Kariakoo, Dar: Kumetokea ujambazi wa kutisha mtaa wa Lindi na Livingstone muda huu, Polisi mpo wapi?

Kariakoo, Dar: Kumetokea ujambazi wa kutisha mtaa wa Lindi na Livingstone muda huu, Polisi mpo wapi?

Halafu Nimekumbuka, hilo tukio limetokea mbele ya CCTV camera za duka la ‘New Tahery stores’ na ‘D&S Lab equipements’ mtaa wa Lindi, Polisi wakazitizame zile footage wanaweza kuwaona wale majambazi wakati wanakimbizana’ , wacheki footage time ya kuanzia muda nimepost hii thread kurudi nyuma, ni pembeni ya ile nguzo ndio walipomgalagaza mhindi, mbele ya duka la ‘New tahery stores’.
Mxieew ,! Kapigwa lisu risasi mbele ya nyumba ya kalemani CCTV zikang'olewa mpaka leo hawajatoa hizo footage ,
Tulieni dawa iwaingie na hao policcm wenu misukule
 
Kweli kabisa ni mwendo wa kukariri tu
Watu wanazunguka na Bahasha za kaki tu
Hivyo vitu mpaka vifanyike ni mjumuisho wa mambo mengi mtu anasoma ana njaa uhakika wa kula hana mazingira ya kusoma magumu walimu bora hakuna unategemea kitu kweli kwa mtu kama huyo 😃
 
Huo sio ujambazi. Tofautisha ukwapuaji na ujambazi.

Changamoto ninayo Iona hapo mwenye pesa amehatarisha usalama wake na WA pesa zake.
Hapo lawama kubwa nawalaumu wananchi,yaani sehemu yenye wapita njia 100 wote wamekaa kimya kwa kuogopa kisu tu,hapo imenishangaza sana.
Wameshindwa hata kuokota mawe na kurusha hata kwa mbali.
 
Kwanza nilipoangalia nilihisi ni msamaria mwema anajaribu kumuinua, ila sekunde zilivyosogea ndio ikaanza kuonekana kwamba jamaa anajaribu kupora begi kwani mhindi alibana vikwapa begi lisitoke, ndiopo jamaa akatoa bisu kukata begi, mhindi alipozidi kugoma ndio akalmbwa kisu, na kuachia mzigo. Anyway polosi wakaangalie CCTV cameras za pale waone wenyewe
Hivi mkuu hao jamaa walijiaminu kufanya uhalifu kkoo kwa kisu tu au kulikuwa na silaha zingine?
 
Ni sahihi kabisa mkuu.

Sijapinga kitendo alichofanya ndugu hapo Kwa kuwasaidia Watu Kwa huduma hiyo ya kwanza. Ishu ni kuchukua tahadhari pia. Tuwalinde wengine huku tukijilinda pia.
Sasa mkuu wewe ukiwa safarini huwa unabeba gloves kwa ajili ya tahadhari?
 
Yaani raia mmeshindwa zuia uhalifu, halafu unauliza mahali polisi walipo!!

Unajua kuwa polisi mmoja anahudumia idadi ya watu wangapi?
Kwani Tanzania kuna raia!?
Mazombi ni asilimia 90.
 
Bongo bwana Yani wamachinga wa hapo wameshindwa hata kuweka meza barabarani ili hao majambazi wasiweze kipita
 
hao wahindi Wana hela.
Kuna mzee alikuwa anahadithia Kuna ndugu yake NI mlinzi alikuwa analinda kwa wahindi Sasa siku moja usiku anaingia lindoni anakuta funguo za kamati la hela zipo juu na wenyewe hawapo.kufungua akakuta maburungutu ya hela za kutosha.akachukua milioni 15 akazificha.alivyokuwa mjinga zile funguo akaziacha pale pale mezani.
Kesho mabosi wanakuja wanakuta funguo zipo mezani wanaangalia Kuna wizi umetokea.
Mlinzi akakamatwa akapelekwa mahakamani akala miaka yake 6.na hela akarudisha
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]huyo mlinzi alikuwa mjinga alijidanganya kwamba kwa vile pesa ni nyingi akajua hazihesabiwi
 
Asilimia 90 ya watu unaowaona karikakoo ni vibaka, waporaji, wezi wa mifukoni, na matapeli......katika hali kama hiyo ni ngumu sana kusaidia uhalifu......ukiona wanakusaidia ujue kuna fursa ya wao kuiba......ndio maana wanaweza kukutetea ukiibiwa simu alafu unajikuta mwisho huna pochi.........

Asilimia kubwa watu wanawajua wezi wote.....Kwa kifupi karikakoo ni jamhuri ya vibaka, wezi na majambazi..........

Unaweza ukajitoa kusaidia kumbe waliokuzunguka ni wezi wenzie ukazurika..........

Niliwahi kusaidia Binti mmoja aliyekuwa anaibiwa pochi lake...... katika watu waliokuja kunisaidia kukabiliana na wale vibaka na mimi wakaniibia simu yangu......mpaka leo sithubutu kusaidia...
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hapo lawama kubwa nawalaumu wananchi,yaani sehemu yenye wapita njia 100 wote wamekaa kimya kwa kuogopa kisu tu,hapo imenishangaza sana.
Wameshindwa hata kuokota mawe na kurusha hata kwa mbali.
Wapita njia 100 hapo unakuta 70 wezi 30 wanaogopa na wao kuibiwa kwahio unabaki bila ya msaada
 
Hapo lawama kubwa nawalaumu wananchi,yaani sehemu yenye wapita njia 100 wote wamekaa kimya kwa kuogopa kisu tu,hapo imenishangaza sana.
Wameshindwa hata kuokota mawe na kurusha hata kwa mbali.
Wangewazingira wasingepona ila watu waoga sana
 
Back
Top Bottom