Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kumsaidia hapo ilitakiwa mtu uwe na bastola pekee uwashoot wale majambazi na si kuwasogelea!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwaga naogopa sana kujisogeza karibu na matukio makubwa,hua najificha kabisa , nakumbuka Yule binti aliyepigwa risasi pale kituoni Morocco na majambazi kisa alisimama tu kituoni wao walikua wanakimbia baada ya kufanya tukioHaukuokota ata elfu kumi tano?maana ile pesa ilikua mingi hatari
Unawashauri vipi?Ndio hivyo wafanyabiashara wa kariakoo, kufunga hesabu na milioni 200 ni kawaida kwao, tatizo wanaule ukale wa kutembea na maburungutu mengi zama hizi.
Watu hawataki gharama na serikali naona inashindwa mahali au maamuzi tuHivi sababu ni udogo wa mji,!
Kwanini Zanzibar walifanikiwa kufunga cctv camera kwenye mitaa yote ya mjini!
Bongo imeshindikana nini?
Hata mimi nahisi hivyoUkute kuna mtu kamchomea kwa wahuni hapo ofisin kwake
...Wawili, na Visu TU, na hawana Hata manati ya Mzungu???[emoji848][emoji848][emoji848][emoji26][emoji26][emoji26]Wanawezaje kuzuia majambazi kama panya road waliwashinda?.
Kabla kuwalaumu polisi anza na raia.Mitaa kama ya Kariakoo na Gerezani ni aibu kwa jambazi kumuibia mtu na akakimbia muda wa mcha.Foleni kama zile lazima washikwe hata wakiwa na SMG. nI dalili ya upungufu wa imani.Kuna bodaboda mbili zilipita speed kwenda uelekeo wa mtaa wa Lindi na Livingstone, kumbe bwana walikuwa wanamkimbiza mhindi aliyekuwa kwenye bodaboda nyingine ya mbele akiwa na begi mgongoni, inasemekena ni mauzo ya dukani.
Basi nikasikia puuu, kugeuka nikaona ile bodaboda ya Mhindi ipo chini, na zile bodaboda zilizomgonga mmoja wao akashuka na kuanza kukata mikono ya begi kwa kisu, mhindi akang’ang’ani begi, maumivu ya kisu yalipozidi Mhindi akaachia begi, jamaa akapanda kwenye pikipiki wakaamsha, halafu eti watu wanaangalia tu.
Mi nilitaka kwenda ila nikaona wale jamaa ile mibisu yao sio ya kitoto, wameanza kuondoka watu ndio wanajidai kuwakimbiza, wakatokomea kupitia pale kona ya Azam, Livingstone pale.
Hadi sasa hali ni tete, polisi wawahi hapo kuchukua maelelezo.
======================
Halafu Nimekumbuka, hilo tukio limetokea mbele ya CCTV camera za duka la ‘New Tahery stores’ na ‘D&S Lab equipements’ mtaa wa Lindi, Polisi wakazitizame zile footage wanaweza kuwaona wale majambazi wakati wanakimbizana’ , wacheki footage time ya kuanzia muda nimepost hii thread kurudi nyuma, ni pembeni ya ile nguzo ndio walipomgalagaza mhindi, mbele ya duka la ‘New Tahery Stores’.
Hao wangapi anaowahudumia si pamoja na huyo?Unajua kuwa polisi mmoja anahudumia idadi ya watu wangapi?
Hao wangapi anaowahudumia si pamoja na huyo?
Au hao wangapi ni wale maalumu?
Camera 540mil duhWatu hawataki gharama na serikali naona inashindwa mahali au maamuzi tu
Mbona China wamefunga camera 540 million
Ni uamuzi tu
Kwa security wako vizuri ndio wanaongoza kwa kufunga cctv dunianiCamera 540mil duh
Na wapo over ibil ina maana kwa wastan camera 1 watu 2 kweli wameamua
Kwa elimu yetu hii na vijana wa ss kwakweli hilo suala la kuanza kutengeza sio leoKwa security wako vizuri ndio wanaongoza kwa kufunga cctv duniani
Na sisi ifike mahali basi vyuo vikuu vijana watengeneze jamani
Hata kukopi hatuwezi haha
Picha watapewa Polisi kwa uchunguzi, sio za kuweka mtandaoni.Huku piga hata picha, sasa simu janja kuwa nayo ni ya nini?
Wanaume wa Dar bana, mtu ana kisu unaogopa hata kumpopoa mawe.Yaani raia mmeshindwa zuia uhalifu, halafu unauliza mahali polisi walipo!!
Unajua kuwa polisi mmoja anahudumia idadi ya watu wangapi?