Kama alikushinda kumlea katika maadili, acha walimu wakusaidie. Mpaka inafikia hatua mtoto anachapwa fimbo 48 manaake n mtukutu ameshindikana. Acha kulea watoto ki-dady and mumy.Wizara iangalie upya mtindo wa viboko mashuleni, waalimu wamekuwa wanapiga viboko mashuleni mpaka basi.
Kuna shule moja ipo Kaliua inaitwa Kapuya Sekondari, ina piga viboko balaaa. Mwanangu jana kaja kapigwa viboko 48 yuko hoi tena ni form one, anajengewa mazingira ya hofu ili aache shule kosa 1, viboko 10 na kuendelea hii aikubaliki.
DED, DAS, DSEO, DAO, REO Mr Kaponda wako kimya, ina maaana mpaka mtoto afe ndio zichukuliwe hatua? Mkuu wa shule yupo Alikemei hili mpaka mwanafunzi afie shule?
TAMISEMI NA WIZARA YA ELIMU INGILIENI HILI.
mwaka 2007 nilipigwa viboko 80,na sikufa,niambie sasa nasema uongo?,Wewe ni mzazi mjuaji,viboko 48 hata ng'ombe lazima akufe.Juzi nikuwa halmashauri nikakutana na mzazi mjuaji kama wewe ,yeye analalamikia kuwa walimu wamefukuza binti yake,afisa elimu kupiga simu kwa mkuu wa shule kambiwa mambo tofauti na wala hakuna taarifa za mtoto kufukuzwa shule.
Ninyi wazazi wapuuzi sana,hivi kwa karne hii kuna mwalimu anapenda kupiga piga vitoto vyenu eti!!?
tuombe muongozo,idadi ya viboko ni vingapi kwa mujibu wa tamisemi au wizara,na daktari athibitishe majeraha ya hivyo viboko,then shitaki hao waalimu wasiofata kanuni;Wizara iangalie upya mtindo wa viboko mashuleni, waalimu wamekuwa wanapiga viboko mashuleni mpaka basi.
Kuna shule moja ipo Kaliua inaitwa Kapuya Sekondari, ina piga viboko balaaa. Mwanangu jana kaja kapigwa viboko 48 yuko hoi tena ni form one, anajengewa mazingira ya hofu ili aache shule kosa 1, viboko 10 na kuendelea hii aikubaliki.
DED, DAS, DSEO, DAO, REO Mr Kaponda wako kimya, ina maaana mpaka mtoto afe ndio zichukuliwe hatua? Mkuu wa shule yupo Alikemei hili mpaka mwanafunzi afie shule?
TAMISEMI NA WIZARA YA ELIMU INGILIENI HILI.
Ilitakiwa achomokeHata kama ana kosa viboko zaid ya 40 ni hatari kwa maisha ya mwanadamu, labda kama waalimu wa siku hizi wanavuta bange
Ningekushauri ukaenda shuleni na kupeleka malalamiko rasmi kwa maandishi. Ikiwa kila mzazi atalalamika kivyake kimya kimya hakuna litakalofanyika.Wizara iangalie upya mtindo wa viboko mashuleni, waalimu wamekuwa wanapiga viboko mashuleni mpaka basi.
Kuna shule moja ipo Kaliua inaitwa Kapuya Sekondari, ina piga viboko balaaa. Mwanangu jana kaja kapigwa viboko 48 yuko hoi tena ni form one, anajengewa mazingira ya hofu ili aache shule kosa 1, viboko 10 na kuendelea hii aikubaliki.
DED, DAS, DSEO, DAO, REO Mr Kaponda wako kimya, ina maaana mpaka mtoto afe ndio zichukuliwe hatua? Mkuu wa shule yupo Alikemei hili mpaka mwanafunzi afie shule?
TAMISEMI NA WIZARA YA ELIMU INGILIENI HILI.
Acha uzushi viboko 48 angetembea Wewe???Wizara iangalie upya mtindo wa viboko mashuleni, waalimu wamekuwa wanapiga viboko mashuleni mpaka basi.
Kuna shule moja ipo Kaliua inaitwa Kapuya Sekondari, ina piga viboko balaaa. Mwanangu jana kaja kapigwa viboko 48 yuko hoi tena ni form one, anajengewa mazingira ya hofu ili aache shule kosa 1, viboko 10 na kuendelea hii aikubaliki.
DED, DAS, DSEO, DAO, REO Mr Kaponda wako kimya, ina maaana mpaka mtoto afe ndio zichukuliwe hatua? Mkuu wa shule yupo Alikemei hili mpaka mwanafunzi afie shule?
TAMISEMI NA WIZARA YA ELIMU INGILIENI HILI.
acha kazi maisha magumu hujiongezi wewe tembeza 0Hakuna mtoto anayechapwa huku akihesabu viboko. Watoto wanasumbua walimu, huku maisha ya walimu magumu. Mtoto wako naye awe mzigo! Chapa kabisa mtoto muongomuongo.
acha ujua weweMtoa mada,wachangiaji wote wanakuzomea malezi mabovu.
Kwa Nini apigwe yeye tu?
mwalimu biklikunyaForm one hata mwezi hajamaliza shuleni bado hata sura yake mpya achapwe hivo amefanya kosa gani? Kakuambia amefanya nini???
uje ulalkeJenga kishule chako tu