Karani wa sensa aporwa kishikwambi Arusha Ungalimited

Hizi products ni latest hivyo sina shaka zina mfumo wa kuzi track....hao/huyo Kibaka akamatwe atiwe adabu.
 
😀😀😀unga limited kuna siku nilipita mchana kuna nyumba zimechoka balaa na watu wamechoka balaa kwa pombe na madawa , wamejianika nje ya kila nyumba jichanganye uulize njia😀😀umeyakanyaga
Mmoja wa uliowaona ni mimi. Hapa mitaa ya Engosheraton
 
Ipoje hiyo mkuu maana kuna lisimu hapa ungalimi nimeuziwa elf 15 ila ni li smartphone likubwa jipyajipya halifanani na hiyo bei au ndo nimeshaingia kwenye 18 za chief hengaya
Mamaee ukidakwa umeumia
 
Nyie hii nchi watu hawapendi maendeleo
 
Mtu kachoka zake unaanza kumuuliza maswali ya kiwaki, au unaenda kwa wahuni kuwahesabu wameshalewa na wengine mateja unategemea nini[emoji3][emoji3]karani kama wa kike anaweza ata kubakwa
Mkuu rodilofa ulipata kazi, Kuna bar wanahitaji muuza vinywaji unakuwa kaunta
 
Mtu kachoka zake unaanza kumuuliza maswali ya kiwaki, au unaenda kwa wahuni kuwahesabu wameshalewa na wengine mateja unategemea nini😀😀karani kama wa kike anaweza ata kubakwa
Hiyo mibangi, ugoro, gongo na gundi wanapata wap nguvu You kubaka aiseee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…