Kwani nimeongelea kitu gani?? Naona umepagawa umeamka tu na mapovu yako....hilo eastern church ndo hio orthodox nayoiongelea kwani nimesema kulikua na mgawanyiko mara 100?? Sijafika kwa waprotestanti nipo hapo kwenye mgawanyiko wa kwanza,,,,shida mna mihemuko ya makanisa mliyoletewa na wakoloniKanisa Takatifu Katoliki la Mitume limepitia Mgawanyiko mara mbili tuu..
Mgawanyiko wa Kwanza uliozaa Orthodox na Mgawanyiko wa Pili uliozaa Protestantinisim
Kristo yupo ndani yako baas haijalishi upo kanisa lipi.....hapo sawa kabisaMkuu hakuna kanisa litakalo okolewa katika siku za mwisho ila wale wamfuatao yesu ndio kanisa lake atawakusanya kutoka kila sehemu hao ndio kanisa la mungu hii ndio siri ambayo wengi hawaijui kuwa kanisa la mungu ni lipi wafuatao makanisa haya hawatookolewa
Padre Martin Luther alimmwambia papa afunue biblia kuanzia mwanzo mpaka ufunuo amuoneshe ni wapi cheo cha papa kimeandikwa. Alivyokukosa kamuuliza basi niambie wew ni wapi umekupata cheo hicho.lakini ufahamu kuwa Yesu alimteua mmoja tu kuwa kiongozi mkuu wa Kanisa. Na katika mafundisho yake alisistiza, kuweni wamoja kama mimi nilivyo na BABA.
Ukienda in deep, kuna sababu za hao waliojitenga kufanya walivyofanya. Na wala haikuwa kwa sababu walitaka kila nchi iwe na mkuu wa Kanisa. Sababu zilizowafanya kujitenga, kama viongozi, walitakiwa kuzishughulikia wakiwa ndani ya Kanisa ili kuliimarisha kanisa, na kuhakikisha Kanisa pekee alilolianzisha Petro likiendelea kwa misingi ile ile.
Lakini Kristo alisema kuwa hata kama mtu hayupo nasi lakini anafanya tunayoyafanya, basi huyo ni mmoja wetu. Kwa hiyo, hata waliojitenga, kama watatenda aliyoyaamuru Mungu, basi ni wenzetu katika Kristo Yesu, hata kama mtu huyo atakuwa na jina la dini yoyote.
Aliyekwambia kwamba yesu aliwahi kusali kanisa katoliki naniHabari Wanajamvi, familia yangu.
Tukirudi nyuma kidogo. Yesu alipofariki, Petro alichukua nafasi ya kuliongoza kanisa, yaani Baba wa kanisa.
Yesu aliliacha kanisa Katoliki kwenye utaratibu, hakuliacha hewani tu hovyo hovyo, na nafasi ya Petro inachukuliwa na Papa, Papa ni cheo/nafasi.
Ukiangalia makanisa yote mbali na katoliki, yalisaliti kutoka kwenye kanisa katoliki, kwa sababu zao kadha wa kadha, tamaa binafsi ikiwa sababu kuu.
Lutheran: lilianzishwa na Luther, ambaye alisaliti kutoka Roman Catholic na kuanzisha movement yake. Alirudi kuomba msamaha kwa Papa, mwishoni sana.
Anglican: lilianzishwa na mfalme wa Uingereza, baada ya kusaliti kutoka Roman Catholic. Sababu ni kukataliwa kumuacha mkewe tasa na kutaka kuoa mke mwingine.
TAG, EAGT, EFATHA, KKKT, KKT, FPCT, na makanisa mengine yote ukiacha Roman Catholic, ni makanisa yaliyoasi kutoka kwenye kanisa mama la RC.
Kanisa la kwanza ni Katoliki. Kanisa takatifu katoliki la mitume.
Kanisa ni Catholic, mengine ni 'betrayers'. Live long RC!
Huyu sio mungu mkuuMUNGU wa wakristo
View attachment 3124124
Umrundika vitu vingi ambavyo vingi inaonekana huna uelewa navyo.Kihistoria petro alizunguka duniani kuhubiri kile alicho fundishwa na yesu akuwa mrumi bali ni mwisraeli na hakuanzisha ukatoliki
Petro hakufundisha mambo yake bali ushuhuda wa yesu aliyeishi nae na kula nae na kutembea nae, petro alifundisha mafundisho kutoka kwa yesu ukitaka kuujua ukweli hebu angalia mafundisho ya yesu kwenye biblia na hata film je yanafansna na ukatoliki, wapi yesu alimuomba maria, wapi mitume walimuomba marai, wapi yesu aliabudu sanamu wapi mitume waliabudu sanamu daaah kazi kweli kweli
Niwazi hakuna aliyezifanya hizi ibada na ndivyo wanavyomzushia petro kuwa ni papa kutoka Italy, wakati petro hakuwai kuwa kiongozi nje ya israeli hakuwai kuwa mfalme wala papa
Hapo kwenye kuwaombea pengine ndipo ukakasi unapoanzia. Maandika yanasema mtu haji kwa baba yangu bila kupitia kwangu. Yesu mwenyewe amesema tumuombe baba yake kupitia yeye na kwamba tukiomba lolote tutapata. Sasa ni wapi andiko ambalo Yesu amesema ombeni kwa baba yangu kupitia kwa Mariam?Umrundika vitu vingi ambavyo vingi inaonekana huna uelewa navyo.
Kuna mtu yeyote amewahi kukuambia kuwa Petro alikuwa Mrumi? Paulo na Paulo, wote walikuwa wayahudi kiasili. Walihusishwa na Warumi kwa sababu tu Warumi waliifanya Uyahudi kuwa koloni lao.
Ungekuwa unaujua ukristo japo kidogo, ungeelewa kuwa mafundisho yote ya Kristo yalionesha jinsi Mungu alivyoyageukia mataifa baada ya Wayahudi kumkataa masiha. Na hata alipokuwa akiondoka, aliwaambia mitume, "nendeni Duniani kote mkawafanye kuwa wanafunzi wangu".
Ungekuwa na uelewa japo kidogo, ungejua kuwa mapokeo ya ukristo yalikuwa makubwa zaidi nje ya Uyahudi kuliko ndani ya Uyahudi. Hivyo haishangazi na wala haiendi tofauti na yale aliyoyaeleza Kristo kuwa yangetokea.
Kama ni mkristo, jibidishe uunue ukristo, maana inaonekana umchanga sana, hujui hata ibada zilivyokuwa zikifanyika wakati wa karne ya kwanza, na wala huna uelewa wa kujua maana ya kuabudu, ndiyo maana unasema kuwa kuna watu wanaabudu sanamu. Sijawahi kusikia kuna wakristo wanabudu sanamu, labda kama hujui maana ya kuabudu. Ninaojua kuwa huwa wanaabudu sanamu ni dini za huko India. Na kwa agano la kale, Wayahudi pia waliwahi kumtengeneza ndama, wakamfanya kuwa mungu wao, wakamwabudu. Lakini baada ya kupewa amri 10 za Mungu, hawakuwahi kufanya hivyo tena, bali walisafiri na sanduku la Agano kwa heshima kunwa, na humo ndimo zilimowekwa amri 10 za Mungu. Na kule jangwani waliambiwa watengeneze nyoka wa shaba, na walipougua au kuumwa na wanyama/wadudu wenye sumu, walimtazama nyoka wa shaba, nao walipona. Sanamu hii ya nyoka wa shaba hawakuifanya kuwa Mungu wao, wala hawakuiabudu, japo waliiheshimu sana.
Kuhusu Mama Maria, pia inaonekana umepungukiwa tu ufahamu wa kiimani. Wa kwanza kumheshimu Mama Maria alikuwa ni malaika Gabriel. Alipomletea ujumbe, alisema:
28 Malaika Gabrieli alimtokea Mariamu, akamwambia: “Salaamu, ewe binti uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!”
Wakatoliki wakiyarudia maneno hayo ya malaika, wamefanya kosa gani?
Lakini yasikilize maneno ya Elizabeth alipotembelewa na Maria:
Maria akaingia nyumbani kwa Zakaria akamsalimu Elizabeti. 41 Naye aliposikia salaamu za Mariamu, mtoto aliyekuwa tumboni mwake aliruka. Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu, 42 akasema kwa sauti kubwa:
“Umebarikiwa wewe zaidi ya wanawake wengine wote, naye mtoto utakayemzaa amebarikiwa."
Wakatoliki wakiyarudia maneno hayo ya Elizabeth, nini watakuwa wamefanya kinyume na mafundisho ya Kristo?
Isikilize sala hii ya Maria:
46 Mariamu akasema: “Namtukuza Bwana, 47 na roho yangu inamfurahia Mungu Mwokozi wangu. 48 Kwa kuwa ameutambua unyonge wa mtumishi wake.
"Tangu sasa vizazi vyote wataniita niliyebarikiwa."
Wakatoliki wakisema Maria ni mbarikiwa mwenye nafasi ya pekee, ni nini kilicho kinyume?
Outside catholic church no salvationKristo yupo ndani yako baas haijalishi upo kanisa lipi.....hapo sawa kabisa
Hili ni miongoni mwa matango pori tulitopigwa nayo enzi hizo tunafanya mafundisho ya kukariri Katekisimu KatolikiOutside catholic church no salvation
Tuanzie hapohapo kwa hiyo petro alikuwa anasali ishara ya msalaba?Habari Wanajamvi, familia yangu.
Tukirudi nyuma kidogo. Yesu alipofariki, Petro alichukua nafasi ya kuliongoza kanisa, yaani Baba wa kanisa.
Yesu aliliacha kanisa Katoliki kwenye utaratibu, hakuliacha hewani tu hovyo hovyo, na nafasi ya Petro inachukuliwa na Papa, Papa ni cheo/nafasi.
Ukiangalia makanisa yote mbali na katoliki, yalisaliti kutoka kwenye kanisa katoliki, kwa sababu zao kadha wa kadha, tamaa binafsi ikiwa sababu kuu.
Lutheran: lilianzishwa na Luther, ambaye alisaliti kutoka Roman Catholic na kuanzisha movement yake. Alirudi kuomba msamaha kwa Papa, mwishoni sana.
Anglican: lilianzishwa na mfalme wa Uingereza, baada ya kusaliti kutoka Roman Catholic. Sababu ni kukataliwa kumuacha mkewe tasa na kutaka kuoa mke mwingine.
TAG, EAGT, EFATHA, KKKT, KKT, FPCT, na makanisa mengine yote ukiacha Roman Catholic, ni makanisa yaliyoasi kutoka kwenye kanisa mama la RC.
Kanisa la kwanza ni Katoliki. Kanisa takatifu katoliki la mitume.
Kanisa ni Catholic, mengine ni 'betrayers'. Live long RC!
Hicho ni kitabu gani?Petro, wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa, milango ya kuzimu italipiga vita lakini haitalishinda.
Petro, wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa, milango ya kuzimu italipiga vita lakini haitalishinda.
Hatuwezi kuamini maandiko kwa kuwa umeoteshwa au umehadithiwa.Maandi Toka wapi??
Kwani hayo sio Maandiko?
Hivi kwenye Biblia ni wapi yanatajwa maneno "kanisa katoliki"?
Na pia ni wapi tunapoweza kuona neno au cheo cha upapa?
Hutaki unaacha.....Hili ni miongoni mwa matango pori tulitopigwa nayo enzi hizo tunafanya mafundisho ya kukariri Katekisimu Katoliki