Kariakoo, Dar: Kumetokea ujambazi wa kutisha mtaa wa Lindi na Livingstone muda huu, Polisi mpo wapi?

Mungu akubariki sana ndugu.
Kuna mtu mmoja miaka ya 1980's aliwahi kusema kuwa DSM ndio mlango wa kuzimu.
Kwa miongo yangu minne (4) ya kuishi DSM,hakika naamini hilo.
Watu wa DSM tu wa ajabu sana.
 
Police police! Juzi wale panya rod walivyopigwa vyuma ndg zenu chadema wakaanza kuwatukana police nakutaka tume iundwe, mhindi kapigwa tunahoji police wako wapi! Waambieni chadema na bagonza wawahi sasa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah juz juz apa karume kuna mwiz kakimbia hakuna anae fata
 
Nyerere katupa uwoga sana nchi hii.nina waswas na ile fimbo

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Watu wa Dar huwajui wewe, unategemea nini kwa mdar anayelala chumbani hata hana bisibisi!
 
Mwanamme wa Dar, hata mende huwezi kuua, basi sawa!
 
Ujambazi wa aina ule ule umetokea tena pale pale.
Mtu kaporwa begi na watu wenye pikipiki, wamempiga visu vya kutosha. damu ni nyingi. Mtaa wa Lindi na Livingstone. Polisi wahini hapo haraka.

Mtu anapigwa visu raia wanaangalia tu, watu wa Dar tumekuwaje?! Mtu anapigwa visu namna ile mnaangalia tu...

Nasikia alikuwa wakala mkuu anasambaza pesa kwa mawakala, alishamaliza kusambaza zote, hivyo hawajapata kitu. Ila wamemuumiza vibaya sana.., ambulance iwahi hapo
 
Kariakoo kulivyo jaa police plus pikipiki za voda fasta,wao kazi yao kuvizia mizigo madukani na jangwani kwenye mafuso.....kariakoo ukiona uwizi police wanajua
 
Kariakoo kulivyo jaa police plus pikipiki za voda fasta,wao kazi yao kuvizia mizigo madukani na jangwani kwenye mafuso.....kariakoo ukiona uwizi police wanajua
Inashangaza sana, polisi tigo wamejaa kila kona, ila wao wanavizia mizigo badala ya kulinda raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…