mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Najua wengi watakupinga lakini uko sahihi. Marefa wetu siyo kwamba sheria hawazijui au hawalipwi vizuri na makosa huwa hawayaoni. Sheria wanazijua na makosa wanayaona vizuri mno. Tatizo ni kwamba wanachezesha kwa maelekezo ya hivi vilabu viwili kulwa na doto .Mkuu, people are getting mad as days go by. Kuna watu timu zao zikifungwa pressure inapanda au kushuka na wanapoteza uhai..
Hii ipo siku itawagharimu Maana Mashabiki wa hivi vilabu wengi wao ni wakorofi .