OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mkuu humu kuna mipunguani ambayo huwezi kuamini inatumia nini kufikiriHuna akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu humu kuna mipunguani ambayo huwezi kuamini inatumia nini kufikiriHuna akili
umekula magimbi umevimbiwa
Ndo namshangaa uyo bwana kuwaona walain 😅😅Petro hawajafungwa hata goli moja kwenye hiyo group stage, Wana ukuta wa Berlin.
Ndo namshangaa uyo bwana kuwaona walain 😅😅
Sio kumaliza chuo tu, ni senior lecturer wa chuo kikubwa tu hapa nchiniMtu kama huyo unakutana kamaliza chuo
Dini zote zimekataza ushirikina/shiriki. Hivi nyie ni dini ganiDini zote pamoja na dini za asili zimekataza kumzushia mtu,hivi wewe ni dini Gani???
Halafu ni kwanini mmemuuzia Mo timu yetuMkuu humu kuna mipunguani ambayo huwezi kuamini inatumia nini kufikiri
MO atamtuma Miquison ayajenge na ndugu zake hao. Hela ipo.Kwa iyo hao petroo ndo unawachukulia poa mkuu
Hivi ni Jumatano au Jumanne?We Zunguka Subiri Jumatano Hapo Utaona Quarter Finals
Young Africans Vs Asec Mimosas
Simba Sc Vs Mamelod
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sanaKati ya viongozi walioiongoza FAT na leo TFF ni Rais huyu wa sasa ambaye amekuwa akiipambania sana Simba(wana Simba tuna kila sababu ya kumshukuru huyu mwamba).
Za ndani kabisa zinaonyesha kuwa mwamba anapambana sana kuiepusha Simba isikutane na Al Ahly au Mamelod, anaipigania timu yetu ipangwe kukutana na Petro de Luanda kwenye robo fainali.
Rai yangu kwa karia ni kwamba itakuwa ni busara kubwa iwapo atazipambania timu zetu zote mbili, angalau YANGA naye akutane na Asec badala ya Mamelod.
Mikakati nje ya uwanja huwa inatubeba sana maana huku KARIA na pembeni MO Mmiliki wa kilabu yetu aliyoinunua ambaye anapoamua kuhonga hakika lazima uingie tu.
Hata ushindi wa jana ni mikakati yake kwa wale makirikiri na lengo lilikuwa kuyazima majungu ya wanasimba kuijadili ile kauli yake ya kuinunu.
Wana Simba wenzangu kuwapata viongozi kama hawa wanaoipambaniitachukuwa muda sana.
Ndo maana tuna graduates failuresSio kumaliza chuo tu, ni senior lecturer wa chuo kikubwa tu hapa nchini
Umesema kuwa miaka 10 iliyopita Jf haikuwa na mambo ya ajabu kiasi hiki . Kimsingi wewe brain yako ndio hujai update ndio maana inakosa baadhi ya App muhimu za kuchakata mambo. Imagine 10yrs back ni 2014, hebu jaribu ku scan kisha download new versions kabla haijasema " No longer in use ".Yaani jamiiforum ya siku hizi imevamiwa aisee... wajinga wajinga ni wengi..
Miaka 10 nyuma nilikuwa nikiingia sikosi madini ya maana.Ina maana uelewa wangu umekua sana au ni wajinga wamekuwa wengi wanaoanzisha uzi.
lakini siku hizi wajinga wajinga wengi.
SASA MTU KAMA HUYU KWELI NAYE ANA HAKI YA KUANZISHA UZI..
Rai yangu kuwe na interview kabla ya kujiunga jamiiforums wengine wabaki kama wageni tu (guests).
Wewe je, ni qualified auNdo maana tuna graduates failures
Sasa kama akili ya senior lecturer ni ugoro hivi anafundisha niniWewe je, ni qualified au
Hakika mshirikina utamjua tu. Hakika utakufa nao tu Pole sanaHakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Nyie ndio mnaoidharaulisha timu yetu ya Simba . Low IQSasa kama akili ya senior lecturer ni ugoro hivi anafundisha nini
Unachokiongea kwanza no evidence! Bla bla za kwenye kahawa, lecturer kuleta story za kwenye kahawa ni aibu sanaNyie ndio mnaoidharaulisha timu yetu ya Simba . Low IQ