Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Jaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom
Imekaa kimbea na kizushi mdau.Hii imeakaaje wadauView attachment 1584701
Ila ninawatahadharisha tu, kama mna mpango huo muache!!!!!Imekaa kimbea na kizushi mdau.
Baba Bashite anachanganyikiwa snWatawala, kaeni mkijua wananchi mmechoka. Mnayoyafanya ni kuwatia wananchi hasira na kumpandisha Lissu. Polisi, Tiss, Tume ya Uchaguzi, na Msajili. Rudini kwa wananchi kabla ya muda kuisha. Mtajuta sana kwa madhambi yenu maana mwaka huu hakuna kuiba kura
Siku ya kufa kwa nyani kila mtu unateleza. CCM yangu naichinja rasmi kutokana na manyanyaso niliyoyapata chini ya CCM, Polisi na Magufuli...
Hiyo yomi ni ya 1925...lol
Maigizo ya ndege, flyover, uchumi wa kati yote chinina hapo hakuna alie letwa na Lori wala wana funzi walio valishwa mavaz ya kijan ni watu na mahaba yao dhidi ya TL
Iko Halmashauri ganiBut Karatu ni Arusha mkuu
Halmashauri ya Wilaya ya Karatu na Mkoa wa Arusha mkuuIko Halmashauri gani
Asante naamini utakua umemwelewa sasaHalmashauri ya Wilaya ya Karatu na Mkoa wa Arusha mkuu
Ongea taratibu wasikusikie mkuu.Huyu Lissuuuuu ni hatariiiiiii
Uki zoom wewe inatosha ili ujifariji!Jaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom