kuwasaidia,Operators wa Vifaru nao wamesomeshwa namba wao na Ndugu,Jamaa,Watoto na Familia zao pia wameisoma.Jiulize nini kitatokea?Mwaka huu nahisi mpaka vifaru vitamwagwa barabarani
Hawatoahirisha Uchaguzi. Wanachoweza kufanya ni kile alichofanya Kenyatta hapo Kenya: Inapigwa model na calibrated equation ambapo kila kura moja ya Lissu, kwa Magufuli inamultiply let say by 1.7
Ni bora kuomba ushauri wa Maalim Seif. Mwaka 2015 aliwakalia kooni na ilibidi uharamia wa ajabu sana ufanyike ili kuokoa jahazi lao
Hivi mnaposema ccm ina mtaji wake wa wanachama huwa mnatumia akili kuongea au mnaimba tu kama kasuku? Huo mtaji ni maroboti wasio na utashi wa kuhama chama wanapoona dhuluma inafanyika. Au ukiwa ccm huwezi kuhama chama hata kama unadhulumiwa?
Hapa ndo mnapofeli chadomo yaani kura za Twitter kwnye ma parody ndo zinawaaminisha kuwa lissu anashinda , Fanyen tafit Field sio mitandaon !
Offcourse “atashinda”. How? Mabao ya aina yote yanaweza kuhusikaNdoto za mchana JPM hawezi kushindwa uchaguzi huu no matter what. Hizi kelele ni JF pekee.
Sasa kama unamtaji wa wapiga kura unapiga kampeni za nini, unatumia garama kubwa vyombo vya habari vyote umechukua si ungekaa kimya basiUkweli ni kwamba haya usemayo ni maneno ya MFA MAJI. CCM inao mtaji wake kwa wananchama wake na wapenzi wake siyo "kwenye mbinu chafu". Na haya mnayasema sasa hivi kwa sababu ya kuaminishwa vibaya na kwa UONGO na akina Amsterdam, mkidhani watawasaidi kwa njia yoyote ile kwenye kushindwa kwenu kwenye uchaguzi huu. Hao wanatumia mbinu ya mwaka 47 kutaka kuleta fujo katika nchi zetu. Tunawafahamu na tumewashtukia!
Na hawa ni memba wa JF.Ndoto za mchana JPM hawezi kushindwa uchaguzi huu no matter what. Hizi kelele ni JF pekee.
Ndoto za mchana JPM hawezi kushindwa uchaguzi huu no matter what. Hizi kelele ni JF pekee.
Mliogopa nini sasa kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa Nov 2019 mpaka mkalazimika kutumia mbinu chafu ya kuvuruga uchaguzi huo? Ni kipi ambacho kwa kuitumia Tume mmeengua wagombea wa Vyama vya Upinzani katika maeneo ambayo mnajua hamuungwi mkono na wananchi mfano Tunduma,nk?Mnachosahau ni kwamba CCM ni taasisi tofauti na vyama vyenu vya msimu, mwezi june kabla ya uchaguzi ndani ya chama ccm ilihakiki daftari lake la wanachama ili kupata wapiga kura ndani ya chama kwenye uchaguzi wa ndani. Kumbuka ccm tangu 2015 imefanya uchaguzi mkuu mara mbili; kwanza uchaguzi wa viongozi wa chama kwa kipindi cha miaka mitano na pili uchaguzi wa watia nia kuwapata wagombea kwenye ugombea wa ubunge na udiwani, two months ago such an election was conducted. Tegemea wanachama hai wa ccm watakwenda kuwapigia wagombea wao yaani kuwa na mafiga matatu.
Nimejaribu kukupa picha ya juu juu ili ufahamu kwamba Lissu ategemee kipigo cha karne cha kushindwa, ajue anashindana na taasisi imara.
Usinywe sumu kuna maisha baada ya uchaguzi, please
CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.
CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.
Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.
Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.
Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.
Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.
Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.
Hao wapenzi wako wapi, labda wanafunzi wa sekondari wanaokuja kuangalia showUkweli ni kwamba haya usemayo ni maneno ya MFA MAJI. CCM inao mtaji wake kwa wananchama wake na wapenzi wake siyo "kwenye mbinu chafu".
Na haya mnayasema sasa hivi kwa sababu ya kuaminishwa vibaya na kwa UONGO na akina Amsterdam, mkidhani watawasaidi kwa njia yoyote ile kwenye kushindwa kwenu kwenye uchaguzi huu. Hao wanatumia mbinu ya mwaka 47 kutaka kuleta fujo katika nchi zetu. Tunawafahamu na tumewashtukia!
Kwani NGO'S zimefunguliwa ili kufanya kazi hiyo?Hapa ndo mnapofeli chadomo yaani kura za Twitter kwnye ma parody ndo zinawaaminisha kuwa lissu anashinda , Fanyen tafit Field sio mitandaon !
CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.
CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.
Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.
Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.
Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.
Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.
Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.
Sawa mkuu ila ni sheria ipi inasema ukichagua upinzani na nikashinda sileti maendeleo na kwanini Hiyo NEC haijakemea matamshi hayo.Ni Kosa kubwa kuihusisha taasisi ya serikali na chama cha siasa. Mwandishi kwa namna yoyote ile utakuwa hujui Kama nchi hii inaongozwa kwa misingi ya katiba, sheria na taratibu mbalimbali zilizowekwa ulichotuletea hapa ni hekaya mnazozungumza huko vijiweni.
Huwezi ukaichanganya Taasisi huru kama NEC na chama. Wakati chama ni mdau tu wa Taasisi.
NEC hii iliyomsaidia Lissu kukamilisha Taarifa zake za maombi ya kuteuliwa kuwa Rais alipopeleka kwao.
Ndiyo NEC Hii iliyopokea rufaa zenu na kuzishughulikia kwa umakini na uangalifu mkubwa.
Ndio NEC hiyo hiyo itakayosimamia uchaguzi mkuu 2020 bila kijali chama.
Nakushauri kasome tena katiba ya JMT namna tume inavyoundwa na majukumu yake. Kisha uje upya na hili andiko lako nusu
Uchaguzi Mkuu upo kikatiba. CCM watatumia sheria ipi kuuahirisha?CCM ilianza mapema kutafuta kura, ilianza na mbinu ya kuzuia vyama na wagombea wao kujitangaza akabaki Magufuli peke yake, ikaja na mbinu ya kununua wapinzani waliyoshauriwa na Polepole na KM Bashiru, CCM ikautumia uchaguzi wa serikali za Mitaa kuwahujumu wapinzani.
CCM walijua wagombea threat kwao ni Lissu na Seif wala sio Membe, ndio maana waliposikia Lissu atarudi na atagombea wakaanza kumtisha kuwa akifika ataishia gerezani au atauawa na mahasimu wake, wakasema hata akiteuliwa na chama chake NEC itamuengua, mbinu zote hizo zimeshindwa.
Ili kuwapunguza nguvu wapinzani NEC/ZEC wakaja na mbinu ya kuwaengua baadhi ya wagombea sasa wameaanza kuwazuia wasifanye kampeni, najua hii nayo itashindwa kama ilivyoshindwa ya kuwazuia wapinzani kwa miaka 5.
Safari hii chochote wanachokianzisha kinaonekana kushindwa ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali kupitia vyombo vya serikali.
Mbinu ya mwisho ya CCM ya kizamani wanayoitegemea ni kuiba kura, lkn nawatahadharisha CCM na NEC, safari hii zoezi hilo litakuwa gumu sana, daftari liko wazi kwenye mitandao wanachoongeza kinaonekana wazi kwa wananchi.
Jumuiya za kimataifa zinafuatia kwa karibu sana uchaguzi huu, wasifanye kosa hilo linaweza kubadili kabisa historia ya Tanzania.
Nimeshiriki chaguzi zote tangu za kuchagua Nyumba na Trekita baadaye ule wa Picha na Kivuli, binafsi naona Mbinu ya mwisho kabisa ambayo angalau itakuwa salama kwa CCM ni kuahirisha uchaguzi na kujipanga upya.