endelea kudhani niko mitandaoniEndelea kuwa mwanaharakati nyuma keyboard kama itakupa mabadiliko. Hujaona hapo Kenya watu wamewavimbia polisi mitaani na rito akasarenda?
Mabeberu ni wakina nan?Mimi sijui kwanini nikiona hiki chama nawaona mabeberu...Mnisamehe ndugu zangu wapendwa!
ImperialistsMabeberu ni wakina nan?
Chadema ni Mpango wa Mungu MwenyewePia John Mnyika na Ezekiel Wenje walikuwa mkoani Geita kuuwasha moto . Ezekiel Wenje alisema " Suala la kuiondoa ccm madarakani ni suala la dharula ( emergency...
Tulishawapuuza kitambo sana kwa sababu tulijua watadhalilika muda si mrefuWaliokuwa wanasubiri Lissu na Mbowe watifuane kisiasa wataishia kuumwa na mbu kwenye ngoko zao huku kunakucha.
Mbona kama hao wenzao ndio wanatabia zinazoshabihiana zaidi na huo ubeberu ulio utaja?Imperialists
Pareso ndiye naniNamuona mh Pareso hapo jukwaani 😂
Lissu akiwa na Mbowe havai magwanda,Lissu kapania sana na anaaminiwa na wanachadema walio wengiMakubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!
Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.
Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu
Zaidi jionee kidogo.
Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu
View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240
Kwa sababu huna akili.Mimi sijui kwanini nikiona hiki chama nawaona mabeberu...Mnisamehe ndugu zangu wapendwa!
Porojo za kijingaLissu akiwa na Mbowe havai magwanda,Lissu kapania sana na anaaminiwa na wanachadema walio wengi
enzi hizo zimekwishaHow i wish walau upinzani ushike nchi japo Mara moja Ila sasa chama cha kijani kimenogewa hakitoi Pasi kiko tayari hata kupata goli kwa kutumia mkono ili waendeleee kuwepo
Hao mabeberu, Wana ndevu ndefu kama za mbuzi dume?Mimi sijui kwanini nikiona hiki chama nawaona mabeberu...Mnisamehe ndugu zangu wapendwa!
Unadhan wataruhusu?? Utazuiaje wizi wa kura?? Hakuna asiyeichoka kijani Ila sasa kuitoa ndo shida. Kama lowasa hakupewa hiyo nafasi nani wa kuipata hiyo nafasi?enzi hizo zimekwisha
Mbunge wa Viti Maalum Chadema 😂Pareso ndiye nani
Sera za maandamano zimeishia wapi?Makubaliano ya kuachia Jimbo yamefikiwa leo baada ya Chadema kuvurumisha mikutano ya hadhara isiyo na idadi (Tunatafuta calculator isaidie kujumlisha), ambayo wananchi wameielewa kabisa, Hakika kisicho ridhiki hakiliki!
Lissu ametoa Elimu ya Haki kwa Raia na kwamba hawapaswi kutishwa na yeyote , huku Mbowe akiwajaza wananchi Ujasiri wa kupinga ccm kwa sababu ndio Chanzo kikuu cha dhiki, Umasikini na Maisha Magumu, kitu ambacho Vitabu vya Mungu vinatafsiri kama dhambi kuu iliyojaa laana.
Ikumbukwe kwamba Hakuna Masikini atakayeuona Ufalme wa Mbingu
Zaidi jionee kidogo.
Pia Soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Siwezi gombana na Lema, mama yake atanipigia Simu
View attachment 3023234View attachment 3023235View attachment 3023236View attachment 3023239View attachment 3023240
hazijaishaSera za maandamano zimeishia wapi?