Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar

Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar

IMG-20200104-WA0096.jpg
aibu yako refaa hapa ni nje kabisa
 
Haya wasikilizeni wachambuzi angalieni na Slow motion hiyo.

Kweri hatukucheza mpira mzuri first half lkn ile sio penati na Nchimbi hakuwa Offside.
 
Naangalia marudio hapa nashangaa huyu mchezaji wa yanga anataka kurudia kosa lile lile tena lililoigharimu yanga kwa kumshika mkono kagere
 
Back
Top Bottom