ngumbuke
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 495
- 527
Vitabu hivi vinapatikana UDSM (Mlimani) katika maduka yao ya vitabu. Ni tuvitabu tu tumechapwa kizembe kizembe ukiviona inavidharau kumbe....
Nalazimika kuvifuatilia mapema iwezekanavyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitabu hivi vinapatikana UDSM (Mlimani) katika maduka yao ya vitabu. Ni tuvitabu tu tumechapwa kizembe kizembe ukiviona inavidharau kumbe....
Tunaipataje hii?Moja ya fasihi bora kabisa kuwahi kuisoma, asante mleta mada
hawezi kukosaTatizo umagharibi umetuharibu sana. Kwa asili yetu waafrika sanaa ni mali ya jamii nzima, hivyo msanii aliona fahari kuona kazi yake ikielimisha au kuburudisha jamii yake tofauti na sasa ambapo wasanii wanawaza pesa tu.
Naamini wasanii kama watafanya kazi nzuri, jamii itahamasika kupenda kusoma/kusikiliza au kutazama kazi za sanaa kuliko kuacha kabisa kutumia vipaji vyao.
Hivi kwa zama hizi ambazo kumkosoa mh.rais ni kosa la jinai akiibuka mwanafasihi akaweza kutumia kalamu yake vizuri kama walivyokuwa wakifanya akina Kezilahabhi, Chinua Achebe, Ngugi wa Thiongo n.k atakosa wateja?
Na amefanikiwa ku corrupt mind za wabongo sana.Kweli mkuu. Nilishawahi sema mahali kuwa huyo jamaa mwenye magazeti yenye kauli mbiu za kilokole single handedly ameweza "kuangamiza' kizazi kizima. Ametajirika ndiyo lakini gharama yake ni kubwa sana. Tumekuwa taifa la umbea na ushilawadu. Wenye mawazo mapya na fikra chokonozi wanaonekana maadui. Jamii isiyojali. Sad !!!
The Dark side of Julius Nyerere kilichoandikwa na Ludovic Mwaijage linapatikana online pia unaweza ukiagiza Amazonngoja nimuulize mtu moja hivi kama atakuwa na soft copy
Animal farm kinapatikana online unaweza kuagiza copy AmazonHapana mkuu sijasoma hata kimoja hapo. Nitumie ulivyonavyo!..
Ludovic Mwaijage anaelezea mambo yake binafsi alivyo kuwa mkimbizi wa kisiasa kutoka Tanzania, na jinsi alivyo kuwa captured Swaziland kutumia shushu la ki Mozambique. Ni true storyHicho cha the dark side of nyerere tupe udodonozi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Fasihi yetu imegeuka mipasho, magazeti ya jamaa mmoja anayeweka kidokezo "IN GOD WE TRUST" lakini ndani yamejaa ugoro mtupu pamoja na vipindi vyepesi vya redio viitwavyo shila wada ndio imekuwa fasihi yetu kwa sasa , hakuna mwandishi anayeumiza kichwa kuandika mambo magumu wala hakuna msomaji anayeumiza kichwa kusoma mambo magumu. Ni udaku kwenda mbele , magazeti ya udaku saa mbili asubuhi tuu yote yameisha.
Gudume shukurani kwa kutukumbusha Kezilahabi wahenga.
Shafi A Shafi, mzee wa VUTA N'KUVUTE maarufu pia kwa riway ya KULI, amefyatua riwaya nyingine inaitwa HAINI hii ni balaa.......inaswiri kabisa kauli ya "watapata taabu sana". hebu itafute uone kilichomo, waweza kumchukia yeyote aliyemo kwenye Dola.
Kile nimekisoma mkuuThe Dark side of Julius Nyerere kilichoandikwa na Ludovic Mwaijage linapatikana online pia unaweza ukiagiza Amazon
Unaongelea Ibrahim Hussein aliyeandika Mashetani? Kezilahabi ni mkimya na haongei sana. Alikuwa profesa wa fasihi mlimani mpaka alipoamua kuhamia Botswana.[/QUOTE
Hata kama wangekuwepo (naamini wapo) vitabu vyao tungevisoma? Sasa waandishi wengi wa fasihi pevu wanatoka Kenya ambako usomaji wa vitabu angalau una unafuu. Hakuna kitu kinachomkatisha tamaa mwandishi kama kuandika kazi ya sanaa halafu isiwe na wasomaji. Tanzania hapa ni mpaka ubahatishe kitabu chako kiingizwe katika mitaala ya shule japo napo nasikia ni mpaka upite njia za mkato na uwe na watu wa kukupigania. Taifa lisilosoma. Taifa lisilojielewa. Taifa lisilo na fikra mpya. Na sasa tumepuuzia masomo ya sanaa na tunataka kila mtoto asome sayansi. Tutakuwa taifa la kwanza hapa duniani kuwa na wanasayansi pekee wakiongoza kila nyanja.
Ila huyu Kezilahabi alikuwa na lugha kalikali. Kwenye Dunia uwanja wa fujo kuna kabinti kalibalehe na kakaanza ishu za wavulana vichakani. Basi dingi yake akakakamata na kuanza kukapa stiki huku akisema " vimatako vyenyewe vikavu halafu unataka kutuletea nyege"
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]mim nikijana mdogo wakati huo skuwepo na shule nimesoma lakin si hadi kwa levo za juu je sokoni kipo au kukipata unaweza tumia njia gani
Nilikutana na jamaa mmoja wa UDSM- IKS( Institute of Kiswahili Studies) aliniambia Kezilahabi amepata matatizo ya kwenye ubongo, ubungo wake umefuta kumbukumbu zake zote. Mbaya zaidi amepoteza mpaka uwezo wa kuongea, kwa sasa anafundishwa tena kuunda maneno.
mm mwenyewe leo nimeshangaa kidogoSometimes gudume unakuwaga na akili.
Kweli kabisa tumekuwa wavivu ndio maana uwezo wa kuchanganua mambo ni mdogo sana kwa njia hii hatufikina hili ni tatizo kubwa sana. kweli watanzania wengi hawana utamaduni wa kusoma. hata threads za humu ndani hizi za maneno machache kabisa utakuta kuna mtu ambaye unategemea awe na umri wa kujielewa analalamika kuwa ni ndefu.... unajiuliza huyu ana akili kweli na ufahamu wa kutosha? hatupendi kusoma na ndo maana hatuyajui mengi.