Kanuni 10 muhimu za kukusaidia na kukulinda mwanaume unapochepuka na mke wa mtu

NYIE JIPENI MOYO KWAMBA GHETTO MNA MAZIWA
 
1.Usisahau silaha yoyote ya kukuokoa kwenye tukio. usikubali hata kwa bahati mbaya kupakwa mafuta, pambana hadi ufe kwanza
2.usifanye mazoea na mke wa mtu. gonga once sepa
3.hata kama umerogwa usijaribu kulala au kwenda nyumbani kwa mchepuko au mke wa mtu
 
MKE WATU KAMA SUMU KUNYWA MAZIWA NA PIA ZINGATIA MAAGIZO YA PROF JANABY KUHUSU MATUMIZI YA VYAKULA
 
1. Kamwe usipige naye picha .

2. Ikiwa ulimpigia simu na akakata, usimpigie tena mume wake anaweza kuwa karibu naye.

3. Usitume ujumbe wa mapenzi kwake, jitahidikupiga.

4. Usijekujaribu hata siku moja kulala kwake hata ikiwa mume wake kasafiri.

5. Usiwaambie marafiki zako au marafiki wake kuwa una mahusianao naye.

6. Ikiwa anakupigia simu, pokea lakini usianze kuongea haraka. labda ni mume anayepiga simu akijaribu kujua, mpe nafasi azungumze kwanza.

7. Ikiwa utakuwa nyumbani kwake, shusha suruali nusu wakati wa kumla usivue kila kitu, Kama mambo yataenda vibaya na unahitaji kukimbia.

8. Muhimu zaidi. KAA MBALI na wake za watu, tafuta wa kwako
 
La mwisho nitazingatia sana
 
7 nmecheka kwa sauti wakati leo ni kumbukumbu ya kifo cha yesu
Oh Lord mercy up me
8 ndo umemaliza kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…