Uchaguzi 2020 Karatu, Manyara: Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu (Sept 29, 2020)

Uchaguzi 2020 Karatu, Manyara: Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu (Sept 29, 2020)

Hizo picha za Slaa na Lowassa ulizoweka unakosea comred. Hiyo ya Slaa kwanza ni mkutano wa kawaida akiwa Mbeya mjini kwa operation ya M4C. Hiyo ya Lowassa ni kampeni za urais mwaka 2015 Mbeya mjini. In short Mbeya mjini haijawahi kubadilika hata alipoenda Lissu.

Ila tazama sasa Lissu kila jimbo akipita ni balaa. Tukubali tu kuwa Magufuli kujiweka mbali na mambo ya wananchi ya kimaisha kunamgharimu na hata yeye anajua hilo. Tuache siasa za kujifariji!
Unataka tuweke picha za Slaa za kila mkoa wakati anapiga kampeni 2010?

Lisu ni kidagaa tu mbele ya hiyo miamba 2 Lowasa na Slaa.
Subiri oktoba utapata jibu
 
Jaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom

Maboya wenzako walikuwa wanasema mwanzo hamna nyomi, ila nyomi sasa ni dhahiri, wamebadili kauli wanasema nyomi kweli ipo, ila hawajajiandikisha kupiga kura! Ww ndio bado hujaupdate propaganda ya kuwa hamna nyomi.
 
Unataka tuweke picha za Slaa za kila mkoa wakati anapiga kampeni 2010?

Lisu ni kidagaa tu mbele ya hiyo miamba 2 Lowasa na Slaa.
Subiri oktoba utapata jibu

Acha za 2010, changanya na za 2015, ila chaguzi zote hizo propaganda mfu hazikuwa zinaonyesha upinzani umekufa. Wakati huo hakukuwa na mgombea urais mungu mtu kama sasa, na haikuwa marufuku kufanya siasa. Wagombea wote wa ccm wakati huo hawakuwa wamenunua ndege, kujenga reli au bwawa. Safari hii mgombea wa sasa wa ccm, ukiacha kutumia kundi la watu wasiojulikana na kufanya siasa zote chafu dhidi ya upinzani, lakini anachukuliwa kama mungu mtu na wapambe wake. Na amesadikishwa kuwa kaua upinzani kisa ni mzalendo. Mbona kinachoonekana hapo sio tulichoaminishwa kwenye zile propaganda mfu?
 
Bodyguard mnao mnao mlinda lisu muwe makini sana kwenye kipindi hiki cha lala salama, kuna kila dalili za watu wabaya kutaka kumuhujumu lisu

Lkn najua kitengo cha usalama chadema kipo vizuri na wale vijana ambao mmewapandikiza huko ccm wanafanya kazi nzuri ya kutegua mitego yae

Waendelee tu kuwa wasiri mpaka mission itakapokwisha na lisu kuwa rais wa jmt.
 
Acha za 2010, changanya na za 2015, ila chaguzi zote hizo propaganda mfu hazikuwa zinaonyesha upinzani umekufa. Wakati huo hakukuwa na mgombea urais mungu mtu kama sasa, na haikuwa marufuku kufanya siasa. Wagombea wote wa ccm wakati huo hawakuwa wamenunua ndege, kujenga reli au bwawa. Safari hii mgombea wa sasa wa ccm, ukiacha kutumia kundi la watu wasiojulikana na kufanya siasa zote chafu dhidi ya upinzani, lakini anachukuliwa kama mungu mtu na wapambe wake. Na amesadikishwa kuwa kaua upinzani kisa ni mzalendo. Mbona kinachoonekana hapo sio tulichoaminishwa kwenye zile propaganda mfu?
Kwahiyo hapa Lisu amewazidi wote na atashinda?
 
Karatu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu

Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481

View attachment 1584489

View attachment 1584502
IMG_20200929_150718.jpg
IMG_20200929_150718.jpgIMG_20200929_150718.jpg
IMG_20200929_150718.jpg

Jane my love [emoji7]
Thank you sir!
😅
👊 ✌✌✌💥
Sasa kama mayanga anachukua tenda zote wao watapataje?
..yapo maeneo wananchi wanapigia vyama tofauti kura za uraisi, ubunge, na udiwani.

..hii habari ya kusema chadema na act wanawachanganya wananchi ni uzushi tu.
IMG_20200929_150718.jpg
jiwe Tulia dawa iingie lissu anakudunga sindano za farasi
 
mwisho wa siku kura ndo zitaongea iwe ulikua na nyomia au hukua nalo mtashangaa pale rungwe atakapo shika hatam
Jamaa wanasema mwaka huu hawakubali kuibiwa tena,wamejipanga kulinda kura zao,hali kadhalika cc m nao wamejipanga kuiba kura,so ngoma droo mwaka huu.
 
Back
Top Bottom