Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume

Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume

P

Paulo alifia Rumi(Roma), kuna mashiko makubwa kwa kanisa Katoliki kuwa kanisa la kwanza.
NB
Kaburi la Petro lipo Rumi(Roma).
Kanisa Katoliki ni MAMA
Kipimo kikubwa Cha akili ya kawaida kipo ktk mijadala ya dini. Ukristo haujaanzia Roma. Unasemaje watu wameasi Roman Catholic!
Nyerere alifia ST. Thomas UK. Je hii inamfanya yeye kuwa mwanamfame wa UK?
 
Habari Wanajamvi, familia yangu.

Tukirudi nyuma kidogo. Yesu alipofariki, Petro alichukua nafasi ya kuliongoza kanisa, yaani Baba wa kanisa.

Yesu aliliacha kanisa Katoliki kwenye utaratibu, hakuliacha hewani tu hovyo hovyo, na nafasi ya Petro inachukuliwa na Papa, Papa ni cheo/nafasi.

Ukiangalia makanisa yote mbali na katoliki, yalisaliti kutoka kwenye kanisa katoliki, kwa sababu zao kadha wa kadha, tamaa binafsi ikiwa sababu kuu.

Lutheran: lilianzishwa na Luther, ambaye alisaliti kutoka Roman Catholic na kuanzisha movement yake. Alirudi kuomba msamaha kwa Papa, mwishoni sana.

Anglican: lilianzishwa na mfalme wa Uingereza, baada ya kusaliti kutoka Roman Catholic. Sababu ni kukataliwa kumuacha mkewe tasa na kutaka kuoa mke mwingine.

TAG, EAGT, EFATHA, KKKT, KKT, FPCT, na makanisa mengine yote ukiacha Roman Catholic, ni makanisa yaliyoasi kutoka kwenye kanisa mama la RC.

Kanisa la kwanza ni Katoliki. Kanisa takatifu katoliki la mitume.
Kanisa ni Catholic, mengine ni 'betrayers'. Live long RC!
Petro alipelekwa Rumi kwa ajili ya mashtaka ya tuhuma za uongo dhidi ya yeye ku.mkiri Kristo na kuifuata imani yake ya kweli aliyofundishwa na Bwana Yesu Kristo mwenyewe. Alihukumiwa kifo na uongozi wa Rumi ya kipagani, na kusulubishwa kichwa chini miguu juu, na hatimaye akafa kama mfia imani ya kweli ya Kristo..

Tukio hilo lilitokea karne ya kwanza ambapo taifa la Rumi lilikuwa la kipagani na makaisari wake walikuwa wapagani. Petro alikamatwa Yerusalemu akiwa mtu wa kawaida , mtume, na kiongozi, wa kundi, na wala hakuwahi kuwa na cheo chenye mamlaka makubwa ya kiserikali na kiutawala ya kipapa.

Upapa ulianzishwa karne ya tatu. Muasisi wake akiwa Kaisari Comstatino baada kuanzisha dini ya Kikristo yenye muundo wa mafundisho ya Kikristo yaliyoghoshiwa na kuchanganya yale ya kipagani yaliyokuwa yakikubalika na wengi katika Rumi ya kipagani.
 
Hayo madai mbona hatuyaoni kwenye Biblia Takatifu?
Yesu Kristo aliacha Kanisa lake lenye jumla ya Wanafunzi zaidi ya 500! Kanisa la Yerusalemu!
1.Hakuacha Kanisa linaloongozwa na Mapapa,Makadinari wala Mapadre (ambao hawaoi)!
2.Hakuacha Kanisa la watu wanaloinamia Sanamu na kuzisujudu!
3.Hakuacha Kanisa linalofanya Ibada za Wafu!
4.Hakuacha Kanisa ambalo linabatiza watoto wadogo!
5.Hakuacha Kanisa ambalo watu wanamtukuza Bikra Maria (ambaye alikuwa na Watoto) kuliko Yesu Kristo!
6.Hakuacha Kanisa ambalo Papa anaruhusu kubariki Ndoa za Jinsia moja.
Hilo ni Genge la Wakatoriki walioamua kuchanganya mafundisho ya Kristo na Mafundisho ya Kipagani karne ya 3 (mnamo mwaka 330 AD na Mfalme Constantine wa Roma)
 
Hilo orthodox ni katoliki....unajua maana ya orthodox ??? Na ndo maana nakwambia katoliki haijaanzia roma,,,,,,ilioanzia roma ni hio roman catholic......hata hapo Ethiopia kanisa lao la tewahedo ni katoliki ila sio la roma,,,,hata kanisa la ugiriki ni katoliki ila sio katoliki ya roma,,,hivyohivyo russian,syrian orthodox hao wote ni wakatoliki ila sio wakatoliki ya rumi,,,,,shida huku Afrika wengi wamekalilishwa sababu makanisa huku yaliletwa na wamagharibi kwahio wakaingiza na propaganda zao,,,,ila ukiwa neutral ufatilie kanisa la mashariki na kanisa la magharibi utaelewa ukatoliki umeanzia wapi......orthodox ndo hilo kanisa la mashariki ambalo hata kwenye biblia lipo na ukristo ulianzia mashariki ya kati haukuanzia roma huko kwa wamagharibi,,,,kanisa limeenda kuanzishwa kwa warumi wakati tayari hapo mashariki ya kati kulikua tayari na wakristo (wakatoliki)
kajifundishe the Great Schism ya Kwanza ya Kanisa Katoliki....?
 
Ibada za sanamu zilikuwako tangu enzi za kina nabii elisha walicho kifanya ni kuziunganisha na ibada za mungu wa Israeli ambapo huko alizaliwa yesu

Kwa kifupi jamaa yupo sahihi kusema kanisa la roma ni mama unajua roma ilitawala dunia yote na kuwalazimisha wote wamwabudu mungu wao kabla ya miaka ya 80s ambapo ndipo taifa la america lilizaliwa

Kwa ushahidi huu kwamba dola la rumi liliwahi kutawala dunia baada ya Greece lilikuwa dola lenye nguvu sana na katili kwani hujawai kuwasikia viongozi wa katoliki wakiomba samahani kwa matendo ya dola hilo
dola la kirumi lenyewe lilikuja kulikubali kanisa baadae kabisa ,,,na mfalme wa kirumi aliekubali ukristo hadi ukaingia kwenye utalawa ni Constantine.....na ambae alihamishia makao makuu ya utawala wa kirumi hadi constantinople/Istanbul na ndo maana kanisa kubwa zaidi duniani kwa wakati ule lililua Hagia Sophia ambalo lipo Istanbul.......kwahio hata warumi nao ukatoliki wameukuta sio kwamba ndo waliouanzisha na kuuendeleza.....,,,ukatoliki ulikuwepo kabla hata ya dola la kirumi kuukubali na kanisa kwa kipindi hiko lilikua limeimarika mashariki zaidi kuliko magharibi........Vatican ikaja kupata uzito na umuhimu baada ya utawala wa warumi kwa upande wa mashariki kuanguka na lile eneo kukaliwa na waislam ila kabla ya hapo ukatoliki ulikua na nguvu na ulitapakaa zaidi mashariki zaidi ya magharibi
Screenshot_20241013-190519_Chrome.jpg
 
Petro alipelekwa Rumi kwa ajili ya mashtaka ya tuhuma za uongo dhidi ya yeye ku.mkiri Kristo na kuifuata imani yake ya kweli aliyofundishwa na Bwana Yesu Kristo mwenyewe. Alihukumiwa kifo na uongozi wa Rumi ya kipagani, na kusulubishwa kichwa chini miguu juu, na hatimaye akafa kama mfia imani ya kweli ya Kristo..

Tukio hilo lilitokea karne ya kwanza ambapo taifa la Rumi lilikuwa la kipagani na makaisari wake walikuwa wapagani. Petro alikamatwa Yerusalemu akiwa mtu wa kawaida , mtume, na kiongozi, wa kundi, na wala hakuwahi kuwa na cheo chenye mamlaka makubwa ya kiserikali na kiutawala ya kipapa.

Upapa ulianzishwa karne ya tatu. Muasisi wake akiwa Kaisari Comstatino baada kuanzisha dini ya Kikristo yenye muundo wa mafundisho ya Kikristo yaliyoghoshiwa na kuchanganya yale ya kipagani yaliyokuwa yakikubalika na wengi katika Rumi ya kipagani.
Bila shaka utakuwa msabato wewe kwa sababu mkisikia

Kanisa Katoliki mashetani yenu huwa yana amka
 
Mapema sana tena ni mfuasi wa orthodox.....katoliki halisi sio hio iliochakachuliwa na wamagharibi
Lipi lenye influence na lililobeba Identity ya Katoliki

Achana kanisa Katoliki sio la mchezo. Hao wengine walikuwa ni Katoliki

zamani kwa sasa ni Othodox usiwalazimishe kuwawaita wakatoliki.
 
dola la kirumi lenyewe lilikuja kulikubali kanisa baadae kabisa ,,,na mfalme wa kirumi aliekubali ukristo hadi ukaingia kwenye utalawa ni Constantine.....na ambae alihamishia makao makuu ya utawala wa kirumi hadi constantinople/Istanbul na ndo maana kanisa kubwa zaidi duniani kwa wakati ule lililua Hagia Sophia ambalo lipo Istanbul.......kwahio hata warumi nao ukatoliki wameukuta sio kwamba ndo waliouanzisha na kuuendeleza.....,,,ukatoliki ulikuwepo kabla hata ya dola la kirumi kuukubali na kanisa kwa kipindi hiko lilikua limeimarika mashariki zaidi kuliko magharibi........Vatican ikaja kupata uzito na umuhimu baada ya utawala wa warumi kwa upande wa mashariki kuanguka na lile eneo kukaliwa na waislam ila kabla ya hapo ukatoliki ulikua na nguvu na ulitapakaa zaidi mashariki zaidi ya magharibi View attachment 3124005
Kulingana na unabii hizi dini za kipagani zilianzia babeli dola la rumi zilicopy kutoka katika imani za kipagani za kale na kuchanganya na ukristo
 
Bila shaka utakuwa msabato wewe kwa sababu mkisikia

Kanisa Katoliki mashetani yenu huwa yana amka
Hebu tuelekezane kwa hoja zenye kujenga na zenye ushahidi wa kihistoria tuache kuongea maneno yasio na maana, usijifunge uwezo wako wa kufikili wa akili hebu toa kile unachokijua sio unafuata mkumbo tu
 
Lipi lenye influence na lililobeba Idetity ya Katoliki

Achana kanisa Katoliki sio la mchezo. Hao wengine walikuwa ni Katoliki

zamani kwa sasa ni Othodox usiwalazimishe kuwawaita wakatoliki.
Influence imetokana na utawala wao wa kidunia na sio kwamba hio nguvu imetokana na ukubwa wa kanisa..........utawala wa rumi mashariki ulipojifia ndo na influence ya orthodox ikapungua na pia ukatoliki wa roma ukaenezwa kwa njia za ukoloni wakati nchi nyingi za wa orthodox hazikushiriki kwenye ukoloni............na rumi ya magharibi ndo iliochochea pia rumi ya mashariki kupotea maana baadae wakaanza kuwaunga mkono waislam ili waiangushe Constantinople ambapo ndo kulikua makao makuu ya rumi ya mashariki,,,,,,,,,,,,kama rumi ya magharibi ingekua na nguvu basi kwenye schism ya kwanza wasingetengwa na wakatoliki wenzao ambao ni wengi wakaachwa wao tu ambao ndo walikua wanakomalia utawala wa papa kutawala kanisa zima............na hio orthodox waliamua kuitumia ili wajitofautishe na hao wa magharibi (orthodox maana yake ni halisi/asili) kwahio hao ndo wakatoliki halisi au ndo wenye asili ya ukatoliki na sio wamagharibi
 
Influence imetokana na utawala wao wa kidunia na sio kwamba hio nguvu imetokana na ukubwa wa kanisa..........utawala wa rumi mashariki ulipojifia ndo na influence ya orthodox ikapungua na pia ukatoliki wa roma ukaenezwa kwa njia za ukoloni wakati nchi nyingi za wa orthodox hazikushiriki kwenye ukoloni............na rumi ya magharibi ndo iliochochea pia rumi ya mashariki kupotea maana baadae wakaanza kuwaunga mkono waislam ili waiangushe Constantinople ambapo ndo kulikua makao makuu ya rumi ya mashariki,,,,,,,,,,,,kama rumi ya magharibi ingekua na nguvu basi kwenye schism ya kwanza wasingetengwa na wakatoliki wenzao ambao ni wengi wakaachwa wao tu ambao ndo walikua wanakomalia utawala wa papa kutawala kanisa zima............na hio orthodox waliamua kuitumia ili wajitofautishe na hao wa magharibi (orthodox maana yake ni halisi/asili) kwahio hao ndo wakatoliki halisi au ndo wenye asili ya ukatoliki na sio wamaghariki.
The Doctrine of the Faith Aim to Include and not to Separate.

Kwa nini wao (Orthodox) wajitenge au watenge wenzao kama sio
ubinafsi ni nini.
 
Influence imetokana na utawala wao wa kidunia na sio kwamba hio nguvu imetokana na ukubwa wa kanisa..........utawala wa rumi mashariki ulipojifia ndo na influence ya orthodox ikapungua na pia ukatoliki wa roma ukaenezwa kwa njia za ukoloni wakati nchi nyingi za wa orthodox hazikushiriki kwenye ukoloni............na rumi ya magharibi ndo iliochochea pia rumi ya mashariki kupotea maana baadae wakaanza kuwaunga mkono waislam ili waiangushe Constantinople ambapo ndo kulikua makao makuu ya rumi ya mashariki,,,,,,,,,,,,kama rumi ya magharibi ingekua na nguvu basi kwenye schism ya kwanza wasingetengwa na wakatoliki wenzao ambao ni wengi wakaachwa wao tu ambao ndo walikua wanakomalia utawala wa papa kutawala kanisa zima............na hio orthodox waliamua kuitumia ili wajitofautishe na hao wa magharibi (orthodox maana yake ni halisi/asili) kwahio hao ndo wakatoliki halisi au ndo wenye asili ya ukatoliki na sio wamagharibi
Inshort kwa muujibu wa historia hizi dini kipagani chimbuko lake ni jiji kubwa na maarufu la zamani la babeli kwa takribani falme tatu za dunia zilitumia jiji hilo kama makao yake makuu huku ndipo hizi imani zilipo zaliwa
 
Doctrine of faith aim to include and not to Separate.

Kwa nini wao wajitenge au watenge wenzao kama sio
ubinafsi ni nini.
Ubinafsi ni warumi kutaka kiongozi wa kanisa lao kutaka atawale makanisa yote,,,,hiko ndo walichogoma,,,,orthodox ni wamoja ila kila eneo lina kiongozi wake mmoja mkuu sasa warumi walitaka maeneo yote ya kanisa yawe chini ya papa/mkuu wa kanisa la Vatican,,,,huo sasa ndo ulikua ubinafsi
Screenshot_20241013-191339_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom