Huo sio ujambazi. Tofautisha ukwapuaji na ujambazi.Duuh awamu hii majambazi wanajimwambafai sana full kutawala
Changamoto ninayo Iona hapo mwenye pesa amehatarisha usalama wake na WA pesa zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo sio ujambazi. Tofautisha ukwapuaji na ujambazi.Duuh awamu hii majambazi wanajimwambafai sana full kutawala
Hao hao utakuta ni wale wale panya road wanawachekeaYaani raia mmeshindwa zuia uhalifu, halafu unauliza mahali polisi walipo!!
Unajua kuwa polisi mmoja anahudumia idadi ya watu wangapi?
Hii tabia ya kupiga picha kwenye matukio ya ajari, na kuwacha majeruhi bira msaada haiko Dar TU, umesha kua kama utamaduni kwa Nchi hii.Dar utauawa mbele za watu hakuna atakayekusaidia.
Nilikuta ajali mbaya watu wamegongwa na gari na kurushwa mtaroni na wanavuja damu kama kuku aliyechinjwa na wakilia kuomba msaada lkn hakuna aliyesogea zaidi wanapiga picha tu na midume kibao imezunguka.
Ndipo nilipojitosa kuwatoa mtaroni na kuwafunga majeraha yao huku wengine wakishangaa tu hadi nilipowafokea sana ...akajitokeza jamaa mmoja akanisaidia kuwanyanyua.
Wakazi wa Dar ni wa ajabu sana
Anahudumia chadema woteYaani raia mmeshindwa zuia uhalifu, halafu unauliza mahali polisi walipo!!
Unajua kuwa polisi mmoja anahudumia idadi ya watu wangapi?
Situation ukitokea Kama hivyo hauelewi nini?Apo yameshakua shingoni muhindi kujiami akakumbatia begi,inamaana alishajua hali Ni mbayaWalikata vipi muhindi mikono kwan muhinndi begi si liko mgomgoni au alijifungia nalo
Miaka Kama mitano nyuma, jamaa walikwapua begi tatu za ela, halafu begi moja wakamwaga hewani raia wazigombanie, na wazimbe njia polisi wakitokea wakose pakupita ,mitaa hiyo hiyo.Kariakoo ilivokuwa na watu wengi vile halafu wakawa wanatazama tu mhindi anavyoibiwa
Wanawezaje kuzuia majambazi kama panya road waliwashinda?.Yaani raia mmeshindwa zuia uhalifu, halafu unauliza mahali polisi walipo!!
Unajua kuwa polisi mmoja anahudumia idadi ya watu wangapi?
Ndio hivyo wafanyabiashara wa kariakoo, kufunga hesabu na milioni 200 ni kawaida kwao, tatizo wanaule ukale wa kutembea na maburungutu mengi zama hizi.Unatembeaje na hela nyingi za mauzo ya siku kwenye begi katika huu ulimwengu wa Sayansi na teknolojia?
Pole kwake ila atakua kajifunza jambo.
Tatizo ni Ubinafsi.Dar utauawa mbele za watu hakuna atakayekusaidia.
Nilikuta ajali mbaya watu wamegongwa na gari na kurushwa mtaroni na wanavuja damu kama kuku aliyechinjwa na wakilia kuomba msaada lkn hakuna aliyesogea zaidi wanapiga picha tu na midume kibao imezunguka.
Ndipo nilipojitosa kuwatoa mtaroni na kuwafunga majeraha yao huku wengine wakishangaa tu hadi nilipowafokea sana ...akajitokeza jamaa mmoja akanisaidia kuwanyanyua.
Wakazi wa Dar ni wa ajabu sana
Almost 40kYaani raia mmeshindwa zuia uhalifu, halafu unauliza mahali polisi walipo!!
Unajua kuwa polisi mmoja anahudumia idadi ya watu wangapi?