Kariakoo, Dar: Kumetokea ujambazi wa kutisha mtaa wa Lindi na Livingstone muda huu, Polisi mpo wapi?

Kariakoo, Dar: Kumetokea ujambazi wa kutisha mtaa wa Lindi na Livingstone muda huu, Polisi mpo wapi?

Dar utauawa mbele za watu hakuna atakayekusaidia.
Nilikuta ajali mbaya watu wamegongwa na gari na kurushwa mtaroni na wanavuja damu kama kuku aliyechinjwa na wakilia kuomba msaada lkn hakuna aliyesogea zaidi wanapiga picha tu na midume kibao imezunguka.

Ndipo nilipojitosa kuwatoa mtaroni na kuwafunga majeraha yao huku wengine wakishangaa tu hadi nilipowafokea sana ...akajitokeza jamaa mmoja akanisaidia kuwanyanyua.

Wakazi wa Dar ni wa ajabu sana
Hii tabia ya kupiga picha kwenye matukio ya ajari, na kuwacha majeruhi bira msaada haiko Dar TU, umesha kua kama utamaduni kwa Nchi hii.

Hata Huku mikoani wanakua bize kupiga picha uokoaji wanaachiwa Polisi na wenyewe watafika kwa kuchelewa.
 
Unatembeaje na hela nyingi za mauzo ya siku kwenye begi katika huu ulimwengu wa Sayansi na teknolojia?

Pole kwake ila atakua kajifunza jambo.
Ndio hivyo wafanyabiashara wa kariakoo, kufunga hesabu na milioni 200 ni kawaida kwao, tatizo wanaule ukale wa kutembea na maburungutu mengi zama hizi.
 
Dar utauawa mbele za watu hakuna atakayekusaidia.
Nilikuta ajali mbaya watu wamegongwa na gari na kurushwa mtaroni na wanavuja damu kama kuku aliyechinjwa na wakilia kuomba msaada lkn hakuna aliyesogea zaidi wanapiga picha tu na midume kibao imezunguka.

Ndipo nilipojitosa kuwatoa mtaroni na kuwafunga majeraha yao huku wengine wakishangaa tu hadi nilipowafokea sana ...akajitokeza jamaa mmoja akanisaidia kuwanyanyua.

Wakazi wa Dar ni wa ajabu sana
Tatizo ni Ubinafsi.
 
Back
Top Bottom