DOKEZO Kapuya Sekondari ipunguze viboko hali ni mbaya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mwalimu piga kabisa hayo mayai yasije yakawa vinza, wazazi wa kisasa hamjui kulea watoto wenu yaani hawana maadili kabisa ngoja msaidiwe malezi na walimu, dent linapigwa linashitaki kwa mzazi? Zamani kulikuwa na mboko si kupapaswa kama miaka hii ila hutasikia upuuzi wa mwanafunzi akishtaki kwa mzazi mana akithubutu tu kinanuka tena kwa mzazi.
 
Kama alikushinda kumlea katika maadili, acha walimu wakusaidie. Mpaka inafikia hatua mtoto anachapwa fimbo 48 manaake n mtukutu ameshindikana. Acha kulea watoto ki-dady and mumy.
 
Uzuri kuna Choice..., If you can't Stand the Heat.., Stay out of the Kitchen
 
mwaka 2007 nilipigwa viboko 80,na sikufa,niambie sasa nasema uongo?,

staff nzima kila mmoja 8,walimu walikuwa 10,jambo hili lilitokea kwa kuonewa,kwa sababu tulikua form 1 basi ikawa hivyo ilivyokuwa,nilipofika form 3 mwalimu mmoja mjinga akataka kufanya vilevile alivyofanya nikiwa form 1,kilichotokea kinajulikana hadi leo shuleni pale,tokea hapo nimejiwekea kanuni sivumilii wapumbavu wanaokiuka maadili au taratibu za kazi zao haijalishi cheo au mamlaka yao;

nina hakika wewe ni mwalimu,unatetea kundi kubwa la waalimu wasiojitambua,huangalii uhalisia,ni mara ngapi tunaona hadi videos mwalimu akivunja kanuni kwa kupiga mwanafunzi ngumi au mateke na makofi?,mwalimu anapiga badala ya kuchapa,eti ili aogopwe shule nzima,ujinga mtupu;

ulimwengu wa leo unachapa mtu viboko 10 kweli?,kwa afya hizi?,naamini waalimu wengi hawana nidhamu ile wanayotaka wanafunzi wao wawe nayo;

nimesoma shule moja,mwalimu mmoja alikua hashiki fimbo,hatukani wala si mkali,ila hata wale wanafunzi wakorofi akiwa T.O.D. walikua wanafanya kila kitu bila shida wala usumbufu,iwe usafi au mambo mengine shuleni;

mimi ukimchapa mwanangu fimbo zikazidi 4 nalala na wewe mbele,sivumilii waalimu wapumbavu;
 
tuombe muongozo,idadi ya viboko ni vingapi kwa mujibu wa tamisemi au wizara,na daktari athibitishe majeraha ya hivyo viboko,then shitaki hao waalimu wasiofata kanuni;
 
Nilipoona jina la shule tu nilijua bila shaka kuwa ni ya hovyo
 
Hata kama ana kosa viboko zaid ya 40 ni hatari kwa maisha ya mwanadamu, labda kama waalimu wa siku hizi wanavuta bange
Ilitakiwa achomoke
Viboko ni vita
Mfundishe kununua pijo akiona mambo magumu
 
Ningekushauri ukaenda shuleni na kupeleka malalamiko rasmi kwa maandishi. Ikiwa kila mzazi atalalamika kivyake kimya kimya hakuna litakalofanyika.

Kwa kweli viboko vingi vilivyokithiri havimsaidii mwanafunzi kwa lolote lile. Halafu mwalimu anasahau kwamba yule mwanafunzi ni mdogo kimaumbile, yeye ananyanyua fimbo juu na kukupiga kwa nguvu zake zote, hakika hiyo siyo sawa.
 
Acha uzushi viboko 48 angetembea Wewe???

Mfundishie nyumbani mwanao
 
Mtoa mada,wachangiaji wote wanakuzomea malezi mabovu.

Kwa Nini apigwe yeye tu?
 
Form one hata mwezi hajamaliza shuleni bado hata sura yake mpya achapwe hivo amefanya kosa gani? Kakuambia amefanya nini???
 
Hakuna mtoto anayechapwa huku akihesabu viboko. Watoto wanasumbua walimu, huku maisha ya walimu magumu. Mtoto wako naye awe mzigo! Chapa kabisa mtoto muongomuongo.
acha kazi maisha magumu hujiongezi wewe tembeza 0
 
Wewe mzazi utakuwa miongoni kwa wale wanaoingiza wanaume na kunyanduana mbele ya watoto so huwezi kuwa na sauti na ndio maana unafungua uzi kwa kisa la mtoto wako kupigwa viboko tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…