo, na nafasi ya Petro inachukuliwa na Papa, Papa ni cheo/nafasi.

Ukiangalia makanisa yote mbali na katoliki, yalisaliti kutoka kwenye kanisa katoliki, kwa sababu zao kadha wa kadha, tamaa binafsi ikiwa sababu kuu.

Lutheran: lilianzishwa na Luther, ambaye alisaliti kutoka Roman Catholic na kuanzisha movement yake. Alirudi kuomba msamaha kwa Papa, mwishoni sana.

Anglican: lilianzishwa na mfalme wa Uingereza, baada ya kusaliti kutoka Roman Catholic. Sababu ni kukataliwa kumuacha mkewe tasa na kutaka kuoa mke mwingine.

TAG, EAGT, EFATHA, KKKT, KKT, FPCT, na makanisa mengine yote ukiacha Roman Catholic, ni makanisa yaliyoasi kutoka kwenye kanisa mama la RC.

Kanisa la kwanza ni Katoliki. Kanisa takatifu katoliki la mitume.
Kanisa ni Catholic, mengine ni 'betrayers'. Live long RC!
Hata orthodox nao wanasema wakatoliki warumi waliasi ,,,maana utaratibu wa kanisa haukua hivyo na makao makuu ya kanisa yalikua Istanbul ilipokua himaya ya Byzantine,,,,na kila eneo kulikua na mkuu wa kanisa wa hilo eneo/bara tofauti na utaratibu wa warumi waliotaka kanisa zima liwe chini ya kiongozi wao alie hapo vatican
 
P
Hata orthodox nao wanasema wakatoliki warumi waliasi ,,,maana utaratibu wa kanisa haukua hivyo na makao makuu ya kanisa yalikua Istanbul ilipokua himaya ya Byzantine,,,,na kila eneo kulikua na mkuu wa kanisa wa hilo eneo/bara tofauti na utaratibu wa warumi waliotaka kanisa zima liwe chini ya kiongozi wao alie hapo vatican
Paulo alifia Rumi(Roma), kuna mashiko makubwa kwa kanisa Katoliki kuwa kanisa la kwanza.
NB
Kaburi la Petro lipo Rumi(Roma).
Kanisa Katoliki ni MAMA
 
P

Paulo alifia Rumi(Roma), kuna mashiko makubwa kwa kanisa Katoliki kuwa kanisa la kwanza.
NB
Kaburi la Petro lipo Rumi(Roma).
Kanisa Katoliki ni MAMA
Kanisa katoliki ni MAMA ila lilianzia mashariki ya kati ambapo ndo lilipoanzia kanisa la katoliki la kiorthodox,,,, huko magharibi lilihamia kwa sababu za kiutawala hasa influence ya warumi kwenye utawala,,,ila kanisa katoliki lilianzia mashariki ya kati halikuanzia roma
 
Sasa kama Roman Catholic ilianzishwa na Petro.

1. Kwanini iliitwa Roman Catholic na sio Israel Catholic ilhali Petro hakuwa mrumi wala warumi hawakuwa wakimuamini Mungu wa Petro kwa wakati huo.

2. Hakuna sehemu Biblia inaonyesha imani ya kikristo baada ya kifo cha Yesu ilikuwa Centralized. Hili tunaliona hata kipindi cha Paulo. Je hilo kanisa la Roman Catholic lilikuwa wapi lisionekane popote kwenye Biblia katika kipindi hiki.

3. Utaratibu wa imani ya Roman Catholic unakinzana na mafundisho ya Yesu Kristo kwa asilimia kubwa. Hii ni red flag kwa imani iliyoanzishwa na mtu aliyeyaishi na kuyashuhudia mafundisho na matendo ya Yesu Kristo live kwenda kinyume namna hii.
 
Kanisa katoliki ni MAMA ila lilianzia mashariki ya kati ambapo ndo lilipoanzia kanisa la katoliki la kiorthodox,,,, huko magharibi lilihamia kwa sababu za kiutawala hasa influence ya warumi kwenye utawala,,,ila kanisa katoliki lilianzia mashariki ya kati halikuanzia roma
Hii umeipata wapi, au ni mawazo yako binafsi?
 
Wakatoliki wanaamini picha ya huyu muigizaji 'Brian Decon' ndio Yesu mwenyewe
Screenshot_20241013-173807.jpg
 
Kanisa la kwanza ni Katholiki. Katoliki lipo duniani kote. Kanisa lipi lingine lipo duniani kote ukiacha katoliki?
Hilo orthodox ni katoliki....unajua maana ya orthodox ??? Na ndo maana nakwambia katoliki haijaanzia roma,,,,,,ilioanzia roma ni hio roman catholic......hata hapo Ethiopia kanisa lao la tewahedo ni katoliki ila sio la roma,,,,hata kanisa la ugiriki ni katoliki ila sio katoliki ya roma,,,hivyohivyo russian,syrian orthodox hao wote ni wakatoliki ila sio wakatoliki ya rumi,,,,,shida huku Afrika wengi wamekalilishwa sababu makanisa huku yaliletwa na wamagharibi kwahio wakaingiza na propaganda zao,,,,ila ukiwa neutral ufatilie kanisa la mashariki na kanisa la magharibi utaelewa ukatoliki umeanzia wapi......orthodox ndo hilo kanisa la mashariki ambalo hata kwenye biblia lipo na ukristo ulianzia mashariki ya kati haukuanzia roma huko kwa wamagharibi,,,,kanisa limeenda kuanzishwa kwa warumi wakati tayari hapo mashariki ya kati kulikua tayari na wakristo (wakatoliki)
 
Habari Wanajamvi, familia yangu.

Tukirudi nyuma kidogo. Yesu alipofariki, Petro alichukua nafasi ya kuliongoza kanisa, yaani Baba wa kanisa.

Yesu aliliacha kanisa Katoliki kwenye utaratibu, hakuliacha hewani tu hovyo hovyo, na nafasi ya Petro inachukuliwa na Papa, Papa ni cheo/nafasi.

Ukiangalia makanisa yote mbali na katoliki, yalisaliti kutoka kwenye kanisa katoliki, kwa sababu zao kadha wa kadha, tamaa binafsi ikiwa sababu kuu.

Lutheran: lilianzishwa na Luther, ambaye alisaliti kutoka Roman Catholic na kuanzisha movement yake. Alirudi kuomba msamaha kwa Papa, mwishoni sana.

Anglican: lilianzishwa na mfalme wa Uingereza, baada ya kusaliti kutoka Roman Catholic. Sababu ni kukataliwa kumuacha mkewe tasa na kutaka kuoa mke mwingine.

TAG, EAGT, EFATHA, KKKT, KKT, FPCT, na makanisa mengine yote ukiacha Roman Catholic, ni makanisa yaliyoasi kutoka kwenye kanisa mama la RC.

Kanisa la kwanza ni Katoliki. Kanisa takatifu katoliki la mitume.
Kanisa ni Catholic, mengine ni 'betrayers'. Live long RC!
Hapa ndo mwisho wa Akili yako au kuna kipande kidogo hakijatumika??
 
Back
Top Bottom