Kanizingua, Nimemzingua, Tumezinguana. Nimestuka Staki ujinga

Ni wachache sana kwasasa kwenye dunia hii ya kizazi cha azuma.
 
Nishaachana nayo mkuu.
Ndezi pro max aisee.

250k ni mshahara wa mtu kabisa huo.

Unamlipa 250k per month na bado unajitetea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Jamaa ana safari ndefu sana na hawezi iacha hiyo pisi
 
Ndezi pro max aisee.

250k ni mshahara wa mtu kabisa huo.

Unamlipa 250k per month na bado unajitetea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Jamaa ana safari ndefu sana na hawezi iacha hiyo pisi
Kwa hiyo mimi ndezi si ndio mkuu.
 
Wewe ni mpuuzi yaani mpaka uwasingizie wazee kule home, kwa nini usiishie tu kusema sina! Kwani angekuua?
Kwa hulka yake asingenielewa. Na ni jambo jema kumweka mwenzio wazi ili awe aware kwanini utashindwa kumpatia alichokiomba angekuwa ni demu wa siku mbili tatu nisingemwambia.
 
Upendo tu bro. Ila wenye true love tunakupenda mara moja tu ukizingua ndio kwaheri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…