waOLDmoshi
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 879
- 1,749
Mechi kubwa kama hii refa anatoa penati nyepesi hivyo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyeeeeeeeeeeeeeee
Mwenye kingi huongezewaMmebebwa upuuzi mtupu
Muda mwingine kichaa anaonaga mwezi BobBob ulimbetia yanga?
Hivi unafikiri mhindi alikua mjinga kumpa yanga odds 6.30?
Muhindi hela yake hailiwi kiraisi hivyo
kipindi cha ngapi sasa, sina tv ya azam... dstv hamnaYa kupewa. Huyu Refa sijui kala ngapi za Mo.
Mimi peke yangu, unasemaje kwani?Taratibu Mkuu ,mlimkataa na nani kwani !?
Na mwenye kdogo ht haba alichonacho tunapora.Mwenye kingi huongezewa
very bad indeed! acha apigwe penalty VictoireView attachment 1312336aibu yako refaa hapa ni nje kabisa
kuna mwenye namba yake mkuu unayo?Kuna umuhimu wa kumpiga mimba huyu mwanamke ili abakie tu nyumbani na kulea mtoto.
Sema wewe akisema mwingine itaonekana ushabikiJapo mimi Simba ila linesman amezingua amem-mislead refa wa kati.
Haikua penati. Foul imechezwa nje ya mstari.
Japo mimi Simba ila linesman amezingua amem-mislead refa wa kati.
Haikua penati. Foul imechezwa nje ya mstari.