25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
kuna aina 2 za viboko aina ya kwanza kumtia mtoto adabu viboko 5 kumkomua zaidi ya 5 kwenda mbele mwalimu huyo akimpiga mwanangu na muwekea wakili anapambana naeTena aongozwe 48 nyie wazazi wa aina hii ndio mnatujengea taifa la kulia lia vijana walegevu wapenda maisha mteremko viboko tu umefungua uzi!