Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume

Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume

Habari Wanajamvi, familia yangu.

Tukirudi nyuma kidogo. Yesu alipofariki, Petro alichukua nafasi ya kuliongoza kanisa, yaani Baba wa kanisa.

Yesu aliliacha kanisa Katoliki kwenye utaratibu, hakuliacha hewani tu hovyo hovyo, na nafasi ya Petro inachukuliwa na Papa, Papa ni cheo/nafasi.

Ukiangalia makanisa yote mbali na katoliki, yalisaliti kutoka kwenye kanisa katoliki, kwa sababu zao kadha wa kadha, tamaa binafsi ikiwa sababu kuu.

Lutheran: lilianzishwa na Luther, ambaye alisaliti kutoka Roman Catholic na kuanzisha movement yake. Alirudi kuomba msamaha kwa Papa, mwishoni sana.

Anglican: lilianzishwa na mfalme wa Uingereza, baada ya kusaliti kutoka Roman Catholic. Sababu ni kukataliwa kumuacha mkewe tasa na kutaka kuoa mke mwingine.

TAG, EAGT, EFATHA, KKKT, KKT, FPCT, na makanisa mengine yote ukiacha Roman Catholic, ni makanisa yaliyoasi kutoka kwenye kanisa mama la RC.

Kanisa la kwanza ni Katoliki. Kanisa takatifu katoliki la mitume.
Kanisa ni Catholic, mengine ni 'betrayers'. Live long RC!
Sahihisha, YESU hakufariki, bali alikufa na kufufuka. Kuna tofauti ya kufa na kufariki, anayefariki hutegemea kufarijika.
 
Ubinafsi ni warumi kutaka kiongozi wa kanisa lao kutaka atawale makanisa yote,,,,hiko ndo walichogoma,,,,orthodox ni wamoja ila kila eneo lina kiongozi wake mmoja mkuu sasa warumi walitaka maeneo yote ya kanisa yawe chini ya papa/mkuu wa kanisa la Vatican,,,,huo sasa ndo ulikua ubinafsi
Mkuu hongera kwa kugusa gusa na kusoma historia, ila inaonekana unaipamba orthodox ambayo ilikuwa kipindi cha dola la roma hebu turudi nyuma hapa kwa Alexander kiongozi huyu aliye kwenda kupigana na Persia falme iliyo tawala dunia kama mtawala wa pili ambayo kwa sasa ni irani 😃 unajua hizi dini chimbuko lake ni wapi utarudi mpaka babeli utaona zimetokea huko chini chini na kuwa na ushawishi mkubwa duniani
 
Habari Wanajamvi, familia yangu.

Tukirudi nyuma kidogo. Yesu alipofariki, Petro alichukua nafasi ya kuliongoza kanisa, yaani Baba wa kanisa.

Yesu aliliacha kanisa Katoliki kwenye utaratibu, hakuliacha hewani tu hovyo hovyo, na nafasi ya Petro inachukuliwa na Papa, Papa ni cheo/nafasi.

Ukiangalia makanisa yote mbali na katoliki, yalisaliti kutoka kwenye kanisa katoliki, kwa sababu zao kadha wa kadha, tamaa binafsi ikiwa sababu kuu.

Lutheran: lilianzishwa na Luther, ambaye alisaliti kutoka Roman Catholic na kuanzisha movement yake. Alirudi kuomba msamaha kwa Papa, mwishoni sana.

Anglican: lilianzishwa na mfalme wa Uingereza, baada ya kusaliti kutoka Roman Catholic. Sababu ni kukataliwa kumuacha mkewe tasa na kutaka kuoa mke mwingine.

TAG, EAGT, EFATHA, KKKT, KKT, FPCT, na makanisa mengine yote ukiacha Roman Catholic, ni makanisa yaliyoasi kutoka kwenye kanisa mama la RC.

Kanisa la kwanza ni Katoliki. Kanisa takatifu katoliki la mitume.
Kanisa ni Catholic, mengine ni 'betrayers'. Live long RC!
Historia ya uongo, at baada ya Yesu akaja Petrol ndio akaja Papa uongo mtupu, Yesu hakuwa na Kanisa kama tunayoyaona leo, tunacho kiona leo ni mtiririko tu wa uongozi uliowekwa na binadamu wa kisasa hata Yesu mwenyewe akirudi leo anaweza kuwashangaa.
 
Takataka wahed...

Schism ya Kwanza ya Kanisa Katoliki ilitokea mwaka 1100 ilakazaa Eastern Church na Western Church

Schism ya Pili ya Kanisa Katoliki ilitokea karne ya 16 ikazaa Uprotestant....
Mbona povu jingi ,,umeshiba sakramenti mingi na wine leo??.........haya pididi wahedi
 
Mkuu hongera kwa kugusa gusa na kusoma historia, ila inaonekana unaipamba orthodox ambayo ilikuwa kipindi cha dola la roma hebu turudi nyuma hapa kwa Alexander kiongozi huyu aliye kwenda kupigana na Persia falme iliyo tawala dunia kama mtawala wa pili ambayo kwa sasa ni irani 😃 unajua hizi dini chimbuko lake ni wapi utarudi mpaka babeli utaona zimetokea huko chini chini na kuwa na ushawishi mkubwa duniani
Mimi naongelea ukatoliki,,,,huko kwengine ni mada nyingine
 
Ubinafsi ni warumi kutaka kiongozi wa kanisa lao kutaka atawale makanisa yote,,,,hiko ndo walichogoma,,,,orthodox ni wamoja ila kila eneo lina kiongozi wake mmoja mkuu sasa warumi walitaka maeneo yote ya kanisa yawe chini ya papa/mkuu wa kanisa la Vatican,,,,huo sasa ndo ulikua ubinafsi
lakini ufahamu kuwa Yesu alimteua mmoja tu kuwa kiongozi mkuu wa Kanisa. Na katika mafundisho yake alisistiza, kuweni wamoja kama mimi nilivyo na BABA.

Ukienda in deep, kuna sababu za hao waliojitenga kufanya walivyofanya. Na wala haikuwa kwa sababu walitaka kila nchi iwe na mkuu wa Kanisa. Sababu zilizowafanya kujitenga, kama viongozi, walitakiwa kuzishughulikia wakiwa ndani ya Kanisa ili kuliimarisha kanisa, na kuhakikisha Kanisa pekee alilolianzisha Petro likiendelea kwa misingi ile ile.
Lakini Kristo alisema kuwa hata kama mtu hayupo nasi lakini anafanya tunayoyafanya, basi huyo ni mmoja wetu. Kwa hiyo, hata waliojitenga, kama watatenda aliyoyaamuru Mungu, basi ni wenzetu katika Kristo Yesu, hata kama mtu huyo atakuwa na jina la dini yoyote.
 
Mbona povu jingi ,,umeshiba sakramenti mingi na wine leo??.........haya pididi wahedi
Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume limepitia Mgawanyiko mara mbili tuu..
Mgawanyiko wa Kwanza uliozaa Orthodox na Mgawanyiko wa Pili uliozaa Protestantinisim
 
Ubinafsi ni warumi kutaka kiongozi wa kanisa lao kutaka atawale makanisa yote,,,,hiko ndo walichogoma,,,,orthodox ni wamoja ila kila eneo lina kiongozi wake mmoja mkuu sasa warumi walitaka maeneo yote ya kanisa yawe chini ya papa/mkuu wa kanisa la Vatican,,,,huo sasa ndo ulikua ubinafsiView attachment 3124060
Hao Othodox ndio walikuwa na ubinafsi kwani tatizo lilikuwa nini wao

kuwa chini ya Papa wa Roma. Mbona kwa sasa Papa anaweza kutoka
Ufaransa , Ujerumani, Marekani na kadhalika.
 
Habari Wanajamvi, familia yangu.

Tukirudi nyuma kidogo. Yesu alipofariki, Petro alichukua nafasi ya kuliongoza kanisa, yaani Baba wa kanisa.

Yesu aliliacha kanisa Katoliki kwenye utaratibu, hakuliacha hewani tu hovyo hovyo, na nafasi ya Petro inachukuliwa na Papa, Papa ni cheo/nafasi.

Ukiangalia makanisa yote mbali na katoliki, yalisaliti kutoka kwenye kanisa katoliki, kwa sababu zao kadha wa kadha, tamaa binafsi ikiwa sababu kuu.

Lutheran: lilianzishwa na Luther, ambaye alisaliti kutoka Roman Catholic na kuanzisha movement yake. Alirudi kuomba msamaha kwa Papa, mwishoni sana.

Anglican: lilianzishwa na mfalme wa Uingereza, baada ya kusaliti kutoka Roman Catholic. Sababu ni kukataliwa kumuacha mkewe tasa na kutaka kuoa mke mwingine.

TAG, EAGT, EFATHA, KKKT, KKT, FPCT, na makanisa mengine yote ukiacha Roman Catholic, ni makanisa yaliyoasi kutoka kwenye kanisa mama la RC.

Kanisa la kwanza ni Katoliki. Kanisa takatifu katoliki la mitume.
Kanisa ni Catholic, mengine ni 'betrayers'. Live long RC!
Kuna uzi wako ambao awali ulilaani makanisa kwa kutopiga vita umaskini huku ukiiengua RC bila hoja yoyote yenye mashiko, sasa nimejua lengo lako hasa, kumbe wewe ni MHUNI tu na mfia dini kama wafia dini wengine
 
Habari Wanajamvi, familia yangu.

Tukirudi nyuma kidogo. Yesu alipofariki, Petro alichukua nafasi ya kuliongoza kanisa, yaani Baba wa kanisa.

Yesu aliliacha kanisa Katoliki kwenye utaratibu, hakuliacha hewani tu hovyo hovyo, na nafasi ya Petro inachukuliwa na Papa, Papa ni cheo/nafasi.

Ukiangalia makanisa yote mbali na katoliki, yalisaliti kutoka kwenye kanisa katoliki, kwa sababu zao kadha wa kadha, tamaa binafsi ikiwa sababu kuu.

Lutheran: lilianzishwa na Luther, ambaye alisaliti kutoka Roman Catholic na kuanzisha movement yake. Alirudi kuomba msamaha kwa Papa, mwishoni sana.

Anglican: lilianzishwa na mfalme wa Uingereza, baada ya kusaliti kutoka Roman Catholic. Sababu ni kukataliwa kumuacha mkewe tasa na kutaka kuoa mke mwingine.

TAG, EAGT, EFATHA, KKKT, KKT, FPCT, na makanisa mengine yote ukiacha Roman Catholic, ni makanisa yaliyoasi kutoka kwenye kanisa mama la RC.

Kanisa la kwanza ni Katoliki. Kanisa takatifu katoliki la mitume.
Kanisa ni Catholic, mengine ni 'betrayers'. Live long RC!
Wakati wa Petro hakukuwa na kanisa linaloitwa katoliki. Hata katoliki ni ujanja ujanja wa Warumi tu. Ni makanisa yote ni fake. Trues Christianity doesn't recognize the so called today churches. Huo ndio ukweli.
 
lakini ufahamu kuwa Yesu alimteua mmoja tu kuwa kiongozi mkuu wa Kanisa. Na katika mafundisho yake alisistiza, kuweni wamoja kama mimi nilivyo na BABA.

Ukienda in deep, kuna sababu za hao waliojitenga kufanya walivyofanya. Na wala haikuwa kwa sababu walitaka kila nchi iwe na mkuu wa Kanisa. Sababu zilizowafanya kujitenga, kama viongozi, walitakiwa kuzishughulikia wakiwa ndani ya Kanisa ili kuliimarisha kanisa, na kuhakikisha Kanisa pekee alilolianzisha Petro likiendelea kwa misingi ile ile.
Lakini Kristo alisema kuwa hata kama mtu hayupo nasi lakini anafanya tunayoyafanya, basi huyo ni mmoja wetu. Kwa hiyo, hata waliojitenga, kama watatenda aliyoyaamuru Mungu, basi ni wenzetu katika Kristo Yesu, hata kama mtu huyo atakuwa na jina la dini yoyote.
Kihistoria petro alizunguka duniani kuhubiri kile alicho fundishwa na yesu akuwa mrumi bali ni mwisraeli na hakuanzisha ukatoliki

Petro hakufundisha mambo yake bali ushuhuda wa yesu aliyeishi nae na kula nae na kutembea nae, petro alifundisha mafundisho kutoka kwa yesu ukitaka kuujua ukweli hebu angalia mafundisho ya yesu kwenye biblia na hata film je yanafansna na ukatoliki, wapi yesu alimuomba maria, wapi mitume walimuomba marai, wapi yesu aliabudu sanamu wapi mitume waliabudu sanamu daaah kazi kweli kweli

Niwazi hakuna aliyezifanya hizi ibada na ndivyo wanavyomzushia petro kuwa ni papa kutoka Italy, wakati petro hakuwai kuwa kiongozi nje ya israeli hakuwai kuwa mfalme wala papa
 
Bila shaka utakuwa msabato wewe kwa sababu mkisikia

Kanisa Katoliki mashetani yenu huwa yana amka
Mimi sifungamaniki na mafundisho ama matendo ya Wanikolai ambayo hata Kristo mwenyewe huyachukio. Mfumo wa dini ya Kikristo na utitiri wa madhehebu ndani yake nami pia nauchukia sana.

Ufunuo 2:6
“Lakini unalo neno hili, kwamba wayachukia matendo ya Wanikolai, ambayo na mimi nayachukia”
.

Mimi najitahidi kuishi chini ya imani ya mitume, ambayo naipata katika Injili na Matendo ya Mitume. Hayo mambo sijui ya Ukatoliki, Usabato,Ulutheri, na Ulokole yapo mbali sana nami.

Hayo kinabii hufahamika kama mama wa makahaba na binti zake, ama yule Babeli Mkuu, mama wa makahaba. ile tu kupata usajili wao serikalini wa kuendesha shughuli za kidini kwa mwamvuli wa umadhehebu, kiroho hutafsirika kama ukahaba.
 
Acha ujinga wewe!!!
Huyo mnayemuamudu wakatoliki sio yesu ni uzushi tu wa kanisa hilo huyo ni mwadamu mwenzenu huyo sio yesu maskini watu wanaangamia sana, alafu hakuna mtume kati ya wale kumi nambili kutoka israeli aliyewai kutwala dola la roma au kushiki cheo cha upapa kwanza dola la roma makao yake makuu ni italy na wala sio sehwmu ya makabila yale kumi na mbili ya isrqeli amkeni nyinyi
 
Mimi sifungamaniki na mafundisho ya Wanikolao ambayo hata Kristo mwenyewe huyachukio. Mfumo wa dini ya Kikristo na utitiri wa madhehebu yake nami nayachukia sana.

Mimi najitahidi kuishi chini ya imani ya mitume, ambayo naipata katika Injili na Matendo ya Mitume. Hayo mambo sijui ya Ukatoliki, Usabato,Ulutheri, na Ulokole yapo mbali sana nami.

Hayo kinabii hufahamika kama mama wa makahaba na binti zake, ama yule Babeli Mkuu, mama wa makahaba. ile tu kupata usajili wao serikalini wa kuendesha shughuli za kidini kwa mwamvuli wa umadhehebu, kiroho hutafsirika kama ukahaba.
Mkuu hakuna kanisa litakalo okolewa katika siku za mwisho ila wale wamfuatao yesu ndio kanisa lake atawakusanya kutoka kila sehemu hao ndio kanisa la mungu hii ndio siri ambayo wengi hawaijui kuwa kanisa la mungu ni lipi wafuatao makanisa haya hawatookolewa
 
Hao Othodox ndio walikuwa na ubinafsi kwani tatizo lilikuwa nini wao

kuwa chini ya Papa wa Roma. Mbona kwa sasa Papa anaweza kutoka
Ufaransa , Ujerumani, Marekani na kadhalika.
Naona hujanielewa.....kanisa zamani lilikua na sehem za utawala wake na kila sehemu ilikua na mtawala wake patriarch,,,ndo maana hata kwa sasa ukienda patriarch ya Alexandria, russia, syria huko kote ni kanisa moja ila kila sehemu ina mtawala wake sasa warumi walitaka watawale patriarch zote jambo ambalo halikuwepo kwenye mfumo wa kanisa....mbona patriarch ya costantinople watawala walikua ni warumi pia ila hawakua na shida. .....kitu ambacho hawakutaka ni patriarch wa roma atawale patriarch zote za kanisa hio haimaanishi kwamba hawakutaka raia wa roma hilo naona hukunielewa
 
Roman catholic ni dini ya kirumi na mtume Petro hakuwa mrumi wala Yesu hakuwa mrumi.
 
Petro alipelekwa Rumi kwa ajili ya mashtaka ya tuhuma za uongo dhidi ya yeye ku.mkiri Kristo na kuifuata imani yake ya kweli aliyofundishwa na Bwana Yesu Kristo mwenyewe. Alihukumiwa kifo na uongozi wa Rumi ya kipagani, na kusulubishwa kichwa chini miguu juu, na hatimaye akafa kama mfia imani ya kweli ya Kristo..

Tukio hilo lilitokea karne ya kwanza ambapo taifa la Rumi lilikuwa la kipagani na makaisari wake walikuwa wapagani. Petro alikamatwa Yerusalemu akiwa mtu wa kawaida , mtume, na kiongozi, wa kundi, na wala hakuwahi kuwa na cheo chenye mamlaka makubwa ya kiserikali na kiutawala ya kipapa.

Upapa ulianzishwa karne ya tatu. Muasisi wake akiwa Kaisari Comstatino baada kuanzisha dini ya Kikristo yenye muundo wa mafundisho ya Kikristo yaliyoghoshiwa na kuchanganya yale ya kipagani yaliyokuwa yakikubalika na wengi katika Rumi ya kipagani.
Umechannganya ukweli mdogo na mengi yasiyo ya kweli.

Nikupeleke shule kidogo.

1) Kristo alianzisha Kanisa na akamteua Simon (akambadilisha jina na kumwita Petera, yaani Mwamba) kuwa kiongozi mkuu wa Kanisa hilo. Math 16:18

2) Kwa njia ya maono, Yesu alimteua Paulo kuwa mtume wa mataifa.

3) Wote wawili, Petro na Paulo walifika Rumi kwa namna ambayo hawakuipanga. Japo walienda kwa sababu ya mashtaka, lakini ikawa ndiyo njia ya kuifikisha injili Rumi ambako ilikuwa ndiyo makao makuu ya dola kuu Duniani iliyoongozwa na wapagani.

4) Siku ya kuiabudu Miungu mbalimbali, Paulo alifika kwa watu waliokuwa wanasali kwa, "Unknown God", anaanza kuwahubiria ni yupi huyo wasiyemjua. Na watu wengi wanakuja kumsikikiza, wengi wanastaajabu, habari zinamfikia mfalme, naye anagiza Paulo apelekwe kwakwe akamhubirie. Mfalme baada ya kusikikiza mahubiri, anatoa kibali cha Paulo kuendelea kueneza imani hiyo mpya, lakini mfalme anabakia na upagani wake.

5) Petro ndiye alijenga kikanisa kidogo Roma. Petro na Paulo, wote waliuawa Roma lakini wakiwa wamejipatia waamini wengi wa Kristo. Baada ya vifo vyao, ukristo unapata nguvu zaidi baada ya mfalme Costantin, yeye binafsi kumkiri Kristo. Na hivyo wakristo kusali na kuhubiri kwa uhuru.

6) Kanisa lilianza kuitwa Katoliki baada ya kikao cha kwanza cha mitume, ikimaanisha kanisa lililoenea Duniani kote. Hivyo walioifuata imani hii iliyoenea Duniani kote waliitwa wakatoliki.

7) Mgawanyiko wa kwanza wa Kanisa Katoliki ulifanywa na aliyekuwa Katibu wa papa. Alipojitenga hakuwahi kusema kuwa ananzisha kanisa jingine bali alijitenga tu na mamlaka ya Papa. Imani aliyoendelea kuihubiri ilibakia ile ile ya Katoliki. Ili kutofautisha wakatoliki wanaofuata huyu aliyejitenga na wale waliobakia chini ya mamlaka ya Papa, ndipo likazaliwa neno hilo la Wakatoliki walio chini ya Rumi, walioitwa Waktoliki wa Rumi (Roman Catholics) na wakatoliki wa kanisa la mashariki walioitwa Orthodox.

Lakini ni uwongo mkubwa kudai kuwa eti mfalme Costantin alibadilisha mambo mengi ya kiimani au ndiye aliyehamisha makao makuu ya Kanisa toka Jerusalem kwenda Rumi.

Mfalme Costantin alichosaidia ni kulipa uhuru Kanisa. Na hivyo kanisa likastawi na kupata waamini wengi Rumi kuliko kwenye mataifa mengi ambayo watawala wao hawakuwa wameupokea ukristo. Hivyo kanisa la Rumi likawa taasisi imara na kubwa kuliko mahali pengine popote.
 
Back
Top Bottom