Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kweli kabisa ni mwendo wa kukariri tuKwa elimu yetu hii na vijana wa ss kwakweli hilo suala la kuanza kutengeza sio leo
Watu wanazunguka na Bahasha za kaki tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa ni mwendo wa kukariri tuKwa elimu yetu hii na vijana wa ss kwakweli hilo suala la kuanza kutengeza sio leo
Mxieew ,! Kapigwa lisu risasi mbele ya nyumba ya kalemani CCTV zikang'olewa mpaka leo hawajatoa hizo footage ,Halafu Nimekumbuka, hilo tukio limetokea mbele ya CCTV camera za duka la ‘New Tahery stores’ na ‘D&S Lab equipements’ mtaa wa Lindi, Polisi wakazitizame zile footage wanaweza kuwaona wale majambazi wakati wanakimbizana’ , wacheki footage time ya kuanzia muda nimepost hii thread kurudi nyuma, ni pembeni ya ile nguzo ndio walipomgalagaza mhindi, mbele ya duka la ‘New tahery stores’.
Hivyo vitu mpaka vifanyike ni mjumuisho wa mambo mengi mtu anasoma ana njaa uhakika wa kula hana mazingira ya kusoma magumu walimu bora hakuna unategemea kitu kweli kwa mtu kama huyo 😃Kweli kabisa ni mwendo wa kukariri tu
Watu wanazunguka na Bahasha za kaki tu
Hapo lawama kubwa nawalaumu wananchi,yaani sehemu yenye wapita njia 100 wote wamekaa kimya kwa kuogopa kisu tu,hapo imenishangaza sana.Huo sio ujambazi. Tofautisha ukwapuaji na ujambazi.
Changamoto ninayo Iona hapo mwenye pesa amehatarisha usalama wake na WA pesa zake.
Hivi mkuu hao jamaa walijiaminu kufanya uhalifu kkoo kwa kisu tu au kulikuwa na silaha zingine?Kwanza nilipoangalia nilihisi ni msamaria mwema anajaribu kumuinua, ila sekunde zilivyosogea ndio ikaanza kuonekana kwamba jamaa anajaribu kupora begi kwani mhindi alibana vikwapa begi lisitoke, ndiopo jamaa akatoa bisu kukata begi, mhindi alipozidi kugoma ndio akalmbwa kisu, na kuachia mzigo. Anyway polosi wakaangalie CCTV cameras za pale waone wenyewe
huo ustaarabu wa kunguni na kuelimika kwa kunguru, kwenye hali ya dharura unaulizia upuuzi wa gloves.!kwa hiyo ulitaka ujione upo makini sana kwamba angezuia kuambukiza au kuambukizwa magonjwa kwa kuacha mtu aendelee kuteseka kisa hana gloves ???Ulikuwa na gloves?
kisu silaha kubwa sana, kwa Dar hata ukiwa na fimbo tu ukatembeza bakora kwa wawili watatu unakusanya simu za vidume wote eneo hilo.Hivi mkuu hao jamaa walijiaminu kufanya uhalifu kkoo kwa kisu tu au kulikuwa na silaha zingine?
Sasa mkuu wewe ukiwa safarini huwa unabeba gloves kwa ajili ya tahadhari?Ni sahihi kabisa mkuu.
Sijapinga kitendo alichofanya ndugu hapo Kwa kuwasaidia Watu Kwa huduma hiyo ya kwanza. Ishu ni kuchukua tahadhari pia. Tuwalinde wengine huku tukijilinda pia.
Kwani Tanzania kuna raia!?Yaani raia mmeshindwa zuia uhalifu, halafu unauliza mahali polisi walipo!!
Unajua kuwa polisi mmoja anahudumia idadi ya watu wangapi?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]huyo mlinzi alikuwa mjinga alijidanganya kwamba kwa vile pesa ni nyingi akajua hazihesabiwihao wahindi Wana hela.
Kuna mzee alikuwa anahadithia Kuna ndugu yake NI mlinzi alikuwa analinda kwa wahindi Sasa siku moja usiku anaingia lindoni anakuta funguo za kamati la hela zipo juu na wenyewe hawapo.kufungua akakuta maburungutu ya hela za kutosha.akachukua milioni 15 akazificha.alivyokuwa mjinga zile funguo akaziacha pale pale mezani.
Kesho mabosi wanakuja wanakuta funguo zipo mezani wanaangalia Kuna wizi umetokea.
Mlinzi akakamatwa akapelekwa mahakamani akala miaka yake 6.na hela akarudisha
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Asilimia 90 ya watu unaowaona karikakoo ni vibaka, waporaji, wezi wa mifukoni, na matapeli......katika hali kama hiyo ni ngumu sana kusaidia uhalifu......ukiona wanakusaidia ujue kuna fursa ya wao kuiba......ndio maana wanaweza kukutetea ukiibiwa simu alafu unajikuta mwisho huna pochi.........
Asilimia kubwa watu wanawajua wezi wote.....Kwa kifupi karikakoo ni jamhuri ya vibaka, wezi na majambazi..........
Unaweza ukajitoa kusaidia kumbe waliokuzunguka ni wezi wenzie ukazurika..........
Niliwahi kusaidia Binti mmoja aliyekuwa anaibiwa pochi lake...... katika watu waliokuja kunisaidia kukabiliana na wale vibaka na mimi wakaniibia simu yangu......mpaka leo sithubutu kusaidia...
Wapita njia 100 hapo unakuta 70 wezi 30 wanaogopa na wao kuibiwa kwahio unabaki bila ya msaadaHapo lawama kubwa nawalaumu wananchi,yaani sehemu yenye wapita njia 100 wote wamekaa kimya kwa kuogopa kisu tu,hapo imenishangaza sana.
Wameshindwa hata kuokota mawe na kurusha hata kwa mbali.
Wanaume wa Dar hao, usishangae na wengine walikuwa wanarecord video tu.Hapo lawama kubwa nawalaumu wananchi,yaani sehemu yenye wapita njia 100 wote wamekaa kimya kwa kuogopa kisu tu,hapo imenishangaza sana.
Wameshindwa hata kuokota mawe na kurusha hata kwa mbali.
Wangewazingira wasingepona ila watu waoga sanaHapo lawama kubwa nawalaumu wananchi,yaani sehemu yenye wapita njia 100 wote wamekaa kimya kwa kuogopa kisu tu,hapo imenishangaza sana.
Wameshindwa hata kuokota mawe na kurusha hata kwa mbali.
Chips yai hizo wanaume wa Dar yaani mdebwedo aka mlenda.Wangewazingira wasingepona ila watu waoga sana
Mafala sana hawa jamaa wanabwabwaja.Si huwa mnasema humu jf mnawachukia polisi?
Vipi leo tena mnahitaji msaada wao?kwa nini hamkuwakabili hao majambazi nyie wenyewe?
SanaHatari
Aisee wanatuaibisha sanaChips yai hizo wanaume wa Dar yaani mdebwedo aka mlenda.