Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Nimekuelewa...Daah, hata sielewi yani, nilihisi kama movie hivi wanaigiza sijui, hata sielewi yani
Itakuwa ulikuwa umepigwa na surat "bumbuwazi"....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa...Daah, hata sielewi yani, nilihisi kama movie hivi wanaigiza sijui, hata sielewi yani
Nakumbuka hiiMiaka Kama mitano nyuma ,jamaa walikwapua begi tatu za ela ,alafu begi moja wakamwaga hewani raia wazigombanie,na wazimbe njia polisi wakitokea wakose pakupita ,mitaa hiyo hiyo
Kila mmoja atamkumbuka jiwe Kwa style yake , sa hv likikukuta unakufa nalo mwenyeweKuna bodaboda mbili zilipita speed kwenda uelekeo wa mtaa wa Lindi na Livingstone, kumbe bwana walikuwa wanamkimbiza mhindi aliyekuwa kwenye bodaboda nyingine ya mbele akiwa na begi mgongoni, inasemekena ni mauzo ya dukani, basi nikasikia puuu, kugeuka nikaona ile bodaboda ya mhindi ipo chini, na zile bodaboda zilizomgonga mmoja wao akashuka na kuanza kukata mikono ya begi kwa kisu, mhindi akang’ang’ani begi, maumivu ya kisu yalipozidi mhindi akaachia begi, jamaa akapanda kwenye pikipiki wakaamsha, halafu eti watu wanaangalia tu, mi nilitaka kwenda ila nikaona wale jamaa ili mibisu yao sio ya kitoto, wameanza kuondoka watu ndio wanajidai kuwakimbiza, wakatikomea kupitia pale kona ya Azam, livingstone pale.
Hadi sasa hali ni tete, polisi wawahi hapo kuchukua maelelezo.
========================
Halafu Nimekumbuka, hilo tukio limetokea mbele ya CCTV camera za duka la ‘New Tahery stores’ na ‘D&S Lab equipements’ mtaa wa Lindi, Polisi wakazitizame zile footage wanaweza kuwaona wale majambazi wakati wanakimbizana’ , wacheki footage time ya kuanzia muda nimepost hii thread kurudi nyuma, ni pembeni ya ile nguzo ndio walipomgalagaza mhindi, mbele ya duka la ‘New tahery stores’.
Unatumia wifi ya Chama gani?wazaz kuwa watz km wengine hainifany nisiseme udhaifu wa raia wa hii nchi hii , naunga mkoj hoja kuwa watz hamna tofaut na wapuuz wengine kwny ulimwng huu
Haukuokota ata elfu kumi tano?maana ile pesa ilikua mingi hatariNakumbuka hii
Kwa akili hizi utakufa masikini..huna utakalopata.Kama hela kaibiwa muhindi bora tu irudi kwenye mzunguko wa watanzania hao jamaa ni wanyonyaji sana.
#MaendeleoHayanaChama
Hicho kisa kiliniumiza moyo sana, baada ya kutoa huduma ya kwanza niliondoka hadi walipo traffic na kuwajulisha lkn walifika nao kwa kuchelewa kwa taarifa nilizozipata baada ya kufuatilia kesho yake.Mungu akubariki sana mkuu
Ndugu Mrundi, usitutukane WatanzaniaHata katiba mpya wanamsubiri mbowe alete ,watanzania ni wajinga kama bata
Walifariki?Hicho kisa kiliniumiza moyo sana, baada ya kutoa huduma ya kwanza niliondoka hadi walipo traffic na kuwajulisha lkn walifika nao kwa kuchelewa kwa taarifa nilizozipata baada ya kufuatilia kesho yake.
Siku hiyo nilishindwa kula
Watu wa Dar ni waoga sana. Sijui Yana tabia ganiDar utauawa mbele za watu hakuna atakayekusaidia.
Nilikuta ajali mbaya watu wamegongwa na gari na kurushwa mtaroni na wanavuja damu kama kuku aliyechinjwa na wakilia kuomba msaada lkn hakuna aliyesogea zaidi wanapiga picha tu na midume kibao imezunguka.
Ndipo nilipojitosa kuwatoa mtaroni na kuwafunga majeraha yao huku wengine wakishangaa tu hadi nilipowafokea sana, akajitokeza jamaa mmoja akanisaidia kuwanyanyua.
Wakazi wa Dar ni wa ajabu sana.
Yaani anabeba hela hata ngumi hajui
Bila pistol Sibebi hela mimi