Karani wa sensa aporwa kishikwambi Arusha Ungalimited

Hiyo unga ltd wanaleana sana, sehemu zingine Arusha ujinga huu umekomeshwa

Huko unga limited kuna nyumba nyingi za kupanga za bei ndogo, mazingira kama hayo huchangia vijana wengi kuishi kwenye chumba kimoja na kupanga uhalifu.

Hao vijana wanaopora kwa kutumia boda boda hujulikana kwa jina maarufu la "tatu mzuka" Ni kundi hatari sana na linazidi kupata nguvu. Lisipodhibitiwa mapema litazidi kukua na likipata nguvu itakuwa vigumu kulidhibiti. Mchelea mwana kulia ...
 
Hahaha
 
ningeshangaa zoezi liishe hv hv bila mtu kuporwa....si kwa arsh hii
Itakuwa na nyingine wanafanya siri, ila kuna baadhi ya sehemu mgambo walimwagwa wengi tu. Huko ungalimtd, ngarenaro na sehemu nyingine za hatari
 
Barabara ya Unga ltd nimeishia tu NSK hosp.. huko uswazini kwa waporaji sipajui ๐Ÿ˜‚

Sakina sijawahi porwa., Njiro nikija ibiwa/ porwa ndio nitaona Arusha ni hovyo.. but for now Arusha is my second home ๐Ÿ˜
Sakina na Njiro sio rahisi kuporwa.
Tatizo unga ltd Kuna chochoro nyingi haswaa mtu akipiga hatua tano hamumpati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ