Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Kama hujaysona shauri yako! Leo mwenyekiti wako kapigishwa magoti unacheza nini!!Weka sasa mafuriko kama hayo ya Slaa alikopita lisu akihutubia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujaysona shauri yako! Leo mwenyekiti wako kapigishwa magoti unacheza nini!!Weka sasa mafuriko kama hayo ya Slaa alikopita lisu akihutubia
Unataka tuweke picha za Slaa za kila mkoa wakati anapiga kampeni 2010?Hizo picha za Slaa na Lowassa ulizoweka unakosea comred. Hiyo ya Slaa kwanza ni mkutano wa kawaida akiwa Mbeya mjini kwa operation ya M4C. Hiyo ya Lowassa ni kampeni za urais mwaka 2015 Mbeya mjini. In short Mbeya mjini haijawahi kubadilika hata alipoenda Lissu.
Ila tazama sasa Lissu kila jimbo akipita ni balaa. Tukubali tu kuwa Magufuli kujiweka mbali na mambo ya wananchi ya kimaisha kunamgharimu na hata yeye anajua hilo. Tuache siasa za kujifariji!
Kupiga magoti ni ishara ya Lisu kukubalika kuliko JPM?Kama hujaysona shauri yako! Leo mwenyekiti wako kapigishwa magoti unacheza nini!!
Jaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom
Hahaha sasa lile fisadi lenu Lowassa ndio lilikuwa linadekiwa barabara sasa imehamia kwa fisadi Magu du
Unataka tuweke picha za Slaa za kila mkoa wakati anapiga kampeni 2010?
Lisu ni kidagaa tu mbele ya hiyo miamba 2 Lowasa na Slaa.
Subiri oktoba utapata jibu
Lissu anampigisha jiwe magoti na bado atatembelea mpaka masababuriKupiga magoti ni ishara ya Lisu kukubalika kuliko JPM?
Mwaka huu mtapiga magoti sana, mlidhani upinzanj umekufa, mwisho mtalala na vituJaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom
Bodyguard mnao mnao mlinda lisu muwe makini sana kwenye kipindi hiki cha lala salama, kuna kila dalili za watu wabaya kutaka kumuhujumu lisuHii imeakaaje wadauView attachment 1584701
Kwa nini waliwakamata wale vijana waliokuwa wanajumlisha matokeo,pia ofisi za haki za binadamu kwa kuvamiwa na kunyang,anywa laptop zao.Kwa takwimu zipi alimchapa Magu?
Kwahiyo hapa Lisu amewazidi wote na atashinda?Acha za 2010, changanya na za 2015, ila chaguzi zote hizo propaganda mfu hazikuwa zinaonyesha upinzani umekufa. Wakati huo hakukuwa na mgombea urais mungu mtu kama sasa, na haikuwa marufuku kufanya siasa. Wagombea wote wa ccm wakati huo hawakuwa wamenunua ndege, kujenga reli au bwawa. Safari hii mgombea wa sasa wa ccm, ukiacha kutumia kundi la watu wasiojulikana na kufanya siasa zote chafu dhidi ya upinzani, lakini anachukuliwa kama mungu mtu na wapambe wake. Na amesadikishwa kuwa kaua upinzani kisa ni mzalendo. Mbona kinachoonekana hapo sio tulichoaminishwa kwenye zile propaganda mfu?
Karatu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu
Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481
View attachment 1584489
View attachment 1584502


Jane my love [emoji7]
Thank you sir!
😅
👊 ✌✌✌💥
Sasa kama mayanga anachukua tenda zote wao watapataje?
..yapo maeneo wananchi wanapigia vyama tofauti kura za uraisi, ubunge, na udiwani.
..hii habari ya kusema chadema na act wanawachanganya wananchi ni uzushi tu.
Yani hapo hapana wauza mahindi walio tolewa chamwinoYupo njiani anaelekea Hai. Mitego ya jana tumeipangua kwa ustadi mkubwa.
Kwahiyo hapa Lisu amewazidi wote na atashinda?
Dr Slaa amefundishwa tabia mbaya uzeeni na mushumbusi[emoji1]Huko ni kwa Dr Slaa
Dr Slaa popote ulipo, watu wako wa Karatu wamezungumza!
Wanataka mabadiriko, Je utawaunga mkono au utatetea tumbo lako?
Kama magu alivo wauzia wamachinga vitambulishoLema anataka kuuza jimbo
Duh mzee unaweweseka! Kaombe ruhusa tu kwa supervisor wako hapo koridoni Lumumba ukalale.Kwahiyo hapa Lisu amewazidi wote na atashinda?
Jamaa wanasema mwaka huu hawakubali kuibiwa tena,wamejipanga kulinda kura zao,hali kadhalika cc m nao wamejipanga kuiba kura,so ngoma droo mwaka huu.mwisho wa siku kura ndo zitaongea iwe ulikua na nyomia au hukua nalo mtashangaa pale rungwe atakapo shika hatam
Karatu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu
Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481
View attachment 1584489
View attachment 1584502