Mimi ni Shabiki wa Simba damdam lakini ifike wakati mashabiki wa Simba tuache ushabiki maandazi na uzwazwa, Kweli leo umfananishe mchezaji anayelipwa zaidi kuliko wachezaji wote Tz na Afrika mashariki na kati na huyu mzembe Kanoute anayekosa magoli kizembe? Ifike wakati ushabiki usitufanye wajinga Aziz Ki ni level nyingine hauwezi kabisa kumlinganisha na huyu kinda wala mchezaji yeyote ndani ya Simba.
Unatafuta bwanaWewe na Genta akili moja Bruno Guimares na Greatest Of All Time ni mtu yule yule
Maneno kidogo majibu tunatakaMimi ni Shabiki wa Simba damdam lakini ifike wakati mashabiki wa Simba tuache ushabiki maandazi na uzwazwa, Kweli leo umfananishe mchezaji anayelipwa zaidi kuliko wachezaji wote Tz na Afrika mashariki na kati na huyu mzembe Kanoute anayekosa magoli kizembe? Ifike wakati ushabiki usitufanye wajinga Aziz Ki ni level nyingine hauwezi kabisa kumlinganisha na huyu kinda wala mchezaji yeyote ndani ya Simba.
Sawa mama wa kamboMsaidie kwanza Dada kuosha vyombo
Agiza pepsi big kwa bill yanguKwamba nyie mnajua kuliko prof Nabi au. Nabi mwenyewe siku hizi anampa dk 3 au 5 za kucheza.
Acha kumfananisha Putin na vitu vya hovyo..
Unateseka ukiwa wapiiiiii???? Poleeeeeeee sanaaaTactical mind game hiyo tatizo wewe ni kolo huwezi kuelewa haya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha mbali sana,
Eti, ufunguoooooo[emoji23]
Mijadala mingine CAF wenyewe wanaingiliaga kati kusuluhisha maana wanaona kuna watu wanakufuru 🤣😂🤣Kanoute siyo wa level hiyo..muone hukuView attachment 2561023View attachment 2561024
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mijadala mingine CAF wenyewe wanaingiliaga kati kusuluhisha maana wanaona kuna watu wanakufuru [emoji1787][emoji23][emoji1787]