Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Kama wanabomba mzee upuleke tu tumbo lako!?
Mitaa anayoitaja ina population kubwa mno ya watu, wapo ambao wana magari wangeweza hata kuwapiga 'pin' hao jamaa kwa kufunga mtaa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wanabomba mzee upuleke tu tumbo lako!?
Kama wanabunduki wanapurua,hawataki kwenda ngome mzee ni kheri wakujeruhiMitaa anayoitaja ina population kubwa mno ya watu, wapo ambao wana magari wangeweza hata kuwapiga 'pin' hao jamaa kwa kufunga mtaa...
Wanaume wa Dar anawazisha sana, sijui wenzetu wanakojoa kwa kuchuchumaa....inasikitisha sana!!wameanza kuondoka watu ndio wanajidai kuwakimbiza, wakatikomea kupitia pale kona ya Azam, livingstone pale.
Duuh awamu hii majambazi wanajimwambafai sana full kutawala
Hao ni waporaji tu majambazi wenyewe wanatumia silaha za kivita. Ila polisi wakiwalaza chini mnakuja kuwalaumuKuna bodaboda mbili zilipita speed kwenda uelekeo wa mtaa wa Lindi na Livingstone, kumbe bwana walikuwa wanamkimbiza mhindi aliyekuwa kwenye bodaboda nyingine ya mbele akiwa na begi mgongoni, inasemekena ni mauzo ya dukani, basi nikasikia puuu, kugeuka nikaona ile bodaboda ya mhindi ipo chini, na zile bodaboda zilizomgonga mmoja wao akashuka na kuanza kukata mikono ya begi kwa kisu, mhindi akang’ang’ani begi, maumivu ya kisu yalipozidi mhindi akaachia begi, jamaa akapanda kwenye pikipiki wakaamsha, halafu eti watu wanaangalia tu, mi nilitaka kwenda ila nikaona wale jamaa ili mibisu yao sio ya kitoto, wameanza kuondoka watu ndio wanajidai kuwakimbiza, wakatikomea kupitia pale kona ya Azam, livingstone pale.
Hadi sasa hali ni tete, polisi wawahi hapo kuchukua maelelezo.
========================
Halafu Nimekumbuka, hilo tukio limetokea mbele ya CCTV camera za duka la ‘New Tahery stores’ na ‘D&S Lab equipements’ mtaa wa Lindi, Polisi wakazitizame zile footage wanaweza kuwaona wale majambazi wakati wanakimbizana’ , wacheki footage time ya kuanzia muda nimepost hii thread kurudi nyuma, ni pembeni ya ile nguzo ndio walipomgalagaza mhindi, mbele ya duka la ‘New tahery stores’.
Kaona hali ipo shwari km kipindi cha JPM, Ila amekosea sana na jamaa walishakua wanamsomea RocketMuhindi anatembea na mauzo ya Siku kwenye bodaboda,ni mazoea au nini?
Halafu watu wamekuangusha bado unan'gania begi tena, ukifa je?.Tunahitaji sana elimu ya kujihami.
Ccm jeKama hela kaibiwa muhindi bora tu irudi kwenye mzunguko wa watanzania hao jamaa ni wanyonyaji sana.
#MaendeleoHayanaChama
Be careful mkuu.Duuh awamu hii majambazi wanajimwambafai sana full kutawala
Ukikutwa na mtu wako wa karibu ndo utajua kuwa mengine unakuwa protected tu na Muumba!!Ulikuwa na gloves?
Hivi sababu ni udogo wa mji,!Kuna bodaboda mbili zilipita speed kwenda uelekeo wa mtaa wa Lindi na Livingstone, kumbe bwana walikuwa wanamkimbiza mhindi aliyekuwa kwenye bodaboda nyingine ya mbele akiwa na begi mgongoni, inasemekena ni mauzo ya dukani, basi nikasikia puuu, kugeuka nikaona ile bodaboda ya mhindi ipo chini, na zile bodaboda zilizomgonga mmoja wao akashuka na kuanza kukata mikono ya begi kwa kisu, mhindi akang’ang’ani begi, maumivu ya kisu yalipozidi mhindi akaachia begi, jamaa akapanda kwenye pikipiki wakaamsha, halafu eti watu wanaangalia tu, mi nilitaka kwenda ila nikaona wale jamaa ili mibisu yao sio ya kitoto, wameanza kuondoka watu ndio wanajidai kuwakimbiza, wakatikomea kupitia pale kona ya Azam, livingstone pale.
Hadi sasa hali ni tete, polisi wawahi hapo kuchukua maelelezo.
========================
Halafu Nimekumbuka, hilo tukio limetokea mbele ya CCTV camera za duka la ‘New Tahery stores’ na ‘D&S Lab equipements’ mtaa wa Lindi, Polisi wakazitizame zile footage wanaweza kuwaona wale majambazi wakati wanakimbizana’ , wacheki footage time ya kuanzia muda nimepost hii thread kurudi nyuma, ni pembeni ya ile nguzo ndio walipomgalagaza mhindi, mbele ya duka la ‘New tahery stores’.
Hivi kwa mfano mtu wa jamii tofauti na yako akikuita wewe bongo lala utajisikiaje, manake ki historia inasomeka wa Africa kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri lakini si kweli. Vivyo hivyo kwa huyo mhindi unayesherekea anguko lake kwa kumhukumu kwa historia ya jamii yake.Kama hela kaibiwa muhindi bora tu irudi kwenye mzunguko wa watanzania hao jamaa ni wanyonyaji sana.
#MaendeleoHayanaChama
Ni sahihi kabisa mkuu.Ukikutwa na mtu wako wa karibu ndo utajua kuwa mengine unakuwa protected tu na Muumba!!
Polisi analipwa mshahara kwa kazi yake, wachukiwe, wasichukiwe Ni wajibu wao kutimiza majukumuSi huwa mnasema humu jf mnawachukia polisi?
Vipi leo tena mnahitaji msaada wao?kwa nini hamkuwakabili hao majambazi nyie wenyewe?
Ndio hivyo sasa,wamewaachia na nyie muwasaidie majukumu yao.Polisi analipwa mshahara kwa kazi yake, wachukiwe, wasichukiwe Ni wajibu wao kutimiza majukumu